Wadau,
UKAWA kwa ujumla wake kwa nje wanajipambanua na kujinadi kama wanatetea na kupigania serikali tatu.Hili ndilo linalozungumzwa na ni rahisi tu kueleweka.
Kwa ndani; ukawa, kuna...
Mbunge wa Vunjo, Augustine Mrema (TLP)
Moshi. Mbunge wa Vunjo, Augustine Mrema (TLP) amedai kitendo cha yeye kubaki kwenye Bunge Maalumu la Katiba kumetumiwa vibaya na wahasimu wake wa kisiasa...
Dodoma. Wakati kamati za Bunge Maalumu zikiendelea na uchambuzi wa Rasimu ya Katiba, mwelekeo wa kuzika muundo wa serikali tatu uliopendekezwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba umejidhihirisha huku...
Si jambo geni tena wala si habari ngeni japo inawekewa usiri sana,wanaoongoza uasi katika nchi za mashariki ya mbali na kuyumbisha matafa hayo wana uraia wa nchi za magharibi,mataifa hayo hutumia...
Nimefanya rejea nyingi kuhusu matokeo ya jamii au watu kudai asili yao,ardhi yao,uhuru wao au mamlaka yao.Nilichogundua ni kuwa mwisho lazima wawe washindi.Hivyo toka madai ya mamlaka dhahiri ya...
TAMAA ya madaraka, iliyoanza kuota mizizi ndani ya akili na mioyo ya baadhi ya Watanzania wenzetu, kama haitadhibitiwa kwa nguvu zote na mamlaka za kimifumo zilizopo, ipo hatari kubwa ya...
NIMEKAA NA KUTAFakari sana kuhusu bunge hili la katiba kuanza kujadili mambo ya ardhi wafugaji na rasilimali za Taifa ilhali wabunge wazanzibar wamo kwenye bunge.
hoja yangu ni kua wazanzibar...
Katiba ni zao la maridhiano,katika nchi zinazojenga demokrasia kama Tanzania ni mchakato wa kisiasa zaidi lakini pia uwa inalindwa na sheria na katiba ndio maana si vyema kusitisha majadiliano au...
Kutokana hali ilivyo sasa nashauri wabunge wanaounga mkono serikali mbili wapewe ulinzi wa kutosha huko bungeni.
Kutokana na mivutano kukua hadi nje bunge, hilo ni suala ambalo halina ubishi...
Nashukuru viongozi wa UKAWA kwa kuamua leo kuikata kiu yangu na Watanzania wengine wenye kiu kama mimi.
Tukio ambalo limelisubiria kwa shauku kubwa na Watanganyika kufanyika
UKAWA kufanya...
Mimi ni Mwananchi wa kawaida kabisa, mwananchi ambaye usiku na mchana huwa nahangaika kuhudumia tumbo (Mganga njaa). 12April 2014, Bunge maalum la katiba liliahirishwa kutokana na kituo cha...
BARAZA la Maadili la Kiislamu nchini (BAMAKITA), limeunga mkono kauli iliyotolewa na Mbunge wa Iramba Magharibi, mkoani Singida, Bw. Mwingulu Nchemba kutaka vikao vya Bunge Maalumu la Katiba...
Wakuu ntumekuwa tukifikiri juu ya njia tunayoweza kutumia ili tukafikia hatma njema katika suala hili la idadi ya serikali kwa kutumia njia zenye tija zaidi badala ya kulumba wakati wote na sasa...
Wanajamvi,licha ya kuwa hoja ya kupatikana au kutopatika kwa theluthi mbili ili kupitisha rasimu ya katiba katika bmk sasa kunaonekana kuwa si hoja tena, lakini kuna mkanganyiko ambao mimi binafsi...
Wadau, Neema ya Mungu iwe juu yenu. Kwanza niwape pole kwa kitambo kidogo tangu niwe nanyi. Hii ni kutokana na majukumu ya kawaida.
Wadau, kama mnakumbuka ni kwamba kuna taarifa zinazosambazwa...
Alliance for Change and Transparency-Tanzania Maoni ya ACT-Tanzania kuhusu namna ya kutoka katika mkwamo uliopo katika mchakato wa Katiba Mpya.
1. Nchi yetu iliingia katika mchakato wa Katiba kwa...
TAARIFA KWA UMMA KUTOKA BUNGE MAALUM: BUNGE MAALUM LA KATIBA LIPEWE NAFASI YA KUFANYA KAZI ZAKE
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
BUNGE MAALUM
Ofisi ya Bunge Maalum, imeshangazwa na kusikitishwa na...
Ili kupata "katiba ya watu iliyotoka kwa watu" kwa kimombo peples driven constitution UKAWA wako sahihi kabisa;Wasioweza kusoma alama za nyakati watashindwa.
Jiulize haya madai makubwa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.