Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Naomba ufafanuzi juu ya course ya Bachelor of Commerce in Marketing na pia kama uweza kujiajiri.
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Mimi ni mwanafunzi wa diploma uguuzi na ukunga katika chuo cha afya jijini Mbeya niliamua kuarisha mwaka wa tatu kutokana na changamoto za ada maana kama kijana nimejitahidi sana kupambana maana...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Nimeangalia matokeo ya form six nimeshangaa kuona idadi ya shule za A level ni 610 tu nchi nzima. Kama nakumbuka vizuri, shule za O level zaidi ya 3,000. Na nyingi ya hizo shule za A level...
6 Reactions
57 Replies
4K Views
Vijana wameaswa na Uongozi kuepuka wanaojifanya mawakala wa TCU. Maombi yaliyofunguliwa ni dirisha dogo kwa ajili ya watu wa Diploma na Certificate.
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Naombeni kufahamishwa kuhusu vyuo vya ualimu na mgawanyo wa matokeo ya mitihani yake ya necta kama ifuatavyo: Vyuo: 1. Nini maana ya DSEE, GATCE, na GATSCCE? Matokeo: 2. Nini maana ya...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari wakuu, Thank lord for another day of breathing. Back to point, I made a list of kozi nazoendana nazo (personality, passion etc) By looking at Respective UNI prospectus, and finally list...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Hivi mnaosoma somo la historia kwa sasa bado mnafundishwa kuhusu safari za carl peters?? Is this the history we praise and teach?
2 Reactions
35 Replies
2K Views
Kuna mhitimu wa kidato cha sita mwaka huu, anataka kuomba kusoma chuo nje ya nchi. Anawezaje kupata result slip au cheti kwa haraka ili akamilishe maombi ndani ya muda. Msaada wenu tafadhali.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari ndugu zangu watanzania,ndugu yangu kwenye matokeo haya yaliyotoka kidato cha sita amepata four ya 16 ,matokeo yake ni Biology =S,Chemistry=S na Geography=D. Sasa anaweza kupata chuo kusoma...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Kwanza nitoe pongezi wa ufaulu mzuri matokeo kidato cha sita. Hongeren wanafunzi, walimu ,wazazi na wadau wote. Niende moja kwa moja kwenye mada. Namna baraza la mitihn linavyopima watahiniwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa matokeo haya je naweza kupata medicine hata vyuo vya private ukizingatia pia competition Physics D Chemistry C Biology D Bam C
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Ngazi za msingi na Sekondari sawa ngazi za vyuo mpango upo au ? Mie naona kama ndoto za watoto kusoma wanachokipenda zinachezewa
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Nataka kufahamu walimu wa CHETI wanaanza lini mwaka mpya wa masomo 2021/2022? Nilimuombea dogo chuo ila mpaka sasa sijapata majibu yyte, je nitajuaje kama amepangiwa chuo? Naombeni wajuzi mnisaidie
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Kuna no sijapewa kwenye frequency natafutaje mean hapo no
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba kuuliza hivi Maombi ya Ualimu kwa ngazi ya cheti na Diploma (NACTE) Bado yanaendelea ? Na utaratibu ukoje msaada tafadhali
0 Reactions
0 Replies
899 Views
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya kidato cha sita mwaka 2021 na kutaja shule kumi bora zilizofanya vizuri katika mtihani huo. Akizungumza leo Jumamosi Julai 10, 2021...
2 Reactions
49 Replies
11K Views
Wakubwa wazimaaa? Mdogo wangu amepata CCC EGM. Kulingana na ujuzi wenu juu ya nchi yetu na uchumi wake. Naombeni ushauri wa kumpa huyu dogo juu ya kozi nzuri ambayo itmuwezesha kujiajiri...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba kujuzwa kuhusu hii kozi itolewayo na OUT je inamfanya mtu awe competent katika field hii kwa kuzingatia mfumo wa open sio wa kuingia darasan mda wote. Waliowahi kuisoma au wenye kujua...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za mchana wakuu, naomba kujua kozi zipi nzuri mdogo angu anaweza kusoma chuo kwa matokeo haya ya advance . G/study............D History.............C Geography.......D Economic........D...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimekuja na tokeo la vijana machachari kutokea KISIMIRI wakiendelea kunyosha misonge ya one kali. Swali langu ni moja kwanini ni vijana wa PCM tu ambao hutoboa kupiga one za tatu tangu Tanzania...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom