Hivi huyu aliyekubali muandike kwamba toka JK aingie madarakani watu milion mbili zaidi wamekuwa masikini bila kuonyesha percentage ni nani??Alitoa oda makusudi au sababu hii itawagharimu...
Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM Bibi Hawa Ng'ambi, usiku huu alishindwa kujizuia na kupandisha hasira kiasi cha mara kwa mara kumzonga mwendeshaji wa kipindi cha mchakato majimboni kilichokuwa...
Kufuatia maamuzi ya uonezi dhidi ya uteuzi wa wagombea wa upinzani yaliyofanywa na wasimamizi wa uchaguzi (Returning Officers) katika baadhi ya majimbo kutupiliwa mbali na Tume ya uchaguzi (NEC)...
Unapoingia jf unakutana na mchakato wa kura dhidi ya wagombea wote wa ngazi ya urais. Kati ya wote, dr. Slaa anaongoza kwa %79 akifuatiwa na kikwete kwa %14. Hizi takwimu zinaakisi hali halisi ya...
Dalili zote zinaonekana ule mwisho wa CCM hatimaye umekaribia. Watanzania wengi wameamka, wanajua haki zao kuliko kipindi kingine chochote sasa. Wakati wa watu kuwasikiliza watu kama wakina...
The question itself imply that hawkins is cognisant of creation needless to say about the creator.if there is creation,then the creator is there "conditio sine qua non".
The ultimate question of...
Mgombea ubunge Chadema ahamia CCM
Saturday, 04 September 2010
Julieth Ngarabali, Kibaha
MGOMBEA wa Ubunge wa Jimbo la Singida Magharibi, kwa tiketi ya Chadema, Nkhambaku Elisha amesitisha...
Gazeti moja la kila juma la kanda ya ziwa katika toleo lake la leo limeripoti mapungunfu kwenye kampeini za wagombea kuwa HAWATAKI KUULIZWA MASAWALI kutoka kwa wapiga kura
soma mwenyewe kupitia...
Dk Slaa awalipua Pinda, Mkapa
Salim Said, Singida
MGOMBEA kiti cha urais kupitia Chadema, Dk Willibrod Slaa amemlipua Waziri Mkuu Mizengo Pinda akisema kuwa akiwa mwenyekiti wa kikao cha...
Energy and Minerals minister, William Ngeleja
Bermuda-based TanzaniteOne Ltd. says it had been granted a "staged" exemption from Tanzania's prohibition on exports of rough tanzanite larger than...
Ada ya kusajili vyama vipiya vya siasa nchini, imepandishwa kwa asilimia 2000 kuanzia leo!.
Ongezeko hilo limetangwa leo asubuhi na Msajili wa Vyama, John Tendwa, kuwa ada ya usajili wa muda...
Ni:
1."Nchi yangu,kwa umoja,amani na maendeleo yake nitaifia kwanza,iwe sahihi au imeboronga."
au
2."Chama changu na kikundi chetu nitakifia kwanza,kiwe sahihi au kina sera...
Wakuu jana Chadema jimbo la Nkenge wamezindua kampeini za kutafuta kuchaguliwa kuwa wawakilishi wa jimbo zilizofanyika eneo la Ishozi na Mgombea wa Udiwani pamoja na mgombea wa ubunge Mr Phocas...
Moz unrest shows power of SMSes
Maputo - Deadly protests that paralysed Mozambique's capital last week were spurred by a text message on Maputo's cell phones, signalling the power of new...
Na tuweni wakweli? Katika wagombea URAIS bila kuangalia chama..ukiambiwa pigia kura "UADILIFU, HAKI na UZALENDO nani anastahili??? Jibu lako nani apewe uongozi wa nchi???
Mtanzania yeyote...
Parties win poll appeal
By: WERNER MENGES
THE case in which nine opposition parties are challenging the conduct of Namibias National Assembly election late last year has been sent back to the...
Mtu mwenye data aziweke ukumbini tuone impact ya magazeti haya ya Udaku.
Kila gazeti wanauza copy ngapi kwa siku?
Daily News
habari leo
Mwananchi
Tanzania Daima
Nipashe
Guardian
Tangu kuanza kwa kampeni za ubunge na urais tumeshuhudia majibizano mengi ya maneno na kuchafuana kunakolenga kupunguza nguvu ya upande mmoja. Katika kuchunguza kwangu nimegundua kuwa walengwa...
China may have found an environmentally friendly way to save money while easing congestion on city roads, Engadget reports.
Instead of spending millions to widen roads, the Shenzhen Huashi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.