Mimi ni mwanafunzi niliyemaliza kidato Cha nne na kupata ufaulu ufuatao kwenye masomo ya sayansi, Physics-C, Chemistry-A, Biology-B, B/math-B.
Sasa nilikuwa nataka nifanye maombi yangu kwenye...
SIMU: ONGEZA UMAKINI
Habari ndugu zangu, poleni na shughuli za ujenzi wa taifa. Tumshukuru MUNGU kutupa fursa ya kuiona leo, kutuepusha na ajali lakini pia kuturuhusu tupitie jambo fulani gumu...
Deaf-Blind (kiziwi-kipofu)
Dunia ina watu wenye utofauti kihaiba; hii inamaanisha utofauti wa kimaumbile, kifikra na hata kimaono. Tumepata kuwaona watu wa aina mbalimbali wenye mahitaji maalum...
Tanzania kwa sasa tumepiga hatua kidogo kwa kuongeza vyuo vikuu nchini. Ukichunguza kwa makini utagundua kuwa hivi vyuo asilimia 99 vimeandaliwa mahsusi kwa kundi la wanafunzi wasio na ulemavu wa...
Natangulize Heshima
Nauliza hii kozi tajwa hapo juu inahusika na nini hasa?
Kama ni diploma holder yatakiwa uwe umesoma kozi gani?
Habari gani upande wa ajira mtaani?
Nashukuru......
Jaman mtambue kua kuvaa miwani ni tiba kama tiba nyingine,ni kama wale wanaovaa hearing aids kuwasaidia kusikia vzuri
Lakini ni kama automatically kuvaa miwani mme connect na akili au IQ na hii...
Habari wana JF,
Nina shida kidogo hapa naomba msaada.
Mimi ni muuguzi ngazi ya Diploma sasa mwaka jana nilijiunga na chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) kuchukua Bachelor of science in Nursing...
Ndugu,
Wana jamvi habar za asubuhi,
Kama kichwa Cha habar kinavyosema wapi naweza kupata vitabu vya shule ya msingi vya darasa la nne Na darasa la Saba kwa maana ya madarasa ya mitihani ya Taifa...
Tunajua kule kenya ukihitimu form 4 unaenda moja kwa moja chuo kikuu. Je, kwa mwanafunzi aliyesomea kenya form four na anataka aje asome hapa tz anaweza kwenda vyuo vikuu vya hapa?
Kwa wazoefu...
Habarini na poleni kwa majukumu,
Naomba kuulza ivi kuomba mkopo wa elimu ya just Ni lazima niende internet cafe? Cwezi omba kwenye cmu in case issues zitazonilazimu Kama kuprint ndo niende...
Wakuu,Kuna kijana anaomba ushauri wenu juu ya kozi gani akasome kati ya hizi zifuatazo kwa upande wa kuweza kujiajiri au hata kuajiriwa.
Amemaliza kidato cha 6 mwaka jana ila hakufanikiwa kwenda...
Nina degree ya procurement and logistics management. Nataka kufanya mitihani ya bodi ambapo kwenye taarifa iliyopo kwenye website yao wanasema mitihani hufanyika may na november.
Nilitaka kujua...
Wakuu Habari zenu
Nina mdgo wangu anahitaji kusoma kosama kozi za afya
Lakini matokoe yake Ya advance pamoja na ukweli na competition... ni ngumu kutoboa tofauti na miaka ile Sisi tunasoma...
Nimemaliza pcb 2022 nimepata division 1.8 phys C chem B na Bio C natafuta course ambayo nikimaliza tu chuo nipate ajira swali langu je ni kweli kuwa kozi za afya ni kozi ambazo watu wake hawakosi...
Nampeleka International school akapate vitu vikuu vitatu,
Netwoking
Exposure
Confidence
Hivi kule vinapatikana kwa wingi sana na kule hawafundishwi kutafuta wa kwanza na wa mwisho.
Mtoto Mfano...
Habari, wakubwa naomba ushauri wa kozi ipi nikasome, hapa nimemalza Diploma ya Mechatronics engineering.
Naombeni ushauri wa kozi nzuri ya kusoma level ya degree
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.