wadau leo ccm wamemtuma kijana wao wa kawe kuzungumza kuhusu fursa ya vijana na mustakabadhi wa taifa ndani ya chama.Jamaa wa ccm anasema ufisadi ni suala la mtu binafsi na si chama uhondo zaidi...
Mgombea mwenza wa NCCR aishiwa nguvu, aanguka jukwaani Send to a friend Thursday, 21 October 2010 10:40 digg
Leon Bahati na Fidelis Butahe
MGOMBEA Mwenza wa NCCR Mageuzi, Ally Omar Juma...
Baada ya kuona swali la mdau hapa kwenye JF leo asubuhi,niliamua kwa dhati kabisa kufuatilia habari za mgombea mwenza wa chadema kwanza kwa kuaniza nyumbani kwake kwani ninaishi nae karibu sana na...
Leo nilikuwa nasikiliza Redio wapo 98.0FM, Gamanywa ametangaza kuongea na waandishi wa habari hapo keso kuhusu mambo ya uchaguzi mkuu, kwa maana ya kuingizwa udini kwenye uchaguzi wa mwaka huu...
WAKATI wagombea watatu wa CCM ,CUF na UDP wakikwepa kufika katika mdahalo wa wagombea ubunge jimbo la Sumbawanga mjini mkoani Rukwa mgombea wa NCCR-Mageuzi Kiyaya Dominic (kulia) amewataka...
Nimepitia blogs za Michuzi, Njengwa na Global Publishers kufuatilia habari mbalimbali, hasa zile za uchaguzi. Ni Global Publishers tu ndio walioweka picha ya Dr. Slaa Mwanza. Hili limenishangaza...
Licha ya juhudi zote nilizozifanya za kuandika magazetini juu ya tabia ya wanachadema kusalimiana huku wamekunja ngumi peoples ....power, nimeandika kwenye magaqzeti mbalimbali kuwa kwa maadili na...
Kufuatia taarifa za kukamatwa kwa karatasi za kupigia kura zilipigwa tayari huko Tunduma, sasa ni dhahiri kuwa vituo 52,000 vilivyotangazwa na NEC huenda kuna vituo ambavyo vinatarajiwa kupokea...
Waungwana mi nimesikitishwa sana na serikali yetu kubadili mfumo kwa kutoa leseni mpya kwa bei ya juu namna hiyo. Hivi hiyo bei kapanga nani. Gharama za kuitengeneza zinafikia 40000/=?
Habari zenu wana JF, nimeona ni vema nikiwamegea hii info muhimu.
Ukitaka kupata info zako za uandikishwaji wako bofya hapa
Kila la kheri fanya maamuzi sahihi october 31, usifuate mkumbo.
"kura...
Hatimaye siku zinazidi kujongea kufikia siku ya uchaguzi mkuu Oct 31, ni siku takribani 11 zimesalia kwa waTanzania kwenda kutumia haki yao ya kikatiba kuchagua viongozi wao katika ngazi mbali...
Wana JF,
Napenda kuwahabarisha kwa tetesi zilijili kwenya mtambo wangu kuwa maandalizi ya kumwapisha Jakaya Mrisho Kikwete Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania 3rd November,2010...
HAWA WANAWAKE WA MBEYA WAMEVUNJA REKODI KWA KUWA MNO WAWAZI. HUKO MOSHI HUWA WANAMSHANGILIA LAKINI AKISHAONDOKA WANAMSENGENYA NA KUMCHARURA KISHA WANAAAPA KUTOKIPIGIA KURA CHAMA CHAKE.
HAPA...
Wanabodi
Nilipata ka vakasheni kafupi, hivyo nikaamua kwenda kujipumzisha mikoa ya Moshi na Arusha
juzi na jana.
Baada ya mapumziko mafupi ya juzi yalitosha na jana nikaitumia kusafisha macho...
Leo nilikuwa mtaani nkawahoji vijana wachache kuhusu uchaguzi.
Wachache wao walikuwa wachuuzi wa vitu vidogo vidogo ambao hunyemela bar kupata wateja wengi wao walionekana kuwa wamejiandikisha ila...
HONG KONG (AP) - Hong Kong customs officers have seized over one and a half tonnes of smuggled elephant ivory worth 10.9 million Hong Kong dollars (1.3 million US) shipped from Tanzania, they...
Habari za kuaminika nilizozipata hivi punde kutoka kwa mdau huko Mwanza ni kuwa umati aliokusanya Dr.Slaa leo huko Mwanza haujapata kutokea na imemlazimu JK kwenda Mwanza tena kesho..
Naagiza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.