Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kulikoni hapo jameni? Mbatia analia na Chadema!! Mzee wa Nji hii nae vivyo hivyo!! Hivi kwanini na wote wako jahazi moja?? kuna siri gani iliyo sirini hapo???:thinking:
0 Reactions
41 Replies
4K Views
hello members wa jf, nimekuwa nikichangia mada mbalimbali bila kujitambulisha,hello am NEW!!!
0 Reactions
9 Replies
1K Views
PCCB Chombo kilichoundwa kwa ajili ya kuzuia na kupambana na rushwa kimekosa rasmi uhalali mbele ya macho ya watanzania kwa kuwapamba wala rushwa. Kwa mara ya kwanza PCCB iliwasafisha Richmond...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Cabinet mpya hii hapa Kikwete anatarajia kuchanganya sura mpya chache na za zamani nyingi kwenye baraza lake la mawaziri analotarajiwa kulitangaza wiki ijayo. Aidha huenda akapunguza ukubwa wa...
0 Reactions
41 Replies
6K Views
Eti kirefu cha CCM NI Chaka Chua Matokeo
0 Reactions
2 Replies
1K Views
I am not in any way disputing the qualities of Mabere Marando, just simply posing the question of the best most likely candidate who could win uspika wa Bunge. This is Chadema's opportunity to...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kama mnavyofahamu hivi sasa kampeni za uchaguzi wa udiwani zinaendelea nchi nzima. Chaguzi hizi ndogo zinatokana na waliokuwa wakishikilia viti hivo ama kufariki dunia au kupoteza sifa za...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Sitegemei kama tutaona Bunge lenye viwango vyovyote wakati huu, ni dhahiri kwamba kwa uteuzi huu wa "bora tukose wote" ni kuwapa nguvu tena mafisadi kujipanga upya baada ya kujeruhiwa vibaya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wazee naona inabidi kusoma 'between the lines', CCM sio wajinga kumwambia Chenge agombee Uspika wanajua attention yenu yote itakuwa kumkataa Chenge, kumbe kuna mtu wao mwingine kajificha atakuja...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
UKISHANGAA nguvu ya mafisadi kuhakikisha wanamuweka speaker atakayewalinda, UTAZIMIA ukisikia baraza la mawaziri. Kwa mwenye kusoma nyakati ameshajua kina nani watakuwa mawaziri, kina nani...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani nahisi kila mmoja wetu ni shahidi wa kazi ya bunge iliyofanyika na bunge lililopita chini ya mheshimiwa Samuel Sitta. Bunge lililopita lilifanya kazi nzuri na hasa ile ya kuruhusu mijadala...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
CCM YEYE TWAONA ANA MABAYA TU HANA MAZURI, ILA CHADEMA YEYE NI MAZURI TU,wadau rejeeni post aliyoweka ndugu Ng'wanangwa "VIKUKU BUNGENI",ivi alipoamua kuwaweka hao wanawake hapo ili tuwaone...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wadau kelele za nini, ujenzi wa mnara wa baberi unaendelea vizuri, baada ya muda si mrefu mataona matokeo. Hata wanyonge , wanamungu pia. Nawakilisha.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Picha hii hapa chini inaweza kufupishwa kwa neno moja tuu - UNAFIKI. Eti Chenge na Sita wanatabasamu kabla ya kikao cha jana kilichowatupa nje wote!!!!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Am not saying it will happen, but it can happen - Chenge kukutwa na hatia na kesi zake na jimbo la bariadi kuwa wazi, uchaguzi kurudiwa - Dr. kusimama kama mgombea bariadi - This will be the best...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mambo kadhaa sasa yanaonyesha kuwa watuhumiwa wa ufisadi wana nguvu ndani ya CCM na TZ kwa ujumla.Mfano katika uchaguzi mkuu ulioisha wameripotiwa kuwakampenia baadhi ya wagombea na wamepita...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Fuatilia hapo uangalie mkatunist alivoweka mambo. DORY | Facebook
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ati umefika wakati wa mwanamke kushika muhimili mmoja wa dola. Ratiba hiyo anayo nani? Ikiwa ipo, tuambiwe basi ni lini CCM imepanga mwanamke awe Jaji Mkuu. Si vibaya pia, CCM ikatanabaisha ni...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Omary Yusuph Mzee,ni aliyekuwa Naibu waziri wa Fedha na Uchumi wa serikali ya awamu ya nne katika kipindi kilichopita,anatajwa moja ya watu makini katika uongozi na shughuli anazo fanya hasa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Hivo ndo mkatunist alivoiona October 31st 2010
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom