Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Siku nyyingi najiuliza selection za vyuo zinatumia programme gani. Si rahisi kuzifanya manualy kuwa mtu anaangali nani kapata nini, anawalinganisha then anapata mwenye sifa ja juu. Mfano: Mtu wa...
0 Reactions
0 Replies
667 Views
Wadau karibu tutor mawazo kuhusu cozi hii na uzito wake hapa Tanzania. Tusaidizane kuwajengea uelewa wanaoelkea kuchukua masomo haya.
0 Reactions
0 Replies
784 Views
HABARI ZENU WAKUU NAOMBA MSAADA NIMEPATA NAFASI UDSM BACHELOR OF COMMERCE IN ACCOUNTING LAKINI NATAKA NIFANYE HUAMISHO KWENDA ARDHI UNIVERSITY NIKASOMEE BACHELOR OF SCIENCE IN ACCOUNTING AND...
0 Reactions
0 Replies
628 Views
Wakuu naombeni ufafanuzi juu ya hii course ya Bachelor of Science in Chemistry nahitaji kuisoma
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Time is running very fast, we need to know the fate of our applicants. Tafadhali toeni majina watoto wajiandae pamoja na wazazi mambo ya ada na gharama zingine.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kumekuwa na mkanganyiko mkubwa sana katika hili swala wa watoto kusoma nje ya Tanzania. Binafsi nina binti yangu nataka kumpeleka CANADA (Alberta for her Economics course first degree) ila napata...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Wakuu msaada tafadhali mimi tayari ni mtumishi wauma naenda kujiendeleza kwa ngazi ya shahada .nimechaguliwa idol meals guy kwa kozi tajwa halo Juu. Je, kozi hii inaweza kunisaidia kutoka kituo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakati nasoma shule ya msingi motto wetu ambao tulikuwa tukiusema kwa hisia kila siku asubuhi ulikuwa "elimu ni ufunguo wa maisha". Takribani miaka 20 tangu kipindi hiko maelfu ya waliokuwa...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna kijana alipata division one ya point 5 mwaka 2013 lakini akapata kujiingiza kwenye kutafuta pesa miataani. Sasa amegundua solution ya maisha yake ni kusoma anapenda kuwa daktari lakini...
2 Reactions
31 Replies
6K Views
Researchers want to expand scientific terms in African languages including Luganda, which is spoken in East Africa. Pictured: student-teachers in Kampala.Credit: Eye Ubiquitous/Alamy There’s no...
0 Reactions
1 Replies
756 Views
Wadau habari? Vijana wetu wako JESHINI, vipi maombi ya vyuo kwao? Maana hakuna mawasiliano na hatujui utaratibu wao wa kuomba vyuo na mikopo ukoje anayejua. Msaada please
0 Reactions
7 Replies
1K Views
wadau wa elimu, Nina swali. nataka kuacha degree nikasome diploma je inawezekana au natakiwa niende kwanza tcu kusema kama nimeacha au utaratibu upoke, msaada please.
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Habari wadau wa jamii forums, naomba kuuliza au kujuzwa ni couse gani inaweza kunifaa katika shuguri za kujiajili au kuajiliwa kati ya project planning, management and community development vs...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Msaada app nzuri ya kupakua movie
0 Reactions
2 Replies
848 Views
Wale walioomba diploma za afya matokeo wanaangalia wapi?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa mfano mtu ameshakuwa selected kwenye multiple universities lakini haja-confirm bado, je huyo mtu ana possibility ya kuchaguliwa tena chuo kingine iwapo aki-apply second selection?
0 Reactions
0 Replies
639 Views
Ndugu zangu nina mdogo wangu amefanikiwa kuchaguliwa ktk vyuo hivi viwili vya elimu ya juu vya Jordan University College kilichoko Morogoro na St. Augustine University - Arusha Campus. Naomba...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
wakuu habarini za saa hizi? Nimechaguliwa kusoma kozi zifuatazo. 1: bachelor of business information technology pale (UDSM NA MZUMBE). 2: bachelor of sciences in computer system and network...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu kwa mujibu wa tangazo la NACTE leo 22 August 2021 majina ya waliochaguliwa yanatakiwa kutangazwa ila mpaka saivi sijaona chochote. Wajuvi wa Mambo naombeni msaada mdogo wenu pengine kuna...
0 Reactions
19 Replies
7K Views
Back
Top Bottom