Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kituo cha televisheni cha ITV kimeripoti fomu ya Uraisi iliyokuwa itumwe makao makuu haipiti kwenye fax machine na baadaye imegundulika siyo ile ambayo ni rasmi na hivyo imebadilishwa na juhudi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Waha JF kwa habari za uhakika nilizo nazo toka Royola Mh Munyika ametangazwa rasmi kuwa mbuge wa jimbo la Ubungo kwa kura 56000 dhidi ya mpinzani wa CCM aliyepata kura 50,000. Mungu ibariki Tanzania.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nashanga kwanini matoikeo ya majimbo mengi ya mkoa wa Shinyanga yamechelewa kutangazwa.Na majimbo yenye nguvu kubwa ya upinzani-CHADEMA hayatangazwi kwa muda mpaka watu wachome moto majengo au...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mbulu CUF: 530 (Deus) CCM: 27,210 (Marmo) CHADEMA: 48,428 (Akoonay Mustapha) Hanang CHADEMA: 21,986 (Kamili) CCM 34, 338 (Nagu) source tbc 10:03 hrs
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Ubunge Manyoni Mashariki - Lwanji/CCM Ubunge Masasi - CUF Ubunge Ukerewe - Salvatory Naluyege/CHADEMA Ubunge Mkinga - CCM Ubunge Kilosa - Mustapha Mkullo/CCM Ubunge Namtumbo - Vita Kawawa/CCM...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
JK may be on a treacherous path to retain his grip on national politics but the question remains through whose legitimacy...............his self-appointed NEC and the security forces or voters'...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Matokeo ya uchaguzi yaliyowapa ushindi Wabunge wa ccm mkoani Kagera na hasa kagasheki yamenihuzunisha sana ikizingatiwa huko ndo nyumbani. Wale wa kwetu, kuendelea na ccm bila wapinzani si ni sawa...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Nimeskia wakazi wa Mbeya vijijini wameandamana hadi Mbeya mjini kudai kuwa Mgombea ubunge wa CCM ambaye ametangazwa kuwa ni mshindi Hajashinda kihalali na FFU wanawatawanya kwa mabomu ya machozi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tume ya uchaguzi imepatwa kigugumizi wamekimbia katika kituo cha kuhesabia oysterbay na hawataki kutoa majibu mpaka hivi sasa ni saa 5 usiku nec wameingia mitini kinachoonekana wanataka...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Ukurasa Mkuu Habari za Kitaifa Habari za Mataifa Mbalimbali Habari za Burudani na Michezo Jiliwaze Gazeti la Burudani Gazeti la Mzalendo Gazeti la Uhuru Zilizojiri hivi Punde Makala Uchumi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nchi ,hii matokeo wanatangaza saa 7 usiku wakati kwenye vituo Peoples pawa wanaongoza!!! Aibu hiyo .ila ipo siku watanzania watataka haki zao wasichakachuliwe kura zao!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa kweli mpaka sasa mawakala wa Chadema wameonesha moyo wa kizalendo wa hali ya juu sana kwa Tanzania. Kwani ni wakala mmoja wa Chadema kule Maswa aliyetoa taarifa ya mtu aliyepiga kura mara...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimependezwa sana na hotuba ya Mh. huyu mara baada ya kutangazwa kwamba ni mshindi wa kiti cha Urais, Z'bar. Hakuwa na lugha ya kejeri, Hakuna kuzomeana kama CCM walivyozoea, Bila unifomu ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kulikuwa na link ya results yenye fomart ya spreadsheet (like excel), imenipotea. Naomba aliyenayo aniwekee hapa jamvini.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Aden Rage ashinda ubunge tabora kwa ticket ya CCM na CCM imecshinda kata 24 kati ya 25 chadema wamshinda kata ya misha
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nimefurahishwa sana na jinsi watanzania walivyoamka katika Uchaguzi huu. Hii inadhihirisha jinsi Watanzania walivyochoshwa na miaka 50 ya CCM ambayo haikuwa na manufaa kwa watanzania...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
:israel:KWA MATOKEO NILIYOYAPATA SASA JOHN MNYIKA AMETANGAZWA NA TUME KUWA MBUNGE WA UBUNGO. HONGERA MNYIKA,HONGERA CHADEMA. PIPOOZZZZZZZ.....!!!:israel:
0 Reactions
41 Replies
5K Views
John Mnyika CHADEMA ametangazwa kuwa Mbunge wa jimbo la Ubungo kwa kura 96742 akifuatiwa na Hawa Mngulubi kwa kura 50544 wa CCM
0 Reactions
5 Replies
1K Views
ITV sasa wanaripoti Marmo kashindwaaaa habari ndo hiyo
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mbona hii technologia imekuwa tena kero kuliko manual system? Any one with news on Ubungo and Kawe please
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom