Hatimae shule ya wasichana machame, baada ya kuingiza ingiza wanafunzi top ten miaka iliyopita hapo nyuma, hatimae Rasmi inefanikiwa kutoa Tanzania one matokeo KIDATO CHA SITA 2021
Pongezi kwa...
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania Dkt Charles Msonde anatangaza matokeo ya Mitihani ya Kidato cha Sita na Ualimu iliyofanyika Mei 2021.
Ameeleza kuwa ufaulu wa wanafunzi...
Bila shaka natumaini mpo salama wakuu.
Moja kwa moja kwenye mada. imegundulika dhahiri shahiri kwamba wanafunzi wanaosoma advance na kujiunga na chuo kikuu wanakuw shallow sana ukicompare na wale...
Nlikuwa nataft principal ya economics hakika nmeipata"C",matokeo ya awal yalikuw n EDE,(hge),saivi naweza omba chuo na mkopo nikapewa 100%? Kwa kozi za biashara?, geog v economics(DC),naomben ushauri
Samahan wadau,
Kumekuwa na link inyosambazwa https://olas.heslb.go.tz/index.php/olas/user/register/repay?t=2 ukiingia inaonyesha deni tofauti na lile lililopo kwenye salary slip kwa wale...
Wa kwanza msichana baada ya kukosa Law mlimani nikamwambia soma Education akaniambia mimi niitwe mwalimu haiwezekani. Akaenda kusoma BA History Mlimani hapo hapo. Kamaliza 2014, kapeleka barua...
Habari wakuu,
Ninaomba kupewa muongozo au msaada kua kati ya kozi hizo tatu za kilimo ipi ina tija na ni nzuri haina usumbufu mwingi mbeleni kwa pale SUA.
Pia, soko lake zuri iwe kwenye...
Hello wakuu,
Naomba msaada nimehitimu kidato Cha nne kwaka Jana 2020 na kupata grade C flat na nataka niingie college
Je, kati ya course mbili hizi civil na electrical & hydro power...
Kwa yeyote ambae na mawasiliano na mwalimu wa vyuo vya ufundi vifutavyo anisaidie
1: veta Chang'ombe
2: Veta pwani
3: Veta manyara
4: veta mtwara
Maana sijajibiwa kwa njia ya email na simu zao...
Naomba mwenye ufahamu wa hii course anisaidie kujua chuo gani kinatoa content na kufundisha vizuri kati ya Mzumbe, IFM na IAA.
IAA imenifurahisha zaidi maana kuna somo la Taxation tatizo sijui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.