Wadau,
Kuna mdogo wangu amesomea kada ya biashara katika elimu yake ya upili (O-Level) na kwa sasa anafanya shahada ya Ugavi (Degree of Procurement and Supply) kwenye chuo kimoja maaraufu hapa...
Hayo yamesemwa na mkuu wa nchi Rais John Pombe Magufuli mbele ya wahitimu huko UDOM.
Pia kadiri ya TCU ndio chuo kikuu kinachapota waombaji wengi baada ya UDSM nchini ingawa ni kidogo kieneo...
Naombeni ushauri please mimi ni nilimaliza elimu yangu ya Form Four nikiwa namatokeo mabaya. Sasa nataman kurisit (kurudia masomo) masomo ya biashara nilisit masomo mangapi?
Nawapongeza graduate wote waliohitimu masomo yao, either yawe ya ngazi ya degree au masters.. hongereni kwa kukwepa sup na special exams..
hakika nyani mzee amekwepa mishale mingi.
Sisi...
Kama nimeitaja shule yako jitokeze na uitaje umpate school mate mwenzio muunde undugu.. Nimepanga randomly bila kufuata utaratibu wowote..
1.Mzumbe
2.Milambo
3.Kantalamba
4.Minaki
5.Iyunga...
Waziri wa elimu sayansi na teknolojia kwa heshima na taaadhima tunakuomba ufuatilie utendaji kazi wa waalimu hawa Mwalimu Gunda na Mwalimu kabole waliopo chuo cha ualimu korogwe kwani...
Natumai ni mabuheri wa afya!
Nikiwa O level nilitokea kupenda sanaa somo la literature haswaa ya west africa hususani Mzee Chinua Achebe na kazi zake za Things Fall Apart, No Longer at Easy...
Katika kipindi hiki cha ugonjwa wa corona lilitolewa agizo na serikali kua shule zote pamoja na vyuo vifungwe ili kupunguza misongamano, lakini cha kushangaza kwa baadhi ya mikoa Kama Tanga kuna...
Naliona anguko la shule za English Medium Tanzania.
Naona wazazi wengi wakiwatoa watoto wao kwenye shule za English Medium na kuwapeleka kwenye shule za kayumba.
Sababu? Sababu ni zile zile...
Tuchukulie ni mwaka1980' mda ambao simu za mkononi hamna lakini zipo za mezani.
Wewe hauna lakini vibandani wanatoa uduma ya simu kwa malipo.
Kaka yako anafanya kazi katika shilika moja uko...
Habari wadau,
Naomba kwenye ufahamu na namna ya kupata vyuo nje na Tanzania hasa Uganda nataka nikachukue Bach. Of Environmental Management au Applied geology
Kama kuna Mtu anahusika. Na hizo...
Elimu ni kitu muhimu sana maishani.Ndo maana hata Mwenyezi Mungu alijua kabisa mwanadamu hatoweza kuishi na amani humu dunian ndo maana akatuhasa kumkamata sana elimu tusimwache aende zake.Lakin...
Nataka na kutamani sana hii iwe kama sheria kuu ya nchi yetu na watu wajifunze tangu shule za awali mpaka vyuo vikuu. Pia izungumzwe ngazi ya familia mpaka taifa. Ili pasije pakatokea shida au...
Wadau wa Elimu, kwanza naomba ku declare interest kuwa mimi nilisomea ualimu ngazi ya stashahada.
Wakati nasoma shuleni, hasa somo la Historia nilifundishwa na kuaminishwa kwamba elimu ya...
Walimu wa primary school habarini, poleni Na korona.
Leo napenda tuchangie hii mada kidogo.Hivi kwa sasa tunaelekea wp Na mtaala wetu? Kama mjuavyo tuna mtaala wa zamani unaoishia Drs la 7 ambao...
Habari,
Naomba kama kuna mtu/ watu wenye experience ya kusoma chuo hiki Huria (UNISA). Please share your experiences nahitaji ili nifanye maamuzi.
Natanguliza shukrani zangu.
Sent using Jamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.