Kwa mujibu wa Nguli na mtaalamu wa ku design na kuandika katiba,mhadhiri kutoka chuo kikuu cha dar es salaam,Prof.Palamagamba Kabudi,Ni dhahiri kabisa Serikali ya CCM inacheza na maisha yetu na ya...
Kesho nawasihi kama mnataka kujishushia heshima na siku zijazo mtakapokuwa ndani ya bunge maalumu la katiba mnatakiwa mjenge hoja bila matusi. Mkianza matusi Watanzania watawachukulia kama...
Leo nimejua baadhi ya sababu zinazowafanya CCM kukataa kujadili rasimu ya pili ya Katiba kama ilivyowasilishwana jaji Warioba.Hoja za Profesa Kabudi na H.Polepole zimebainisha mambo ya msingi...
Wana jamvi kuna taarifa ambayo bado haijathibitishwa kuwa kuanzia tarehe tajwa hapo juu ni kwamba wana ukawa watapiga mikutano ya hadhara kata zote mkoa wa dar kuomba uungwaji mkono mpana wa...
Wana jf. Mimi fikira zangu zinaakisi kwamba rasimu ya katiba bado ina ubikira, Katiba imekuwa na itikadi za kivyama mimi falsafa yangu naona hakuna chama ambacho kiko loyal kwenye suala la katiba.
Kuna habari zinazoendelea ndani ya Chama Cha Mapinduzi baada ya wengi wanaoiwakilisha CCM katika Bunge la kutunga Katiba kupendelea kuijadili ile kitu aliyoiwakilisha Mh.Warioba katika bunge hilo...
Sisi baadhi ya wananchi tunaowasikili Wana UKAWA, tumefuatilia sana maelezo yenu na kuungana na nyinyi katika harakati zote. Tumekuja kuona kuwa umaskini wa Watanzania sio sababu za Muundo wa...
Anasema asilimia 40 ya watu waliosema serikali 3 ni kutoka mikoa ya Kagera na Kigoma na hivyo UKAWA wasilazimishe serikali 3. Anasema tuachane na katiba sasa na bunge la kawaida liangalia tume...
hakuna asiyeijua historia ya nkurumah hall pale UDSM hata kama hukubahatika kusoma hapo, ni jengo lililotumika katika midahalo mikubwa ya kitaifa na kimataifa na hata kupewa heshima kubwa na jamii...
Napenda wale wanaotaka Tanzania ibaki katika mfumo wa serikali mbili watambue ya kwamba
WaTanzania waleo sio wale waliolazimishwa kuelekea Geza Ulole kuulinda Ujamaa na kuanzishwa
kwa vijiji...
Rasimu,kama ilivyo Katiba,husomwa kwa ujumla wake. Rasimu ya Tume ya Jaji Warioba imejikita katika mfumo wa Serikali tatu. Utatu huo ndiyo Rasimu yenyewe. Kimantiki,hakuna jambo lolote ndani ya...
Siku ya mdaharo wa nani anazuia katiba ya wananchi Mzee Wasira alisema tume ya Nyarari ilihoji watu watatu Zanzibar na watu watano Tanganyika. Jana kasema tume ya jaji Nyarari ilihoji watu...
Wana body nimatumaini yangu nyote mko salama?
Kuna jambo moja la muhimu sana ambalo viongozi wetu hasa wa Tanzania One(ccm) hawaliongelee kabisa nalo ni;
Mnamo tarehe 16/04/2014 Umoja wa katiba...
Mada ya Mdahalo:
Umuhimu wa kuzingatia mambo ya msingi sasa katika Mchakato wa kupata Katiba Mpya
Siku:
Jumatatu tarehe 4 agosti 2014, ukumbi: Hoteli ya blue pearl ubungo plaza
saa...
Hakika imedhihirika kuwa kwa mambo yalivyo na yanavyoendeshwa ndani ya BMK Tanzania itakuwa nchi ya kwanza duniani kufanya kituko hicho. Hayo yalidhihirishwa na msemaji wa mjadala Prof. Lumumba...
Moshi/Dar. Mawaziri Stephen Wassira na Mwigulu Nchemba wamesema kuwa japo Bunge Maalumu la Katiba litaendelea na vikao vyake kuanzia kesho mjini Dodoma, halitakuwa na uhalali wa kisiasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.