Mdogo wangu kapata 2 ya 11 (DDC) anataka kusoma medical,is it possible?
=====
Habari wanaJF,
Leo Baraza la mitihani la Tanzania NECTA limeyatoa matokeo ya kidato cha sita, kwa uzoefu wangu...
Wakuu hivi ni kweli Tanzania hakuna softcopy za s chand,maana nazisaka za physics na pure math,lakini mrejesho umekuwa mdogo.kina kaka enginear hebu fungukeni mmezificha wapi?,au mnapunguza namba...
Habari wana jamvi!
Mimi kuna swala linanichanganya na kama ningekua na mamlaka wala nisingekubali lipite, ni Ili swala la recognition of prior learning.
Yani huwezi kuniambia darasa la saba umpe...
Naombeni msaada wana Jf. Naomba kujua Je chuo cha SUZA ni kwaajili ya wakazi wa zanzibar pekee au hata sisi kutoka Tanzania Bara tunaweza kuomba udahili na kusoma katika chuo hicho
Habar Wana Jf hope wote ni wazima,,
Kuna kitu kinaniuma sana kuona Kila mtu anadharua taaluma ya ualimu,
Madaktari, ma engineer na watu wataaluma mbalimbali wamekuwa na kasumba mbaya na inayo...
Hope Wana Jf wote ni wazima,
Napenda kushauri wizara ya elimu, ni Wakati sasa kuruhusu, wanafunzi pekee wenye ufaulu wa daraja la kwanza tu ( kidato Cha nne na Cha sita), kuruhusiwa kusoma...
Samahani wakuu,
Naomba kuuliza Iv chama Cha walimu Tanzania ni kwa ajiri ya walimu waliopo kwenye mfumo wa ajira au ni kwa hata kwa wale ambao hawajapata ajira....
Napenda kujua, mm ni mwanafunz...
Kwa anaesoma chuo cha afya na sayansi shirikishi mbeya please,naomba anicheki inbox.
Au hata mtumishi wa hospital ya rufaa mbeya pia naomba unicheki tafadhali..
Natanguliza shukran.
Oya wadau naomba kuuliza maswali mawili
1: Kuna course nilikua nasoma, na nimesoma semester moja tu then nikapata matatizo kidogo nime postpone ni mwaka wa pili sasa toka ni postpone nataka...
Mzazi unaweza unaweza ukajitahidi ukamlea mtoto katika maadili mema...Ila uhuni na utaahira...Ataupata shuleni...Shuleni ni sehemu kuu ya kuharibu watoto kitabia na kimaadili...
Mimi ninafanya...
Samahani wadau...Naomba kuuliza hii course ya material science and Engineering ina husiana na nini?
Vipi kuhusu market yake hapa Tanzania na sehemu gani zenye uhitaji wa wataalamu hao?
Is it...
Salaam wakuu,
Katika pitapita zangu za hapa na pale nimekutana na hii kozi ambayo ni bachelor of science in instructional design and information technology inayofundishwa chuo kikuu cha...
Salaam wadau,
Moja kwa moja kwenye maada husika
Mimi ni kijana mwny umri wa mid 20’s. Nina mpango wa kwenda VETA ili kujifunza ujuzi niweze kujipatia kipato. Lengo langu nikasomee kimojawapo...
Katika Media imeonekana dhahiri Waziri wa Elimu amefuta baadhi ya Vitabu vilivyokuwa vikitumika Mashuleni.
Katika orodha ile ya Vitabu, wengi wa watu amabo siyo Waalimu wa maeneo hayo hawaelewi...
Kuhusu mtu anaenda wapi baada ya kifo imebaki kuwa fumbo kwa sababu sayansi inasema mengine na dini mbalimbali zinasema mengine.
Kwa msichana Shanti Devi ilikua tofauti kidogo, baada ya kifo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.