Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari wadau. Sio kitu cha ajabu kukuta mtoto wa miaka 10 anasoma chuo kikuu majuu. Tena degree za kibabe kama Engineering , Medicine, Mathematics etc. Wazungu wanatumia mbinu gani kuwapa...
8 Reactions
62 Replies
4K Views
Idadi iyo ni sawa na 4.1% pekee kati ya wote waliofanya mtihani, huku wengine 484 wakitakiwa kurudia mtihani na 265 wakiondolewa kabisa baada ya kufeli. Hali hiyo imefanya Wanasheria na wadau...
5 Reactions
30 Replies
6K Views
Habari wana JF, Mimi napenda kuuliza kwa mfano mtu una sifa za kuwa Assistant lecturer kwa maana ya GPA ya at least 3.8 undergraduate na 4.0 masters ukaamua kutuma CV Yako kwenye Moja ya chuo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Samahani Jamani naomba kuuliza eti insurance and list management inapatikana kwenye kozi gani kwa ngazi ya bachelor in degree?
2 Reactions
44 Replies
2K Views
Habari wana jukwaa.. Natumai mko poa, niende moja kwa moja kwenye dhumuni la uzi huu. mimi ni mwalimu niliyehitimu katika shahada ya ualimu mwaka 2015 katika masomo ya chemistry na mathematics...
2 Reactions
3 Replies
5K Views
JAMN NAOMBEN USHAURI I'm a man ages 22 niko mwaka wa pili course ya regional development planning ila sina uhakika na hii degree natamn kuacha niongee na wazaz wanipeleke hata veta au short...
4 Reactions
35 Replies
987 Views
Habari ndugu zangu, naitwa Abel ni mvulana wa umri wa miaka 28. Nahitaji msaada wenu Tafadhali maana kwa kupitia humu nitaweza kupata hata nafuu maana akili yangu mawazo yangu nahisi yananifanya...
0 Reactions
18 Replies
8K Views
Nadhani umeshawahi kusikia mtu akisema "...tatizo una IQ ndogo sana.." na wewe bila kuchanganua hoja yake ukakasirika. Inawezekana ni kweli au sio lakini je IQ ndiyo kigezo pekee Cha kupima utashi...
7 Reactions
10 Replies
969 Views
Wakuuu salaaaam Nimepata matokeo yangu ya UE nimesikitishwa. Kwa upangiliaji wa grade hizi sababu nilidhania A inaanzia 70 kumbe sio hapa chini ni muongozo wa grade hizo A - 75 - 100 B+ - 65 -...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
  • Poll Poll
NAOMBEN USHAURI I'm a man ages 22 niko mwaka wa pili course ya Regional Development Planning ila sina uhakika na hii degree natamani kuacha niongee na wazazi wanipeleke hata VETA au short course...
3 Reactions
4 Replies
402 Views
Eid Mubarak! Huyu mwenzetu anauliza kama VETA wanatoa kozi ya HOTEL MGT na ada ni gani, pia ukiachana na VETA ni vyuo gani vingine vinatoa hyo kozi kwa hapa DSM na gharama zipoje?
0 Reactions
6 Replies
622 Views
Guys, sorry Naomba kufahamishwa utaratibu wa kubadilisha mwaka wa kuzaliwa katika leaving certificate.
1 Reactions
56 Replies
4K Views
Wana JF naombeni ushauri wenu. Kuna kijana wangu atakataa kwenda shule, yupo kidato cha kwanza . Nimfanye nini maana kama kupiga nimepiga na kumshauri lakini haambiliki😭😭
3 Reactions
28 Replies
1K Views
.
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Habarini Wana jamvi, Binafsi nina ndoto ya kuwa political leader hapo mbele na kama tunavyojua kuwa kila kitu kina maandalizi, nipo kwenye chama ngazi ya wilaya, ninajifunza mambo kadha wa kadha...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Wakuu habari za majukumu. Naomba msaada wenenu nilidisco chuo mwaka juzi na sasa nataka kurudi mwaka huu. Je, inakaaje kwenye masuala ya mkopo nitapata? Naombeni ufafanuzi. Asante.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimeona Mwenge University wanatoa PhD Sasa Sina uhakika kama hizo PhD zinatambulika hata huko Halmashauri. Mwenye kujua tafadhali tukaokote PhD sisi waumini wa Parokia Mtakatifu Kizito
10 Reactions
60 Replies
5K Views
Kukosekana kwa soko la ajira kwa vijana, je kuna ulazima gani wa kumsomesha mtoto wako hadi chuo kikuu?
2 Reactions
3 Replies
513 Views
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kazi iendelee. Polen na majukumu katika kuhakikisha familia na Taifa letu linaendea kusonga mbele. Wataalam naomba ushauri, mdogo wangu amemaliza Diploma ya...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Masters in science in project planing in monitorig and evaluation in health. MUHAS Masters of science in monitoring and evaluation in health . Mzumbe UNIVERSITY Masters in Arts in monotoring...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom