Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
kama mtu kapoteza kitambulisho chake cha mpiga kura na tayari anayo Police Loss Report, afanye nini ku-replace kitambulisho chake? anaishi jimbo hilo hilo aliliojiandikishia.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau, niliibabatiza hii kutoka stesheni flani ya redio flani asubuhi hii ktk mishe zangu za kuhemea..! John Momose Cheyo(UDP): Ubunge ni wa wazee... nawashauri vijana wajenge maisha... waoe...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
MKUTANO Mkuu wa Chama Cha Siasa, Tanzania Labour Party[ TLP] juzi kilifanikiwa kumpitisha Mutamwega Mugahywa kuwa mgombea urais kwa tiketi ya chama hicho katika uchaguzi mkuu ujao. Mkutano huo...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
WanaJF nimekuwa najiuliza kwanini CHaDEMA mpaka sasa hawajatangaza Rais atakayechuana na JK au Chibuda etc. Kimya hiki kinanipa wasi wasi kinaweza kuwa kizito na cha kutingisha Medali ya siasa za...
0 Reactions
91 Replies
8K Views
na Mwandishi wetu RAIS Jakaya Kikwete ameondoka nchini jana kwenda Hispania kuhudhuria mkutano wa kimataifa wa kujadili maendeleo ya Afrika na nafasi na wajibu wa siasa za kimaendeleo katika...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Ndugu yetu Yohanna Mashaka kaanzisha mjadala huko kwa mithupu, ila kula vilaza wengi, napenda tu kujua kutoka kwa wachambuzi wa humu kama kweli kuna ukweli wowote humu ndani.. Source: Issa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nimesikia jina la huyu mtu kule kwenye uchaguzi wa Yanga...... Imekuwaje tena? au sikio langu halikuwa makini? Nisaidie jamani.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nape katangaza kuwania ubunge kupitia jimbo la ubungo. Kati ya wagombea watano wa ccm waliotangaza nia ni wazi kuwa nape atapenyeza na hatimaye kukutana na kijana mwenzie, mnyika kwenye mchuano wa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ati mgombea mmoja wa urais waganga wake wamedhibitiwa na mmoja wa watu wake wa karibu kiasi kwamba ameambiwa hawezi kumtimua huyo jamaa kwa sababu akimtimua tu mambo yake yataenda kombo. Kumbe...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Jk alipo ingia madarakani mwaka 2005 mimi ni mmoja wa watu walio kuwa na matumaini makubwa sana na awamu ya tatu. Labda ilikua ni utoto. Labda kama wengine nili bumbuwazwa na ujio wa "raisi"...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wapendwa wanaJF, Wabunge waliomaliza ngwe ya kwanza ya awamu hii ya nne wanaranda sana majimboni kumwaga vijisenti ambavyo yumkini wamelambishwa toka Bungeni baada ya kutumikia Bunge kwa miaka...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hivi kwa nini mtu mmoja agawiwe nyadhifa hizi mbili wakati kuna raia wema kibao wanaranda huku na huko kuyatafuta maisha bora kwa kila Mtanga na nyika (Mtanzania). Wana nini cha kipekee ambacho...
0 Reactions
45 Replies
8K Views
Alhamisi saa sita ya usiku tutamuuliza tena Pweza mrume.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dakika chache zilizopita Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe amewapokea waliokuwa viongozi wa CCJ, Richard Kiyabo aliyekuwa Mwenyekiti, Dickson Ng’hily...
0 Reactions
126 Replies
11K Views
Naomba kuuliza haya mazoea aliyonayo Rais wetu ya kukumbatiana na watu hayahatarishi kweli usalama wake? Hasa enzi hizi za zama za ugaidi (suicide bombers na Biological weapons terrorism) au kwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Najua wengi watajiuliza kwa nini nisiandike Simba Vs Yanga au CCM Vs Chadema. Nimeandika Simba na Yanga Vs CCM na Chadema kwa makusudi kabisa kujaribu kuoanisha mahusiano ya fani hizi mbili...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
By LEVINA KATO, 15th July 2010 @ 00:51 THE Civic United Front (CUF) national Chairman, Prof Ibrahim Lipumba, has congratulated President Jakaya Kikwete for being nominated the CCM Presidential...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ndugu wanaJF Bunge ndilo hilo leo lime vunjwa na kuashiria kuanza kwa kampeni rasmi. Kwa muda wa miezi michache serikali itaongozwa na watendaji wake wa kuajiriwa kwa maana wengi wa viongozi wa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimehudhuria heshima za mwisho kwa Prof. Jwan Mwaikusa zilizo fanyika Nkruma Hall, UDSM
0 Reactions
42 Replies
10K Views
Nimekuwa nikifuatilia sana vipindi (miaka) ya chaguzi na kugundua kuwa fedha nyingi sana hapa Tanzania zinapotea kisa tu kufanikisha demokrasia. Naomba nieleweke, tatizo hapa sio demokrasia bali...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom