Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Ni wazi kwamba baada ya kura ya ndio kushinda katika kura za maoni Zanzibar kutakuwa na serikali ya umoja wa kitaifa/serikali ya mseto baina ya chama kitakachoshinda na vyama vitakavyo shindwa je...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ufisadi wa kutisha • Trilioni 1.7/- zatafunwa serikalini na Edward Kinabo SERIKALI ya Awamu ya Nne imeendelea kukumbwa na jinamizi la matumizi mabaya ya fedha za umma (ufisadi), baada ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mshindi wa kura za maoni za CCM kugombea ubunge jimbo la Karagwe Nd. Gozibert Begumisa Blandes yuko mahakamani kwa rushwa. Kesi hii ni ya mwaka 2007, ila jana mahakama imesema kulingana na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe jana akiwa kwenye Uwanja wa Manyema mkoani Kilimanjaro alizindua rasmi kaulimbiu ya chama hicho kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu, ambayo ni ‘CHADEMA MWAKA 2010...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa mtazamo wangu, hatua ya Msajili wa vyama kukataa kukisajili Chama Cha Jamii ((CCJ) imekuwa ni baraka kwa Chadema bila kila pande kujijua. Iwapo CCJ ingesajiliwa, moto wa Chadema usingepamba...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Rais Jakaya Kikwete leo amepatwa tena maswaibu yaliyomkuta Mwanza wakati wa kampeni 2005 akiwania kura za Watanzania huko Mwanza, safari hii siyo kwa kukabwa na Msukuma, bali afya kutetereka...
0 Reactions
255 Replies
30K Views
Nimesoma posts nyingi sana humu za baadhi ya watu na naona ni wale wanaompinga Dr. Slaa. wengi wao wanasema huyu ni mkatoliki mara ni padre n.k. napenda kutoa angalizo kwa watu hawa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Salamu wana JF wote, Ukiiangalia Tanzania ya leo kwa umakini inaonekana kana kwamba mtu hawezi kuendelea bila kumrudisha mwenzie nyuma kwa namna fulani. Angalia nyanja zote unazozijua wewe, anzia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
PCCB decalred yesterday that investigations on CCM bigwigs and other members recently implicated in election related scandals will be completed before the forthcoming General elections...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Former Ugandan President Binaisa is dead Kwa wale wanaokumbuka enzi za miaka ya 80, Mtamkumbuka huyu senior Queen's Counsel (QC). Former President of Uganda Godfrey Lukongwa Binaisa QC...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
January Makamba, mtoto wa katibu mkuu CCM na msaidizi wa raisi uandishi wa hotuba, ametangazwa kuwa mshindi katika kura za maoni jimbo la bumbuli baada ya kuwashinda wagombea wenzie kwa zaidi ya...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Je kama baadhi ya viongozi katika Serikali ya Kikwete Walishiriki kufungua matawi ya DECI Tanzania Je...utapeli ... DECI nalo Kombora la Dr. Slaa
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ngome ya JK kusambaratika? Na Waandishi Wetu, jijini - Dar Leo. KATIKA ngome ambayo Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete, anaishi na kufanyia kazi, Kivukoni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wandugu salamu, Katika pitapita yangu nimekutana na hii. ETI MWAKA HUU TUME YA UCHAGUZI HAITATUMIA WAALIMU KUSIMAMIA UCHAGUZI! Je haya ni ya kweli? Na kama ni ya kweli, Je ni kuthibitisha kuwa...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Wakuu, nalazimika kuomba public plea kwa wapiganaji kadhaa ambao walikua chachu ya habari na mijadala hasa yenye kuelimisha members na non members wengine humu jamvini Bado tunawahitaji, hasas...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
Nadhani wengine bado hatujasikia...mfano morogoro mjini na maeneo mengine kama Zenj kule Orodha ya wabunge waliochemsha CCM Tuesday, 03 August 2010 22:12 MAWAZIRI zaidi, vigogo wa CCM na...
0 Reactions
54 Replies
7K Views
MKE wa mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA, Dkt. Willibrod Slaa, Bi. Rose Kamili aliyekuwa akigombea ubunge Jimbo la Hanang kwa tiketi ya CCM, ametangaza kujitoa kwenye chama hicho tayari kujiunga...
0 Reactions
50 Replies
7K Views
Habari nilizosikia asubuhi hii toka ndani ya udondozi wa magazeti katika gazeti la Nipashe ni kuwa John Malecela-Mbunge wa Mtera ameshauriwa kutogombea Ubunge tena katika uchaguzi wa mwaka huu...
0 Reactions
57 Replies
5K Views
Wakuu, Toka nilivyosikia kuwa mwanasiasa na mwanasheria mkongwe nchini Mabere Marando kahamia CHADEMA, nimekuwa katika upembuzi yakinifu kutokana na historia yan nyuma ya mheshimiwa huyu. Mabere...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Maskan kaka ya ccm ya kisonge iliopo unguja eneo la michenzani round about, ambayo kwa miongo mingi ikitamba kuendesha siasa zanzibar na kuamini kuwa wao ndio wenye nchi wako ktk hali mbaya...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom