Kwa jinsi mambo yalivyoanza, mianya ya uharibifu ni mingi sana. Hebu twende pamoja.
1. DAY CARE CENTRES.
Hivi kweli kuna muongozo wowote wa uanzishwaji wake, ukaguzi wa hayo majengo kuona kama ni...
Naombeni muongozo wakuu ni pitr njia zipi, Na ndoto kuwa siku moja nije kuwa rais wa chama Cha walimu Tanzania.
Bado nipo chuo mwaka wa pili nasoma bachelor of science with education.
Vipaumbele...
Hello sorry,
Nikitaka kufanya conversation ya passmarks za vyeti kwenda kwenye passmarks za Luxembourg ili niweze kufanya application ya chuo.
Wapi wanaweza nisaidia?
Mimi kijana umri miaka 22,
Nipo chuo mwaka wa pili, nasoma shahada ya kwanza ya ualimu sayansi biology na geography.
Naomba ushauri kwa umri huu, na Hali ya ajira ya taifa letu ni fanye mambo...
Salaam wakuu,
Natumai nyinyi ni wazima wa afya na wale wenye changamoto mbalimbali za kiafya basi Mungu awape ponyo.
Niko katika utafiti wa shule gani ya advance ni nzuri kwa michepuo ya sayansi...
Kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2020/21 hadi 2022/23 chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu madarakani Mkoa wa Arusha umepokea zaidi ya shilingi bilioni 24.4 kutoka vyanzo mbalimbai: kwa utekelezaji...
Habari JF
Mimi ni mwanafunzi chuo Fulani hapa Dar es Salaam. Mwaka jana nilipata changamoto ya kusimamisha masomo(postpone) kutokana na sababu mbili tatu.
Sasa baada ya kurudi chuoni, kwa...
Niende moja kwa moja kwenye mada husika ndugu wanajamvi.
Taifa lolote lazma liheshimu elimu inayotolewa nchini maana elimu ni msingi wa maendeleo ya Taifa au jamii husika. Tangu nchi hii tupate...
Nimekuta ofisi ya dmo wangu imebadilishwa jina na kuandika CMOH ,je inamaana gani ,na kozi yake ni miaka mingapi
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
GS hata usomeje kufaulu ni shida sana ,unaeza kuta mtihani ukaona mtihani rahisi na ukajiaminisha unapata A lakini tokeo likija una F
Watu wa zamani walifichiwa aibu kidogo tokeo lao walikuwa...
Habari za mwaka mpya.
Nimeanzisha huu uzi ili kuwafahamisha/kuwatajia sifa za shule ya ufundi Tanga(Tanga Technical School).
Kwanza shule ina maabara ya kutosha, waalimu wazoefu, KWA WANAFUNZI...
Kati ya Bachelor of Education in Physical Education and Sports Science na Bachelor of Education in Policy Planning and Management ni kipi nisome wandugu chenye uwanja mpana huko mbeleni.
Mimi ni...
Habari wadau, Ningependa kujua ikiwa kuna mtu anajua utaratibu dhabiti wa kujiunga na chuo hulia Tanzania (Open University Tanzania).
Mwaka jana mdogo wangu aliomba kusoma diploma pale lakini...
Hii scholarship mwisho wa kufanya application ni 28/ 03/ 2023. Bado hujachelewa ku apply.
https://cscuk.fcdo.gov.uk/scholarships/commonwealth-distance-learning-scholarships-candidates/
Niipongeze serikali yetu kwa kutoa mafunzo kwa waalimu wa sayansi na hisabati nchi nzima. Zoezi hili zuri liwakumbuke na walimu wa art pia.
Ajabu wilaya ya Maswa mkoani Simiyu walimu wengi wa...
Wakuu najua JamiiForums ni sehemu ya kupata taarifa nina kijana wangu amemaliza degree ya elimu DUCE mwaka jana, sasa kinachonishangaza mpaka mwezi huu wa tatu kila nikimuuliza vyeti anasema bado...
FURSA YA MASOMO kwa wenye master's ya petroleum, geology, oil and gas, physics, and mathematics.
The Helmholtz Centre Potsdam – GFZ German Research Centre for Geosciences in Potsdam, Germany has...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.