Habari nyingine kubwa ya Tanzania ni mjadala
wa kurudi au kutorudi bunge la katiba kwa
vyama vya Upinzani ambavyo vilijiunga na
kuwa Umoja wa katiba ya Wananchi (UKAWA)
kwenye mchakato wa...
Ni dhahili tulipofika sasa maoni ya wananchi ndani ya rasmu ya pili ya katiba yamepuzwa na ccm, wamejaribu kudanganya umma ila uongo wao wote umeshindwa kunyamazisha kilio cha watanzania maskini...
Mr president amesema UKAWA wametoka bungeni kwa sababu hawajaona maslai yao thus means ccm wameyaona maslai yao ndio maana wanang'ang'ania serikal mbili. Kazi ipo
UKawa warudi kwa sababu chama tawala wataaandika katiba bila nyinyi...mwisho wa siku watadhindwa kututetea wananchi mfano hawa ukawa
Unasemaje kuhusu mbunge kugombea awamu 3 tu. Rais kupungiziwa...
Msomi Buberwa Kaiza ametoa ushauri kwa CCM kuwa waache kutuma watu(kina Makamba) katika vikao vya maridhiano,badala yake wajitokeze wanaowatuma ili kuweka mambo sawa.Msomi huyo ametanabaisha kuwa...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI,
DAR ES SALAAM, ALHAMISI, 31 JULAI 2014 SAA 5.00ASUBUHI
TAMKO LA UKAWA KUHUSU WITO WA VIONGOZI WA DINI WA KURUDI BUNGENI
Ndugu waandishi wa habari,
Kama...
Asema kumtukana Warioba ni kukosa adabu
Asema bila UKAWA ni ndoto kupata Katiba
Pinda, Balozi Seif wawaangukia warudi bungeni
MWANASIASA mkongwe na Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Kingunge...
Kesho kutakuwa na mdahalo kuhusiana na Mchakato wa katiba Mpya utakaorushwa moja kwa moja na ITV/REDIO ONE kesho Jumamosi katika ukumbi wa Ubungo Plaza watoa mada wakiwa ni Jenerali Ulimwengu na...
Wakuu salaam,
Nimetoka jukwaa la Katiba katika uzi ambao uko Sticky ukihusiana na kura ya maoni kuhusu muungano tuutakao. Pale kuna mapendekezo ya serikali 1/2/3 na wale wasiojua ni nini...
25(1) Bunge Maalum litakuwa na
Mamlaka ya kudajili na kupitisha
masharti ya katiba
inayopendekezwa kutunga
masharti ya mpito na masharti
yatokanayo kama Bunge Maalum
litakavyoona inafaa...
Ndugu zangu watanzania napenda kushirikisha hili.Kwa kuwa tumekuwa na pande mbili zinazofutana kuhusu serikali mbili au tatu lakini pande hizi kila upande una sababu za msingi iwapo zinazidiana...
Najiuliza maswali mengi nashindwa kupata majibu!Kwa nini mchakato wa Katiba uharakishwe wakati nchi haina dira wala muelekeo (National Philosophy) unaokubaliwa na wote?Kwa nini tunaharakisha...
Dar es Salaam. Kete ya mwisho ya kuamua iwapo wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) watarejea katika Bunge la Katiba au la itachezwa leo katika kikao cha maridhiano baina ya umoja huo na...
Hii ni taarifa waliyoitoa jioni hii kuwa hawatorudi BMK.
My Take;
Kama hawataki kurudi na hakuna namna ya kuendelea na bunge, basi tuendelee na Katiba iliyopo, lakini Watanzania tujue pia...
Mjadala unaendelea hivi sasa star tv, kuhusu mustakabali wa bunge la katiba. anayeongea hivi sasa ni zitto kabwe kwamba majadiliano ya katiba yanahitaji maridhiano, kuondoa makosa yaliyofanyika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.