Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari jamani wazima Katika kuappel mkopo nilipewa kiasi kidogo sana yaani 40% tu huku chuo nikipaswa kulipa ada kubwa. Nimejaribu kuappeal japo sijatuma taarifa zangu kuna hili jambo ni appeal...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Nimesikia ya kuwa utaratibu mpya utatumika kwenye ufaulu wa mitihani ya kidato cha 4, 2019.hususani kupanga madaraja ya ufaulu,mfano Daraja la kwanza,7 _14 Daraja la pili. 15_18 Daraja la...
2 Reactions
16 Replies
6K Views
Salaaam wana historia wa hapa jf. Mimi siyo mwana historia lakini ni miongoni mwa wapenda historia. Nilienda upande wa afya. Nilisoma historia hadi f4. Kuna vitu napenda kuvijua kwa undani...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habarini wadau, Nina mpango wa kuhamisha makazi kuelekea maeneo ya Mbezi Luis. Nina mtoto wa darasa la pili nataka nimuhamishie shule za maeneo ya karibu na hayo, ukanda wa Mbezi Mwisho, Goba au...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kwanini elimu ya Tanzania mitaala hubadilishwa Mara kwa Mara?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tafadhali watu wa IT na wengineo natamani sana kusomea mambo ya IT. Je, faida zake na hasara ni zipi? Vyuo gani naweza kusoma na nikawa competent? Vitu gani vya kuzingatia na kwenye soko la ajira...
1 Reactions
17 Replies
10K Views
Hope mko wazima wa afya. Naomba kuuliza kwa wanaofahamu jinsi hawa NACTE wanapata GPA ya mwisho inayoweza kumpeleka mwanafunzi elimu ya juu (degree). Je wanachukua ile GPA ya semester ya pili ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wakuu, Naomba msaada wa mwenye kujua anuani na eneo ambalo ndio ofisi yake ilipo 1. Katibu Tawala Dar es salaam 2. Afisa Elimu Sekondari Dar es salaam Nataka uamisho wa shule sasa hizo...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Hello guys, kuna course moja nimeipenda ila cha ajabu huko nchi za wenzetu hawana internship ila hapa kwetu Tanzania wanafanya intern. Vipi kama ukisoma unaweza fanya intern bongo au watafanyeje...
1 Reactions
38 Replies
6K Views
Mwenye kujua kama inawezekana kusoma Degree ya pili (Masters) kwa mwenye GPA ya 2.6. Na kama inawezekana utaratibu upoje? Na je huyu mtu mwenye GPA ya 2.6 anaweza kupata Scholarship? Karibuni...
0 Reactions
21 Replies
8K Views
Habari zenu wakuu? Naomba kuuliza kama kuna chuo chochote kinachotoa Masters degree of Precision Agriculture.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimetokea kitm college ,ngazi ya cheti sasa nimeapply chuo kingine kusoma diploma ambacho ni NIT so nataka kujua uwezekano huwa upo wa kuingia coz na G.P.A ya 3.9
0 Reactions
53 Replies
6K Views
Hivi unadhani kuja haja ya kufanyia maboresho mitaala yetu Tanzania. Bonyeza link hii tupe maoni yako. https://forms.gle/p8WrEGDJRQNXof1X6
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Watoto watukutu mnaoshindwa kuwa na society skills tujifunze kwenye movie hii siyo kazI kutengeneza KAZI
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba mnisaidie Kichwa cha Habari kinachofaa kuandika kwenye barua ya rufaa kwa waliokosa mkopo. Msaada tafadhali Link ya Appel iliwekwa mwanzoni kabisa baadae ikatolewa kwa wote. Ili u appeal...
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Habari zenu wana jamvi, natumaini wote mu wazima. Je, Kwa mtu aliyesoma Certificate in Record Management Degree anaenda kusoma Course gani? (Nimejaribu kutafuta sijaona Bachelor in Records...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Miaka hii dhana ya vijana wanaotoka chuo kuambiwa wajiajiri imekuwa kubwa sana, hii ni kutokana na ukosefu wa ajira. Nikiwa kama mhanga wa ukosefu wa ajira nimeona bora nijiongeze nisikae tu na...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Habari wana jf, Naomba tusaidiane mawazo kuna mwanafunzi wa chuo kikuu hapa nchini akifanya stashada katika masomo ya uhandisi wa umeme na elektronik mwaka wa tatu, awamu ya tano yaan amebakisha...
1 Reactions
21 Replies
5K Views
Ipi kozi nzuri yenye uwanja mkubwa wa kujiajiri na kuajiriwa? Nataka niapply mwakani kati ya Clinical Medicine na Biomedical Equipment Engineer Naomba ushauri wenu wadau.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom