Wadau, kwakweli sijaona mwaka ambao majibu ya form VI yamechelewa sana kama mwaka huu kwa hii miaka ya karibuni.. Ni miezi miwili sasa na Siku kadhaa toka madogo wamalize mitihani yao ila hadi leo...
Baada ya kuambiwa waoendoe 10% penalty na 6% kama VRF yaani huwezi amini balance ya Deni la heslb mwezi may na June 2021 inatofautiana kwa Shs 15/= tu wakati makato ya 15% kwenye basic salary...
Kuna dogo alipata div 3 form four ila kwenye combination HGK yake alipata CBC. Sasa amechaguliwa chuo cha mipango Dodoma certificate ya mipango.
Sasa amefika nyumbani akiniuliza kama Tamisemi...
Mambo vp,
Mimi ni kijana wa miaka 21 ninaishi Dar.
Nilikuwa naomba ideas. Zenu maarifa yenu mawazo yenu . Nilisoma Nusery na Kisha nikaenda primary ila sikupata certificate ya darasa la Saba...
Habar zenu
Ningeomba ushaur hapo wakuu kuwa n vyema kuanza kaz baada ya diploma ya clinical medicine alaf ndio ujiendeleze au kujiendeleza immediately after diploma of clinical medicine
Kuna kitabu kimoja hivi kilitikisa sana miaka ya nyuma kinaelezea Uchawi wa Mchungaji Stephano,
Wakuu hivi hii story ni ya kweli?
Na huyo mchungaji alishawahi kuwepo?
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya juu (HESLB) imetoa mwongozo wa utoaji mikopo mwaka 2021/22 ambao inatakiwa kila mwombaji anatakiwa utumie tarehe 02-04/07/2021 kuusoma na kuelewa na kisha...
Habarini humu,
Ni mwanachuo MD mwaka wa 2, nipo najiandaa na UE zikiwa zimebaki wiki kadhaa pekee. Nina diploma ya Clinical Medicine na nilijaribu kuomba hizi ajira za Serikali na nimepata ajira...
Jaman mwenzenu nasoma Chuo Kikuu cha Iringa semister iliyopita nilipata carry ya SoMo la fonetic kutokana na matatizo ya ada yaliyonifanya kuingia mtaan kusaka ada.
Swali je ikitokea Hilo SoMo...
Ama kweli mwema ni mwema hata akionekana mbaya. Siku 100 za mama samia zilikua siku za kupanga ukandamizaji dhidi ya watu wenye stashahada wenye lengo la kuchukua shahada.
Nikiwa kama muhanga wa...
Sasa jamii yetu imeamka, sasa jamii yetu ni jamii ya watu wenye kiu ya maarifa, wakuu napenda kujuzwa software ambayo itaniwesha kuuza vitabu na machapisho mbali mbali ili niwafikie hadhira ya...
NI KUHUSU WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI KUKARIRI DARASA
Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi. Nikiangalia agizo la waziri wa elimu Prof. Ndalichako nabaini lina athari kwa wanafunzi ambao uwezo wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.