I wish our words, writings would be translated into actions,
Watanzania tu wanafiki sana, including myself. Everyone seems tired with the current system, but what have we done? Talk as usual...
Wadau,
Tumeshuhudia sisi wenyewe kwamba tangu JK na Makamba washike uongozi wa chama hiki kikongwe nchini, mwenendo wa chama hicho umezidi kudhoofika na kuwa wa hovyo hovyo tu -- ni kama vile...
Someone sent me, you can read if you want
It has been long since our Humanity, Personality, Democracy & Resources being explored; the count down of almost 50 years has passed across with...
Ni dhahiri kwamba CCM ikipata mpinzani wa saizi yake inatikisika.Sio siri,tangu Chadema wamtangaze Dkt Wilbroad Slaa kuwa mgombea wao wa kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano katika Uchaguzi Mkuu...
Kitendo cha Kikwete kutokabidhi chama chake fomu ya kutafuta wadhamini bado kimekuwa kikihojiwa na baadhi ya wana-CCM walioonekana kuudhiwa na hatua hiyo ya Rais Kikwete kuonesha kukosa imani na...
Kupigwa kwa kura za maoni zanzibar juu ya kuwa na serikali ya umoja wa kitaifa kwa kiasi kikubwa ni jambo lililoleta faraja kwa wananchi wengi wa visiwa hivyo. Na huenda ikawa ni tiba ya matatizo...
Hivi kwa nini Chama cha Wananchi (CUF) kimekosa umaarufu kiasi kwamba kilikosa kiti hata kimoja bara 2005? Wabara wengi hawakioni kama Chama mbadala bali Chama Cha Waislamu kutokana na viongozi...
CHONDE CHONDE CHADEMA, msije mkasahau kutumwagia sera zenu wakati wa kampeni! Wakati nikikumbusha hilo, vilevile napenda kukumbusha kwamba kKuna mwanaharakati mmoja (katika masuala ya upigaji vita...
REDET walishazungumza mapema! Watu wakawakejeli kwamba eti wanatumiwa!! Gazeti la Tanzania Daima likadai eti REDET inatumiwa na Kikwete; kwamba REDET wanapotoa utafiti kuonesha kukubalika kwa...
Jamani nimesoma magazeti ya sikumbili tatu huyu mama ati anadai kaibiwa kura nahisi awakumchagua na ni mmoja wa waheshimiwa wa sasa wanaokimbia mashangingi ya uwaziri/unaibu
anyway mama pole sana...
Siandiki uchochezi huu kwa sababu mjomba wangu kashindwa kura za maoni ndani ya CCM, naamini familia yetu haitateseka kwani alichochuma akiwa mbunge aliniambia kinatutosha kula kwa miaka 50 ijayo...
Watanzania wamechoka na maisha kuwa magumu hawaoni direction ya maisha yao
mbeya walishaonesha ukomavu wao wakampiga JK mawe. Je watanzania katika kuelekea uchaguzi watamzomea na kupiga mawe baada...
Mabadiliko Ya Katiba Visiwani Zanzibar
Na Salma Said,
WAJUMBE wa baraza la wawakilishi jana wamekutana na kujadili rasimu ya sheria ya mabadiliko ya katiba itakayowezeshwa kuundwa kwa serikali...
Jamaa kwa Jinsi upepo unavyovuma sasa hv katika Siasa za Tanzania, kutona na Kura za Maoni ndani ya JF pamoja na Kura za Maoni zinazoendeshwa na Gazeti la Serikali ya Kikwete ni wazi kwamba Dr...
I am watching live as the elections returns are announced and being desplayed on The television and other journalist..its is the first time in East Africa that a country is using these degital or...
Kwa miaka mingi CCM kimejivuna kwamba ni chama kikubwa na chenye wanachama wengi zaidi ya vyama vingine, lakini ktk chaguzi hizi zilizopita, Ktk majimbo yote hakuna hata jimbo moja lililokuwa na...
nimekuwa nikifuatilia Vyombo vya Habali,, na kusikia Mgombea Mmmoja anapiga Campaign katika mikoa mbalimbali na Juma mosi alikuwa Jangwani DSM,, na nikajaribu kuulizia nikasikia ETI ANATAFUTA...
Leo nimeona kwenye Magazeti Julius Mtatiro atagombea Ubunge katika Jimbo la Ubunge kwa tiketi ya CUF.
Huyu Jamaa nilikuwa sifahamu kwamba yuko CUF, anyway kila la kheri lakini Mnyika lazima...
Akizungumza wakati wa kutangaza majina ya wagombea wa nafasi ya ubunge na uwakilishi yaliyopitishwa na Baraza Kuu la Uongozi, Dar es Salaam jana, Profesa Lipumba alisema pamoja na umakini wa Dk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.