Baadhi ya wabunge jamani wanaitaji kupewa mazoezi muhimu ya kupunguza vitambi
swala hili si tu litawasaidia kwenye afya zao bali hata kwenye kulinda ndoa zao
katika swala la TLN...kila mtu anajua...
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, John Tendwa
Kauli ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, John Tendwa ya kutangaza kuipa kipaumbele Sheria ya Gharama za Uchaguzi katika...
Sikushangaa kusikia huyu bwana akiwa iringa kumtisha masauni ajiuzulu ai katumwa na mabwana zake vyombo vya dola....
Inashangaza sana kuona mzee mwenye umri kama huu akijifia mikononi mwa mafisadi...
HOFU ya kung'oana madarakani imegubika mkutano wa baraza kuu la ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) unaofanyika kesho, huku mwenyekiti wake, Hamad Yusuph Masauni, ambaye anadaiwa kuwa alighushi...
Kwa maoni yangu, CCM haiwezi kushinda uchaguzi bila ya kukupua tena mabilioni ya umma. Na hii ndiyo imekuwa siri kubwa kwa ushindi wa CCM hasa tangu uchaguzi wa 2000. Ni bahati mbaya tu siri...
:mad:Wa-tz bwana.............ifungwe Taifa stars,full kulalamika,ITV,Channel 10 fukuza Maximo,..........wakiibiwa...........Mungu yupo!!!!!!!!Aaaaaaaaaaaaaaaaaagh,nendeni tena kwenye Tv mseme...
Nimekuwa nikifanya tathmini kuhusu mfumo wa kisiasa uliopo nchini hapa, hususan sheria zinazohusu masuala ya chaguzi za kisiasa, kuanzia ngazi za serikali za mitaa, hadi ubunge na urais, na...
Ndugu wana JF binafsi sija wahi kuchangia kwenye swala la mgombea binafsi. Kwa sababu tunaelekea uchaguzi mkuu nimeona huu ni muda mwafaka kwangu kutoa maoni yangu kuhusu hili swala. Naomba wana...
Ni Juha Tu Ambaye Haambiliki!
SAFARI moja Juha alikaa mwisho wa tawi la mti, akilikata tawi hilo kwa kutumia msumeno. Akapita mtu mmoja akamtahadharisha kuwa kitendo alichokuwa akikifanya ni cha...
Vyama viwili vya siasa, vimefutwa katika daftari la Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, kutokana na kushindwa kutimiza masharti ya usajili.
Vyama hivyo ni People's Democratic Movement (PDM) na...
Habari zilizonifikia sasa hivi ni kwamba Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kyela bwana Japhet Mwakasumi amefariki dunia asubuhi hii.
Mungu ailaze mahali pema roho ya marehemu.
An arm to Blackmail Kikwete
The new party CCJ could become a gathering point for MPs disillusioned with President Jakaya Kikwete but who do not want to join the opposition.
The party Chama...
There are a lot of people who think that the absence of Nyerere in present Tanzania is the source of all problems we face.I detest that,and i feel we have to move beyond that.He was good...
CCM haitadumu chaguzi mbili kukiwapo tume ya uchaguzi huru. Hivyo ndivyo inavyoonekana kwa sababu haitaki kata kata kuwapo kwa tume ya aina hiyo. inashinda kwa sababu ya tume hii ya sasa...
MBUNGE wa Arusha Mjini kwa tiketi ya CCM, Felex Mrema jana alihojiwa kituo cha polisi kwa zaidi ya dakika 40 kwa tuhuma za kumtishia maisha mwandishi wa habari.
Habari zilizolifikia gazeti hili...
By ThisDay Reporter
18th May 2010
CONTROVERSY over the dubious privatisation of the Kiwira coal mine in 2005 has resurfaced following claims by former President Benjamin Mkapa that he had no...
MWENYEKITI wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amewapuuza wanasiasa wanaobeza hatua yake ya kutangaza nia ya kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu ujao, akiwemo Katibu Mkuu wa CCM, Bw. Yusufu Makamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.