Hivi Mwanafunzi anayeshinda na njaa kuanzia Asubuhi hadi usiku saa tatu.
Hapa Dar es Salaama unakuta 90% ya wanafunzi wa shule za serikali wanaamka saa kumi na moja na kuanza kugombania daladala...
Mwenendo wa Wenye Ulemavu Nchini Tanzania
Habari zenu wakuu, Niswachoshe naandika kwa kifupi Saana, Wahusi wafaniye Kazi, au Mood wakiona Uzi haufai waufute.
""Binafsi sina Ulemavu wala ndugu...
Habari Wana JF hope wote ni wazima,
Napenda kutoa ushaur wangu kwa Wizara ya Elimu na serikali kwa ujumla. Ni wakati sasa serikali kuanza kutoa tuzo kwa walimu bora.
Taaluma hii ya ualimu kwa...
Wakuu kwa mwenye uelewa naomba msaada tafadhali.
Nimechaguliwa kozi ya Mechanical engineering chuo cha NIT ngazi ya Bachelor lakini naona ni ya miaka mitatu 3 nilikua nauliza kuna utofauti gani...
Wakuu natumai nyote hamjambo, wenye changamoto poleni, yatapita.
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Nimetamani sana kupata technical skill na baadhi ya niliyofikiria ni ufundi bomba. Sasa...
Habari wakuu
Kuna mtoto wa kaka yangu kwenye matokeo ya form 6 amepata principal passes 2 lakini General studies amepata 7, nilikuwa nauliza je kuna uwezekano wa kuchaguliwa chuo kikuu ikiwa...
Habari Wana jukwaa hope wote ni wazima, Mimi ni member mpya wa Jf pia ni moja ya mwanafunzi katika moja ya chuo kikuu apa kwetu TANZANIA.
Lengo la Uzi huu nilipenda kutoa ushaur na mawazo Yangu...
Viongozi wote waliofanya vizuri ni waliosoma Arts katika Level kubwa za Urais.
Kitendo Cha Mtu kuwa Rais na hajui kingereza madhara yake ni kujifungia ndani na kushindwa kuinganisha nchi na...
Kipekee kabisa nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa zawadi ya siku nyingine mpya katika maisha yetu. Pia, nichukue nafasi hii kumpongeza Katibu mkuu wa CCM Ndg. Daniel Chongolo kwa ushauri aliotoa juu ya...
Hiki ndicho kinachotokea Vyuo tofautitofauti hapa nchini hususani Chuo Kikuu Cha Kilimo SOKOINE.
Ikumbuke kuwa Takribani wiki tatu zimepita tangu wanafunzi wamemaliza semista ya kwanza ndani ya...
Mimi ni Kijana wa kitanzania umri 22, nipo moja ya chuo kikuu apa inchini nasoma shahada ya kwanza ya ualimu sayansi mwaka wa pili ( biology na geography) yaani bachelor of science with education...
Nimekumbuka mbali sana wakati nipo chuo kikuu cha taifa nafanya zangu degree ya biashara.
Majamaa waliosoma pcm walikuwa wanapasua sana na kuona mambo marahisi huku wengi wao hawasomi sana chuo...
Jamani naombeni mnisaidie swala moja, hivi alama za usahihishwaji wa mitihani ya wanaorudia mitihani ya taifa zipo tofauti na wale ambao hawarudii? Na kama ni tofauti, tofauti yao ni ipi? Na ni...
Wadau naomba kujua hii program kuna dogo anataka kusoma, ugumu wake ukoje ,lakini vipi soko lake?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.