KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Mheshimiwa Rais, kwa sasa kuna kelele nyingi kutoka kwa watu ambao hawakuwa na dhamira ya kupata katiba mpya wakikutaka wewe Rais Kikwete kulivunja Bunge Maalum la Katiba. Watu hao wanaongozwa na...
4 Reactions
54 Replies
4K Views
Mbowe, mke wake na watoto wake.......Lipumba, mke wake na watoto......Mbatia, mke wake na watoto........Lissu, mke wake na watoto.....Mnyika, mke wake na watoto......Slaaa, mke wake na...
8 Reactions
43 Replies
4K Views
Wanajamvi Mbatia Kafanya Press Lamada Hotel muda mchache uliopita. Nashindwa kuwaekewa Viongozi Hawa wa Siasa Nchini wanashindwa kwenda Bungeni wanakalia Kupiga Kelele ktk Viombo vya Habari...
0 Reactions
29 Replies
2K Views
Kwa maana hiyo Bunge, hilo linatumia Dola 5,400 sawa na Sh8.91 milioni kwa siku kugharimia vipaza sauti katika vyumba 12 vinavyotumiwa na kamati hizo na kwa siku 16 ambazo kamati zitakutana...
3 Reactions
39 Replies
5K Views
Msingi wa kuandikwa kwa Katiba mpya ni ushiriki wa wananchi katika mchakato mzima. Wananchi hushiriki katika kutoa maoni yao;Rasimu huandaliwa;Rasimu hujadiliwa na hatimaye kupigiwa kura kuwa...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Asaalam aleykum & bwana yesu asifiwe... Nianze kwa kutoa shukran za dhati kwa mungu baba na wazazi wangu bila kusahau ndugu na jamaa zangu.Kumekuwa na malumbano yanayoendelea nchini kwa hivi...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari, Wana Jf najiuliza maswali mengi juu ya mwendelezo wa mjadala wa katiba ambao Mh Samwel sittah amesema hauwezi sitishwa kwani upo kisheria .je sheria iliyotungwa kwa ajili ya katiba mpya...
0 Reactions
1 Replies
928 Views
Kila ninapokiwaza Kikundi hiki haramu cha UKAWA nashindwa kukimaliza! Kinapinga Muungano eti kwa kuwa ni "BATILI!" Tukikiangalia kikundi chenyewe kama kinafuata Sheria nako tunaona ndio wavunja...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Kwa muda mfupi alioongoza Bunge Maalum la Katiba,Samuel Sitta ameonyesha kukosa sifa zote muhimu kama Kiongozi/Mwenyekiti.Sitta ameshindwa kusimamia nidhamu miongoni mwa Wajumbe hali iliyopelekea...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kutokana na sintofaham na mambo yanayoendelea kwahivi sasa juu ya mchakato mzima wa kupatikana kwa katiba mpya yamekuwa yakimkwaza,kumuumiza na kumtatiza sana Mheshimiwa Raisi. Alichokuwa...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Vuguvugu la katiba mpya, ndio habari inayo chukua nafasi, katika vyombo mbali mbali vya habari, na mijadala yake imefika maeneo tofauti tofauti ya watu. Makazini, vijiweni, mitaani, na sehemu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hamashauri kuu ya Chama cha NCCR Mageuzi umetoa onyo kali kwa mjumbe yoyote anayetoka NCCR kuonekana kwenye viunga vya BMK Dododa au sehemu yoyote ambayo bunge hilo linaendesha vikao vyake...
0 Reactions
3 Replies
967 Views
Wanasiasa wa Tanzania bara wana hasira zanzibar kujifanya nchi na kuwa na katiba yake wakati tanzania bara haina katiba ya nchi yake ya tanganyika.Hivyo kulipa kisasi wanataka SERIKALI YA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Freeman Mbowe akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana. Wanaomfuatia ni wenyeviti wenza wa umoja...
4 Reactions
241 Replies
19K Views
Kama Bunge la katiba lisipohairishwa na Rais Kikwete na UKAWA wakaamua kuongoza wananchi kuandaamana nchi nzima kudai katiba mpya kama walivyosema. Je, upo tayari kuungana nao? A: NDIYO B...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Huyu mbunge aliyejitetea kuwa alifika maeneo ya bunge kuchukua fedha za matibabu hafai kwani ni muongo! Wabunge almost wote wa JMT wana kadi za bima aina ya Jubilee.Wabunge wako insured katika...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
WAKATI mbunge wa Maswa Magharibi, John Shibuda (CHADEMA) akidai kuwa hajawahi kueleimishwa kuhusu kundi la UKAWA, Tanzania Daima Jumatano limebaini ni mwongo. Kundi la Umoja wa Katiba ya...
6 Reactions
26 Replies
6K Views
Kwa mujibu wa UKAWA ni kwamba Rasimu ya Warioba inatakiwa isiingizwe mambo mapya ambayo wananchi "walio wengi" hawakutaka liwekwe kwenye Katiba! Suala la Mahakama ya Kadhi halikuwemo kwenye...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Na Godfrey Nangeda. Vuguvugu la katiba mpya, ndio habari inayo chukua nafasi, katika vyombo mbali mbali vya habari, na mijadala yake imefika maeneo tofauti tofauti ya watu. Makazini, vijiweni...
0 Reactions
0 Replies
852 Views
Back
Top Bottom