Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Chama gani kitakwenda mahakamani kupinga uteuzi wa Dr Shein? Kufuatana na story ya kuu Mwanahalisi wiki hiiuteuzi wa Dr Ali Mohamed Shein kuwania kiti cha urais wa Visiwani ni batili...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jamani,je UDSM ina ma Professor Emeritus?Ukiangalia treatment ya akina Prof Baregu na kuuwawa kinyama kwa Prof wa Law,juzi eti na majambazi ni jambo la kusikitisha sana.
0 Reactions
26 Replies
7K Views
Mtikila alikomaa hadi akapata usajili wa kudumu. Subira na uvumilivu na ari ya kupambana ndizo zilipeleke D. P kusajiliwa. Hawa viongozi wa C . C. J waliojitoa, sidhani kama wana nia ya kudhati ya...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
A London-headquartered company, Ophir Energy, is on the verge of striking oil in southern Tanzania after signing a $50 million contract for the first ever deepwater drilling project in the...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
muda huu rais kikwete ameingia bungeni dodoma kuanza mazungumzo na wabunge wa ccm kabla ya kuvunja bunge leo jioni, taarifa ya kinachozungumzwa italetwa hapa keep tuned.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna habari hizi kuwa wakati mwenyekiti wa chama tawala akikaribia kumtangaza mgombea mwenza huko Dodoma 11 Julai 2010 aliongea masuala ya kitaifa na alikazia hotuba kwa kusisitiza kuwa yeye rais...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika tukio la kihistoria tangu kuanzishwa kwa Umoja wa Mataifa 1945, UNGASS ( Baraza kuu la Umoja wa Mataifa) kwa kauli moja tarehe 2/7/2010, walipitisha na kuanzisha chombo kipya au Taasis ya...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Kama CCM ikichukua Zanzibar, Mh. Nahodha hawezi kuwa Waziri Kiongozi. Je ni nafasi gani atapewa? 1. Naibu Waziri wa Mambo ya Nje? 2. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano? 3...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wananchi wenzangu kipindi cha Kampeni kimefika tena - Kipindi cha ulaji , Neema ya muda inafunuliwa Ni kipindi ambacho wananchi mtaonekana ni lulu, mtawaona hao waheshimiwa na suti zao...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mgombea ubunge mtarajiwa kupitia chama tawala (CCM) mkoani Tabora Bwana CLEMENT NSANYAMA, ambaye in PLANNING OFFICER WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO, amembambikiziaa kesi kijana aitwaye October,Bwana...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM ndio wanaingia sasa katika kikao na kwa sasa upepo wa Dk. Shein unaelekea kumng'aria ila kwa CCM lolote linaweza kutokea MATOKEO: Shein kura 117 Bilal kura 54 Nahoda...
0 Reactions
277 Replies
27K Views
Wakuu Nimesoma kwenye blog moja kuwa mmoja wa wanachama wa CCM ametanagaza kugombea jimbo la karamagi ambaye nasye alikwisha sema kutetea nafasi yake licha ya kashfa za richmond,buzwagi nk...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Dhambi ya fedha inatafuna siasa-Mzindakaya Imeandikwa na Ikunda Erick, Dodoma; Tarehe: 15th July 2010 @ 23:00 MBUNGE wa Kwela, Crisant Mzindakaya (CCM), ameaga bungeni jana na kusema vyama...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Angalizo: mbona huwa hagusii 'mavuno ya kudumu' ya madini? au hayasaidii pato la taifa na kupunguza hizo 'inflation'? wachumi mwasemaje katika hili Tanzania Inflation Likely to Slow on Good...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani imenishangaza sana kuona kwamba Chama chenye nguvu, wasomi, sera nzuri leo wanaingia kwenye mtego wa CCM. Wameanza kwa kumtumia Mfadhili wa CCM kupewa fedha za msaada, Chadema...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Ukoo wa Mwalimu Nyerere sasa taabani *Yatima, vitegemezi wake wakosa msaada *Dada yake afariki kwa kukosa nauli ya kwenda Dar *Kikwete,Museveni wafichwa ukweli wa mambo Majira, Na...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
I have been looking at some of the accusations leveled against our First ladies regarding their participation in public life of this country.Some people feel that First Ladies should not engage in...
0 Reactions
32 Replies
5K Views
Hii ni Openda maalum ambayo ni miongoni mwa 'sample' 2,000 zilizoletwa na wana DIASPORA huku zikiwa kivutio kwa Rais Jakaya Kikwete ambapo ametoa oda ziletwe 100,000 zitakazotumika kama moja ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu, habari zenu. Naomba kufahamu, ni zipi tofauti kuu, za kielimu, za kiutendaji, za kiufahamu wa mambo mbalimbali nk zilizopo kati ya makatibu wakuu wa vyama vikuu vitatu vya siasa Tanzania...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hivi jamani what are our priorities? ofisi ya Mbunge mmoja inathamani ya 170 mio. na hapo hatujatoa gharama za huduma zitakaziambatana na kuiendesha kama ya secretary na mlinzi! Kipindi hichi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom