Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Out of Curiosity I looked at the tabulated data posted on this forum under the theme 'tathmii ya kina' and compared this with the published election results. Interesting, the postings by JF...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Haya Ndugu zangu, huyu naye alikuwa na mtazamo wake wa kupigia magoti mafisadi, hii ni kabla ya matokeo rasmi kutangazwa na NEC,ukipata muda soma By Jerry Okungu Nairobi, Kenya November 4, 2010...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wale wazee wa kikao cha siri huko mjini mwanza kwaajiri ya kuweka mazingira mazuri ya CCM kushinda wameongea na watanzania,, kilamtu alikuwa akijiumauma na kusingizia publicity, ,hivi hawa watu...
0 Reactions
58 Replies
7K Views
Siku chache baada ya Uchaguzi kumalizika na sisi wana Kawe kumchagua Mbunge wetu Halima MDEE, Dawasco wameamua kutukomoa kwa kutukatia maji mfululizo. Sio kawaida huku kwetu maji kukatika kiasi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA). KURUGENZI YA BUNGE NA HALIMASHAURI. TAMKO KUHUSU ZOEZI LA UCHUKUAJI WA FOMU ZA NAFASI YA SPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Kwenye magazeti ya leo Dr. Shein kamteua Makamu Mwenyekiti wa NEC, Jaji Makungu kuwa mwanasheria mkuu wa Z'bar. Hivi atafanya kazi zote mbili? Au hii nafasi ya huku NEC ndio iko wazi? Ndio janja...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Sheria hii ya Uchaguzi ya 1984 Sehemu ya Kipengele chake ilikuwa inasema: (2) The Electoral Commission may, for any reason which appears to be sufficient, require that the votes in the...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Tumesikia mengi sana kati ya JK na Dr.Slaa! sasa tusubiri tuone hii vita ya Chenge na Samweli sita itaishia wapi kuhusu kinyanganyiro cha kugombea Uspika wa bunge la jamuhuri ya muungano wa TZ...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Jamani nawezaje kupata uraia wa Rwuanda? kama chenge atakuwa spika wa bunge la JMT na EL kugombea uraisi 2015 na RA kuendelea kugharamia mafisadi basi kiama cha Tanzania kimefika. Nahitaji...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
"Watanzania ni watu wanaopenda umoja na amani" ukimsika mtanzania anayetamaka haya maneno ni wakuogopa sana. Hivi kuna amani na umoja gani wakati wengine hawana chakula cha kula hata kwa siku...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakati CCM wasema elimu bure haiwezekani na JK hata anadiriki kuwaponda wanaoidai ni ............"absolutely nonsense"........wenzetu wa Kenya ambao wapo makini siyo kama sisi tuliojaa bla-bla tu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Inasikitisha sana kuona website ya tume ya uchaguzi inakosa matokeo rasmi ya uchaguzi licha ya maafisa mbalimbali wa tume hiyo kuyatangaza rasmi matokeo ya majimbo mbalimbali. Wakati nafungua...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nawashangaa sana viongozi !! Maaskofu na Masheikh... Wanataka amani gani wakati rasilimali za watanzania zinaibwa kweupe? Kwani nini hawa viongozi wa dini hawakemei maovu ya serikali...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tupe muongozo kiongozi, ila kuwa nje ya bunge naamini utaimarisha chama mpaka kila kona ya kila nchi
0 Reactions
6 Replies
2K Views
KATIKA KUONYESHA KWAMBA HATA WAO HAWAWEZI KUBADILIKA WATOTO WA MAFISADI BADO WAMEENDELEA KUWA NA WAO MAFISADI AU WAMEENDELEA KUSHANGILIA BABAZAO JINSI WANAVYOHUJUMU UCHUMU WETU. MFANO, MIRAJI...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
nimeupenda ubunifu huu..! come 2015 kofia za chama cha mafisadi zichakachuliwe namna hii. picha kwa hisani ya blog ya francis gondwin
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wanabodi, Uchaguzi umemalizika, japo ni kwa mtindo wa sadakalawe, mwenye kupata, kupata hata kama ni kwa kuiba, bado kapata tuu na mwenye kukosa, kakosa hata kama ni kwa kuibiwa, kudhulumiwa...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Tokea jana kila nikipita mjini watu wapo busy na shughuli zao na mji upo kimya kama vile leo hakuna tukio muhimu la kuapishwa Rais wao kipenzi aliepita kwa kura za kishindo/tsunami. Watu wengine...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Chenge na Uspika Suala la Bwana Andrew Chenge kugombea uspika limezua mjadala maeneo mbalimbali kama ilivyokuwa wakati kashfa ya radar ilipowekwa adharani (na kashfa nyingine zilizoibuka) na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mussa Juma,Arusha KAMPENI za kumsaka Meya wa jiji la Arusha, zimeanza mjini hapa baada ya kumalizika uchaguzi mkuu na wagombea wa vyama vitatu vya Chadema, CCM na TLP wanatajwa kuwania...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom