Habari, naomba kujua orodha ya shule za sekondari wilaya ya ubungo ni zipi?
1. Zilizopo mbali (ndani ndani).
2. Zilizopo karibu na barabara kubwa.
Asanteni
Naitwa ××××××××××××
Napatikana Dar es Salaaam, nina degree ya ICT pamoja na biashara.
Ninapenda ku-share elimu niliyo nayo kusaidia umma wa Watanzania. Karibu kama una tatizo lolote kwenye sekta...
Hadi leo chuo cha CBE hawajatuma taarifa za wanafunzi wa diploma NACTE .Utaratibu ni inatakiwa taarifa za mwanafunzi aliyehitimu zitumwe NACTE kwa haraka muda huu wa kuomba vyuo ili mwanafunzi...
Hellow naomba kujua namna ya ku confirm chuoo diploma mdogo ang kapata chuo cha afya sasa NACTE wanaandika pale tusubiri verification sa sijajua kuna utaratibu gan next
wakuu katika harakati za kuomba course mbalimbali za kusoma chuo, mdogo wangu alichangua course zimefuatazo UDOM ( nimeziambatanisha kwenye picha)
Lakini mbaka first selection zimetoka kwenye...
Shikamoni wakubwa zangu wote
Nina binamu yangu kabahatika kachaguliwa kozi za bachelor of Education in electronic and electric engineering pale MUST pia KACHAGULIWA KOZI YA FORESTY Pale SUA...
Nimshukuru Muumba kwanza
Alafu ni wasalimu wote humu niwaalike mnisaidie kuhusu class representative wa chuo kama udsm, I mean qualifications zipi na ni njia ipi ambayo mtu anapaswa kutumia ili...
Nimeshangaa mtu anajaza taarifa zote ili kupata AVN lakini anambiwa itachukua masaa mengi hadi zaidi ya 130 ili kupata majibu, hata control number ya kulipia nayo inachukua masaa yote hayo.
Kama...
Hi.. naombeni ushauri kuhusiana na hii course ya Anasthesia kwa nurse wa diploma anaetaka ku’ specialize bachelor ya Anasthesia. Kwa upande wa soko la ajira na mengineyo. Asanten...
Habari zenu wakuu! Mimi ni miongoni wa wachaguliwa katika kozi tajwa apo naombeni #hits na mambo ya kuzingatia katika safari yangu hii katika chuo tajwa na upande wa mazingira ya chuo kama vile...
Kwema wakuu.
Ebana ndugu yangu amechaguliwa kozi tajwa hapo juu chuo cha sokoine pale Morogoro, naona Kama hajaridhishwa hivi na hii kozi, lengo lake lilikua asome MD ila vyuo vyote vya medicine...
Habar za muda wakuu
Samahanini sana wanajamvi
Selection za vyuo zmetoka
Kama kunamtu kapata Acturial science (IFM) Na Kapata Chemical Engeneer (UDSM) kozi zote anazipenda
Vp hapa kijana huyu...
Hello!
Samahanini kwa mtu ambaye anajua namna ya kuvipata vitabu vya Kiswahili mtandaoni na kuvidownload PDF kama NGOSWE PENZI KITOVU CHA UZEMBE NA VINGINE TAFADHALI[emoji120]
Nisaidien mawazo kwa anaejua ,jaman sijachaguliwa first selection naulizia je nikirudia kuomba course nyingne tofaut na nilizoweka mwanzo lakn vyuo vilevile second selection nalipia Tena hela au
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.