Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Nakaribisha swali lolote la biology, Kuanzia form one hadi form six Karibuni 🙏🙏 Au kama Kuna topic yoyote ngumu, naweza fanya summary na topic ikaeleweka, walimu wa biology karibuni kuuliza
1 Reactions
7 Replies
564 Views
Samahan nilikuwa na uliza mimi nilirudia nikafanya mtihani mwaka jana wa NECTA nimepata D 2. Je, hapo chet changu kitakuaje na lini result slip zitatoka
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za mida hii Wana jamii forum. Mimi ni mdau wa ELIMU na mtaalamu wa ELIMU ya AWALI lakini nimegundua mapungufu baadhi katika ELIMU ya AWALI ambayo yakifanyiwa kazi tatizo la kusoma na...
0 Reactions
0 Replies
919 Views
Habari, mwenye namba za simu za shule ya Nyiwa naomba tafadhali
0 Reactions
1 Replies
282 Views
Habari wakuu, msaada kwa wadogo zenu tunaoingia chuo kwa Mara ya kwanza nini tufanye ili tuendane na mazingira ya chuo Wengine tulishazoea kpindi tunaanza form 1 na form 6 wiki ya kwanza huwa...
2 Reactions
88 Replies
18K Views
Nimehitimu diploma katika chuo cha kati cha private fani ya mifugo mwaka 2022. Baada ya matokeo kutoka mimi pamoja na wenzangu (classmates) tukiangalia verification zetu NACTE tunaonekana...
0 Reactions
3 Replies
828 Views
Nini umuhimu wa kuwa na wanafunzi bora kitaifa afu tunawapoteza baada ya muda si mrefu yaani wakimaliza chuo kikuu basi hatuwasikii tena je serikali inamonita vipi maendeleo yao huko walipo...
0 Reactions
18 Replies
14K Views
Habari Wana jukwaa! Mwenzenu nimepotelewa na CHETI CHA KIDATO CHA NNE (2012), nafanyaje Ili nipate kingine, au Kuna taratibu gani za kufuata. Ushauri tafadhali
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari Wana Jf ni matumaini yangu wote ni wazima wa afya, Pasi na kupoteza muda niende kwenye lengo la Uzi huu. Wana Jf Mimi naona ni Wakati sahihi sasa serikali itoe ruhusa kwa walimu waanze...
1 Reactions
10 Replies
848 Views
Habari wanaJF, Naomba kuuliza nina diploma ya procurement and logistics management ila nina f ya mathematics kidato cha nne vipi nitakuwa na kigezo cha kusoma degree?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wana Jamii, Wengi tuliofanikiwa kupita vyuo vikuu tumepitia mengi sana, kama vile wenge la 1st year, kukosa au kuchelewa kwa mikopo (boom), kupanga hostel uswazi take away, mikiki ya...
4 Reactions
45 Replies
8K Views
What are key reasons for Tanzania to shift from PPA NO 3 of 2001 to PPA NO 21 of 2004?
0 Reactions
2 Replies
282 Views
Habari, nashukuru kwa wote walionipa muongozo juu ya namna ya kurisiti na hatimae nilifanikiwa na matokeo yametoka nikiwa na ufaulu unaoniwezesha kupata cheti. Swali langu ni÷ 1- Result sleep...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Habari wakuu,mimi nilimaliza form 4 takriban miaka 11 iliyopita, nilifaulu vizuri tu,nikiwa na A zote PCB na PCM, nilichaguliwa kwenda advance shule nzuri tu lakini sikufanikiwa kuendelea na...
3 Reactions
39 Replies
3K Views
Akataa Zawadi ya Tsh. Bilioni 1.3 Genius wa hisabati, Dr Grigory PerelmanWednesday, March 24, 2010 1:01 AM Mwanaume wa nchini Urusi ambaye anaishi maisha ya kifukara katika nyumba yake iliyojaa...
4 Reactions
35 Replies
11K Views
Je, ni utaratibu upi mwanafunzi anapaswa kuufuata akichelewa kusaini fedha za kujikimu? na fedha hizo zinaweza kurudishwa.
2 Reactions
2 Replies
439 Views
About PMP: Project Management Professional (PMP)® is a global credential offered by PMI Inc. PMP® Certification is a globally recognized, rigorous, education and/or professional experience, and...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Habari za mapambano wakuu, Mimi ni mwanafunzi moja ya chuo kikuu kimoja apa Tanzania, Nasoma shahada ya kwanza ya ualimu sayansi ( mwaka wa pili). Ni ended kwenye lengo la Uzi huu, kwa utafiti...
1 Reactions
8 Replies
509 Views
LEO NGOJA NIKUMBUSHIE TUKIO ZURI SANA KUHUSU ELIMU Ni muda mrefu sana sijaandika kuhusu Maswala ya ELIMU hivyo wengi wakanibatiza majina mara 'Mr Love ', 'KIBAMIA','Mwanaharati' na wengine...
56 Reactions
500 Replies
105K Views
Back
Top Bottom