Written by Edris Kiggundu
`
SUSPECTS: (L-R) Idris Magondu, Muhammed Aden Addow and Hussein Hassan Agad
An Alcatel mobile phone recovered from a house in Makindye, where a bomb...
Kesho kwenye viwanja vya Jangwani Jijini DSM kutakuwa na mkutano mkubwa wa hadhara wa Dr.Slaa kwa ajili ya kuhitimisha zoezi la kuzunguka mikoa yote ya Tanzania kwa ajili ya kuomba kudhaminiwa na...
Kama hii ilikuwa mbinu yao, CCM kwishneiy, eti wamemchagua mtu mwenye jina kama la aliyekuwa mbunge wa Karatu ambaye sasa ni mgombea urais wa Chadema Dr. Wilbroad Slaa kugombea jimbo hilo...
Watoto wengi wa Kitanzania wanaishi maisha ya namna hii.
Kosa lao kubwa ni kuwa walizaliwa na wazazi wa kitanzania, ingawa hilo halikuwa chaguo lao. Je unataka waendelee kuishi namna hiyo...
Nimesikia katika kituo cha Channel 10 taarifa yao ya saa moja usiku huu kwamba katika mkutano wake wa hadhara katika viwanha vya Jangwani leo hii, Mwenyekiti wa Chadema amesema kwamba Chadema...
JK asipuuzie suala la siasa za Mbeya kama zilivyojionyesha katika chaguzi za kura za Chama kuteua Wabunge.
Mkoa wa Mbeya ni kati ya mikoa ambayo JK alipata kura nyingi sana hata kuzigi the...
Kwa wazalendo wote waliona uchungu na nchi hii
Ndugu zangu muda wa mananeno umeisha sasa inatakiwa vitendo
wazo langu ni kuwa Tuwaombe Chadema waanzishe ule mtindo ambao umezoeleka
siku hizi...
..huyu ni fisadi lakini wana ccm rombo "hawaoni", wala "hawasikii."
..na hili inaelekea kama vile ni tatizo la nchi nzima. hata wale mafisadi walioshindwa ktk mahimbo mengine inaelekea...
Katika kipindi hiki kigumu cha kuwachagua viongozi watakao tuwakilisha na kuwasilisha wawazo yetu na matatizo yanayotukabili katika Bunge letu tukufu la jamuuri ya muungano wa Tanzania yatubidi...
Wapendwa kwanza hongeren kwa imani na mwmako mliokuwa nao
nimeona ni vyema tusaidiane kwa hili kama tujuavyo silaa akiwa mwenyewe
atapata shida sana embu tujitahidi kama tunamipigia dk silaa rais...
Haya wakuu pamoja focus ni uchaguzi na hili nalo limo,Huko nyuma gazeti la Mwananchi liliripoti habari tofauti sasa nani mkweli? au ndio kulindana kumeanza?
Source: Nipashe 2010/8/6
Mdhibiti...
Kwa wale waliofatilia kwa makini uchaguzi wa Marekani wa 2008 watakumbuka jinsi matumizi ya internet yalivyomsaidia rais wa sasa Barack Obama kushinda. kwa wale waliokuwa na access waliweza kupata...
Japo vyombo vya habari vya serikali vimejitahidi kukaa mbali au kimya kwa maswala yanayohusu mwenendo wa mgombea Uraisi kwa tiketi ya chadema na kujitahidi kufunika habari zake kwa kuweka habari...
Hii ni Thread maalum kwa ajili ya Kampeini za uchaguzi kwa njia ya simu.
1. Wadau mtakuwa mnaingiza sentensi fupi fupi za kampeini zinazofaa kutumwa kwa njia ya simu kila siku. Sentensi iwe yenye...
Wana JF,
Nilibahatika kushuhudia uchaguzi wa Kyela.
Nilichogundua
1.Hata uwe na pesa kiasi gani-huwezi kuwaridhisha wana Kyela, jamaa wanapenda pesa kuliko wachaga, wanavuta kwa kila mtaka kura...
Ndugu waTanzania napenda kuchukua fursa hii ili kila mpenda amani wa Nchi hii na walio nchi za Nje waweze kufahamu kuwa ,picha inayopatikana katika kura za maoni kupitia Chama kikuu Tanzania CCM...
WanaJF, kama tulivyozoea kuoa chama tawala kikitumia pesa nyingi kuhahakisha kinashinda chaguzi mbali mbali hapa nchini. Ninaomba sasa tukubali kabisa kuwa uchaguzi mwaka huu hautakuwa huru na...
Mimi namuaona kama mmoja wa wajenga Hoja makini sana na mtu mwenye maendeleo yake mwenyewe na Taifa kwa ujumla, koz atleast ameweza kutoa ajira kwa Watanzania Kadhaa katika Kampuni yake. Lakini...
mheshimiwa rais mpendwa jakaya mrisho kikwete sio wakati wote shujaa anaweza kupataikana kwa mema tu shujaa anaweza kupatikatika kwa kukubali uzembe wake katika uongozi wake huu ndio ushujaa wa...
Ningependa Dr Slaa atoe ahadi hizi:
1. Akiingia madarakani fedha zote za mapato yote ya serikali zitokanazo na madini ya nchi hii zitumike katika kusomesha watoto wa nchi hii -- kuanzia primary...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.