Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Mh. Raisi J.M Kikwete ametoa ahadi kuwajengea nyumba wakazi waliokumbwa na mafuriko wilayani Kilosa ktk kampeni yake ya uchaguzi. Pia itakumbukwa kuwa Kiongozi wa Libya alitoa ahadi kama hiyo, ila...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
CCM wanatumia nguvu nyingi sana kujitangaza! Wamezagaa kila mahali kwenye mitandao! Cha ajabu ni kwamba CHADEMA sijui hata kinachoendelea, siamini kwamba CHADEMA hakuna uwezo wa kufanya hivyo! A...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Asalaam Aleykum, Taarifa nilizokuwa nazo ni kuwa Chama Cha Mapinduzi kimeunda kamati ya propaganda kwenye kampeni za uchaguzi inayo ongozwa na PRINCE BAGENDA akisaidiwa na MUHINGO RWEYEMAMU...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Na Maggid Mjengwa, SIKU hizi imekuwa ni ‘ burudani’ kusoma magazeti, kusikiliza redio na hata kutazama televisheni. Maana kuna habari ambazo ni ‘ vituko’ vya uchaguzi haswa. Ni vioja. Na kila...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Maoni mnayo ninyi, mi nisiwasemee!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwaka huu duh! Kuna kazi kweli kweli. Wagombea urais wawili wakuu wanaochuana vikali katika kampeni – yaani JK wa CCM na Dr Slaa wa Chadema wote wawili wamejikuta wanafunguliwa kesi za madai...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kuna ka-kampuni fulani niliwahi kuambiwa ndo kana-haki miliki ya kuratibu mambo yoote ya madini ya Tanzanite. Haka ka-ofisi kako based Johannesburg - sehemu za Sandton, hivi kuna ukweli wowote...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
WATU wanaoaminika kuwa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Kijiji cha Sengenya wilayani Nanyumbu, mkoani Mtwara mwishoni mwa wiki iliyopita waliwazingira na kutaka kuwapiga viongozi wao...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wanasiasa wa Tanzania mbona kama wana sound the same? Au ni masikio yangu tu? Hebu msikilize Zitto hapa YouTube - Maendeleo-Mkutano wa Nane Kijiji cha Mgaraganza, Kata ya Kagongo,Kigoma Kaskazini
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tanzania is an exceptional case when it comes to the pattern of violence and instability that has prevailed in many parts of Sub Saharan Africa since independence. Despite the presence of numerous...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
kwa nini sera za ccm zimekuwa za jumla jumla mno, mfano -tutaimarisha usafiri wa nchi kavu, majini na angani -tutashughulikia suala la kadhi -tutaboresha sekta ya kilimo na mifugo -tutaimarisha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KWA muda mrefu sasa vyombo kadhaa mbalimbali vya habari na watu binafsi vimekuwa vikieneza habari kuwa Dk. Wilibroad Slaa ni Padre wa Kanisa Katoliki na kuwa kwa vile aliwahi kuwa Padre (kuhani)...
0 Reactions
36 Replies
6K Views
Ni jitihada za mtu binafsi, kiongozi zinazoweza kuanzisha vuguvugu la vita ya rushwa. Mnaokumbuka enzi zile za azimio la Arusha tulikemea USIWE KUPE JITEGEMEE na hii ilitokana na Nyerere, kama...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tarehe 31 Octoba ni siku ambayo wakristo wengi wataamka mapema kuwahi kanisani ili wakitoka tu wakapange foleni tayari kwa kuchagua hatma ya nchi hii kwa miaka mitano ijayo. Kwa wale wasio...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
KIKWETE NI KIRAZA SANA? HUDANGANYWA KILA WAKATI Rais anayemaliza muda wake ameonekana kuwa na uwezo mdogo wa kuongoza kwani amekuwa akidanganywa kila wakati. Pamoja na kupewa cheki feki...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jk promises flood victims new houses Monday, 06 September 2010 10:48 By Venance George, Kilosa The Chama Cha Cha Mapinduzi (CCM) presidential candidate, Mr Jakaya Kikwete has said the...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hebu angalia hiyo picha hapo chini. Ona hao watoto walivyorundikana humo darasani. Ona walivyobanana kwenye hayo madawati. Angalia hao walio sakafuni. Wengine wameinama sijui hata kwa nini. Labda...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Nimepokea kwamasikitiko habari ya kutupwa pingamizi lilokuwa limewekwa na Cahama cha Chadema dhidi ya mombea wa ccm Rais jakaya Kikwete! Kutokana na makosa yaliyofanywa na CCM!Hapo ndo unapoona...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwani Kikwete ana tatizo gani? Hiyo dummy cheki imeandikwa dola laki mbili kwa maneno na dola 300,000 kwa namba. Je hapa Kikwete alipewa cheki ya dola ngapi? Mbili au tatu? God know how...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Back
Top Bottom