Chama gani kitakwenda mahakamani kupinga uteuzi wa Dr Shein?
Kufuatana na story ya kuu Mwanahalisi wiki hiiuteuzi wa Dr Ali Mohamed Shein kuwania kiti cha urais wa Visiwani ni batili...
Jamani,je UDSM ina ma Professor Emeritus?Ukiangalia treatment ya akina Prof Baregu na kuuwawa kinyama kwa Prof wa Law,juzi eti na majambazi ni jambo la kusikitisha sana.
Mtikila alikomaa hadi akapata usajili wa kudumu.
Subira na uvumilivu na ari ya kupambana ndizo zilipeleke D. P kusajiliwa.
Hawa viongozi wa C . C. J waliojitoa, sidhani kama wana nia ya kudhati ya...
A London-headquartered company, Ophir Energy, is on the verge of striking oil in southern Tanzania after signing a $50 million contract for the first ever deepwater drilling project in the...
muda huu rais kikwete ameingia bungeni dodoma kuanza mazungumzo na wabunge wa ccm kabla ya kuvunja bunge leo jioni, taarifa ya kinachozungumzwa italetwa hapa keep tuned.
Kuna habari hizi kuwa wakati mwenyekiti wa chama tawala akikaribia kumtangaza mgombea mwenza huko Dodoma 11 Julai 2010 aliongea masuala ya kitaifa na alikazia hotuba kwa kusisitiza kuwa yeye rais...
Katika tukio la kihistoria tangu kuanzishwa kwa Umoja wa Mataifa 1945, UNGASS ( Baraza kuu la Umoja wa Mataifa) kwa kauli moja tarehe 2/7/2010, walipitisha na kuanzisha chombo kipya au Taasis ya...
Kama CCM ikichukua Zanzibar, Mh. Nahodha hawezi kuwa Waziri Kiongozi. Je ni nafasi gani atapewa?
1. Naibu Waziri wa Mambo ya Nje?
2. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano?
3...
Wananchi wenzangu kipindi cha Kampeni kimefika tena - Kipindi cha ulaji , Neema ya muda inafunuliwa
Ni kipindi ambacho wananchi mtaonekana ni lulu, mtawaona hao waheshimiwa na suti zao...
Mgombea ubunge mtarajiwa kupitia chama tawala (CCM) mkoani Tabora Bwana CLEMENT NSANYAMA, ambaye in PLANNING OFFICER WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO, amembambikiziaa kesi kijana aitwaye October,Bwana...
Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM ndio wanaingia sasa katika kikao na kwa sasa upepo wa Dk. Shein unaelekea kumng'aria ila kwa CCM lolote linaweza kutokea
MATOKEO:
Shein kura 117
Bilal kura 54
Nahoda...
Wakuu
Nimesoma kwenye blog moja kuwa mmoja wa wanachama wa CCM ametanagaza kugombea jimbo la karamagi ambaye nasye alikwisha sema kutetea nafasi yake licha ya kashfa za richmond,buzwagi nk...
Dhambi ya fedha inatafuna siasa-Mzindakaya
Imeandikwa na Ikunda Erick, Dodoma; Tarehe: 15th July 2010 @ 23:00
MBUNGE wa Kwela, Crisant Mzindakaya (CCM), ameaga bungeni jana na kusema vyama...
Angalizo: mbona huwa hagusii 'mavuno ya kudumu' ya madini? au hayasaidii pato la taifa na kupunguza hizo 'inflation'? wachumi mwasemaje katika hili
Tanzania Inflation Likely to Slow on Good...
Jamani imenishangaza sana kuona kwamba Chama chenye nguvu, wasomi, sera nzuri leo wanaingia kwenye mtego wa CCM. Wameanza kwa kumtumia Mfadhili wa CCM kupewa fedha za msaada, Chadema...
Ukoo wa Mwalimu Nyerere sasa taabani
*Yatima, vitegemezi wake wakosa msaada
*Dada yake afariki kwa kukosa nauli ya kwenda Dar
*Kikwete,Museveni wafichwa ukweli wa mambo
Majira,
Na...
I have been looking at some of the accusations leveled against our First ladies regarding their participation in public life of this country.Some people feel that First Ladies should not engage in...
Hii ni Openda maalum ambayo ni miongoni mwa 'sample' 2,000 zilizoletwa na wana DIASPORA huku zikiwa kivutio kwa Rais Jakaya Kikwete ambapo ametoa oda ziletwe 100,000 zitakazotumika kama moja ya...
Wakuu, habari zenu.
Naomba kufahamu, ni zipi tofauti kuu, za kielimu, za kiutendaji, za kiufahamu wa mambo mbalimbali nk zilizopo kati ya makatibu wakuu wa vyama vikuu vitatu vya siasa Tanzania...
Hivi jamani what are our priorities? ofisi ya Mbunge mmoja inathamani ya 170 mio. na hapo hatujatoa gharama za huduma zitakaziambatana na kuiendesha kama ya secretary na mlinzi! Kipindi hichi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.