Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Hello wakuu. Kuna mtu anataka kuapply masters muhimbili, lakini nmejaribu website yao ya application haifunguki. Kuna tatizo au deadline imeshapita?
0 Reactions
3 Replies
932 Views
Ningependa mtu ambae ana link ya jinsi ya kulog in udom make kila nikijaribu inashindikana na nifanikiwa kuingizs taarifa zangu inaniandikia invalid username or password lkn taarifa ninazoingiza...
0 Reactions
7 Replies
653 Views
Jamani kutokana na changamoto za ajira kuwa na safari nyingi, pamoja na usumbufu wa dada wa kazi mara leo yupo wiki ijayo anataka kuondoka, naomba kujua mwenye kujua shule nzuri ya bweni kwa...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Naomba ambaye amesha confirm SUA admission anisaidie how to do it. Naweka user name, PW to get into my inbox for joining instructions and confirmation vinakataa. Nawapigia simu anapokea mtu...
0 Reactions
1 Replies
783 Views
Wapenda naombeni msaada kwenye hili. Hivi ninaweza kutumia namba za simu tofauti katika maombi ya mkopo wa elimu ya juu na maombi ya chuo Hususani katika maswala ya kulipia kupitia control number...
1 Reactions
4 Replies
507 Views
Jamani naombeni msaada kuhusu hii coz ya journalism and public relations je ni nzr kwa hapo baadae kuweza kuajiriwa na kujiajiri
0 Reactions
0 Replies
463 Views
Nahitaji msaada, eti kozi za "bachelor of laboratory and science technology" na "clinical food" (at MUST) katika nyanja hii. - ianahusiana na Nini -Soko lake la ajira - namna ya kujiajiri
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Hellow wapendwa samahan na poleni na majukumu Nilikua napenda kuuliza hiyo kozi tajwa hapo juu Bachelor of science in chemistry ni ualimu au ni nini?? Yeyote Mwenye kufahamu anifamishe msaada
4 Reactions
55 Replies
5K Views
Wakuu naomba majibu mdogo wangu ana sup ya hili SoMo anaitaji majibu
0 Reactions
3 Replies
857 Views
Habari zenu wana JF Kama kichwa kinavojieleza naomba kujua kipi bora kati ya kumaliza diploma (NTA6) na kuendelea Bachelor degree mwaka unaofuata au kumaliza diploma (NTA6) na kujipa muda kufanya...
1 Reactions
30 Replies
4K Views
Ni shida ya vijana wengi wa Taifa langu pendwa la [emoji1241] kwani watu tunasoma hadi elimu ya juu lakin bahati mbaya hatujui tunaenda soma nini baada ya kuhitimu sana sana kwa masomo mageni kama...
3 Reactions
28 Replies
2K Views
Naomba kueleweshwa kuhusu Kozi za Kitivo cha Afya hususan kwa Tahsusi ya CBG. Nafahamu hawezi kusomea Uganga, kwa maana ya Doctor of Medicine, au Uuguzi. Ila, Kozi kama 1. Pharmacy 2. Midwifery...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau naomba msaada kwa anaye ijua KOZI yoyote ya afya ya KUSOMA online hasa diploma ...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Naombeni ushauri ndugu zangu nahitaji kujiunga na degree nimemaliza diploma ya procurement and logistics management TIA MWANZA campus. Sasa nimetuma maombi vyuo viwili mpk sasa TIA NA CBE MWANZA...
0 Reactions
1 Replies
562 Views
Huu ni mwongozo ambao nimeandaa hasa kulingana na hali mbovu ya ajira katika nchi yetu!! na hizi ni kozi ambazo ni rahisi kujiajiri hasa katika mazingira haya ya Tz ya viwanda na ukosefu wa...
4 Reactions
10 Replies
6K Views
Kijana yupo dillema, anaomba ushauri wa wadau wenye uzoefu ili isijetokea akaharibu huko mbele. Amechaguliwa Course zifuatazo na ana hitaji aconfirme mojawapo. UDSM - GEOMATICS UDOM - MINNING...
2 Reactions
23 Replies
1K Views
Habari samahani, Najua humu ndani kuna wasomi na watu wenye mawazo mapana.naomba ushauri mtoto wenu,mdogo wenu nmechaguliwa vyuo vitatu tofauti. Course tofauti moja ni business administration...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za muda huu wana JF, nilitaka kufahamu kuhusu hizi kozi mbili zinahusu nini haswa, na ushauri pia ipi itakuwa poa kupita nayo. 1) Bachelor of Engineering in Data Science (MUST). 2)...
0 Reactions
0 Replies
641 Views
Habari zenu Nimehitimu diploma ya crop production and management sasa nataka nikasome degree nakasomee nini kati ya hivi *crop production and management *Agronomy
0 Reactions
0 Replies
292 Views
Mitihani yao inaanza leo. Wamepewa Exam timetable last Friday, wameshitukizwa. masikini hawana wa kuwasemea. Hivi vyuo vinahitaji reforms kubwa. Ni vya "bora liende" so to say! Wanakuwa...
4 Reactions
29 Replies
3K Views
Back
Top Bottom