KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
nashindwa kupata majibu kwa nini ccm wanakataa serikali 3 wakati ndizo raia walopewa elimu ya uraia na upinzani,
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Kama bunge Maalum la katiba litavunjwa liendelee baada ya uchaguzi mkuu, naona hao wajumbe warudishe serikalini posho zote walizopokea. Wadau mnaonaje hili?
0 Reactions
2 Replies
703 Views
Habari jf, Leo nimesikia maneno ya Tundu Lisu kuwa muasisi wa serikali tatu alikuwa ni Abdul Jumbe ,miaka thelathini na moja. Hivyo naomba anaefahamu kinaga ubaga anifafanulie ya juu ya uhusiano...
0 Reactions
1 Replies
957 Views
Ukawa ni wabishi ila wameshapata masomo ya kutosha. Wengi wao Ukawa wana nia ya dhati ya kurudi BMK ila Tundu Lissu atakuwa wa mwisho kurudi, ila atarudi tu!
0 Reactions
7 Replies
2K Views
KATIBA mpya imetakiwa iwe na kifungu maalumu kitakachofafanua rushwa ni nini kwenye uchaguzi. Lakini pia ieleze ni matumizi gani mgombea hawezi kuyakwepa katika kampeni zake, mathalani kukusanya...
0 Reactions
103 Replies
8K Views
Akizungumza kwenye mdahalo kuhusu mchakato wa katiba mpya, Steven Wasira alisema bunge la katiba likirudi litajadili ibara nyingine sio tena suala la S2 au S3. Lukuvi ameshadadia alipokuwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Katika hatua za awali za mchakato wa katiba mpya sisi wengine tuliamini kuwa ifikapo mwaka 2015 itapatikana katiba mpya hasa baada ya ule mswaada wa awali kurejeshwa bungeni baada ya kelele za...
1 Reactions
158 Replies
13K Views
Akizungumza kwenye mdahalo kuhusu mchakato wa katiba mpya, Steven Wasira alisema bunge la katiba likirudi litajadili ibara nyingine sio tena suala la S2 au S3. Lukuvi ameshadadia alipokuwa...
0 Reactions
0 Replies
707 Views
Ukawa ni nani hasa katika nchi hii. Ccm ni nani katika nchi hii. Katiba tunayoitaka si kwa ajili ya wanachama mil.3 wa ccm au mil. 3.5 wa ukawa. Hata wakiungana hawawezi kufika mil. 20 ambayo ni...
0 Reactions
0 Replies
710 Views
Wan JFjana nilifuatilia kwa makini mdahalo wa katiba kupitia ITV. Ninakirikuguswa na namna alivyotueleza umuhimu wa uvumilivu katika kutunga katiba,jambo ambalo limepotea ndani ya CCM,kwani...
1 Reactions
43 Replies
4K Views
Chama changu CCM kimekuwa ni mzigo usiokwenda na wakati. hakukuwa na ulazima wa kuwahusisha Wasira, Mwigulu na Nape katika mchakato wa kufikia maridhiano baina na pande mbile hasimu kuhusiana na...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Dar es Salaam. Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (pichani) amewataka viongozi kuacha kufananisha mchakato wa Katiba na ushabiki wa mpira wa Simba na Yanga. Zitto alitoa kauli hiyo jana...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
wadau kama kuna mtu analink ya kongamano ya jana kuhusu katiba naomba kuipata Prof Lumumba is a great thinker thanx
0 Reactions
3 Replies
983 Views
Katika hali inavyojionyesha Katiba mpya lazima itungwe,hata kama Ukawa hawatarudi Bungeni. Swali la msingi kwa Ukawa na misimamo yao bila kwenda na nyakati, je mwaka 2015 wakishida Urais kwa...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Nyie ukawa msituzingue kwa Nini hamtaki mazungumzo mnajifanya nchi hii mliumbiwa na Mungu ninyi tu. Nchi hii ni ya Watanzania wote msipende kutuletea u Boko haram na u al Shabab wenu maana ninyi...
0 Reactions
41 Replies
3K Views
Dar es Salaam. Makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Joseph Butiku na Njelu Kasaka wamesema kuwa msimamo wa chama hicho uliotokana na vikao vyake ni kuelekea Serikali moja na siyo kama...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Jana kulitokea kutokuelewana bungeni kuhusu kufanya mabadiliko ya kanuni, leo Mwenyekiti wa Kanuni, Pandu akiwasilisha mabadiliko hayo ======= UPDATES: Kile kifungu cha kura ya siri au wazi...
3 Reactions
523 Replies
33K Views
Prof. Lipumba anajidhalilisha kweli kwa kuunga mkono mgomo wa ukawa. Wenzie hawana elimu kubwa kama yeye wapo walioferi shuleni, wapo wasiojielewa wengi mule na watu wenye kuhitaji ushauri kuntu...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Wana ccm wanasema serikali tatu jeshi litatawala nchi,Mara muungano utakufa. Ukawa wanasema serikali mbili ni sintofahamu,znz kutojitambua,kutokuwa na mamlaka kamili, huku watanganyika wakiona...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni jambo la kushangaza kuendelea kusikia watu wakishawishi wenzao kuingia bunge la katiba. Kwa mtu aliyeshuhudia lugha ya mijadala iliyotumika, hawezi kutamani Bunge hilo liendelee. Binafsi...
0 Reactions
0 Replies
724 Views
Back
Top Bottom