KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Majadiliano yalipokuwa yakiendelea Mjengoni wakati wa kipindi cha Bunge Maalumu la Katiba; wajumbe wengi waliokuwa wakiinuka kuchangia, kauli yao ya kwanza ilikuwa nikwamba NIMETUMWA NA WANANCHI...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Sasa miito inamiminwa kuelekea Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) unaoundwa na CHADEMA,CUF,NCCR-Mageuzi,NLD na DP kuutaka umoja huo urejee Bunge la Katiba mwezi ujao. Hii inafuatia UKAWA kujitoa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Huwa nasikitishwa sana na baadhi ya viongozi wa dini kutumika kisiasa. Haya hufanyika pale kunapokuwa na viongozi wa chama tawala, sijui ni woga,rushwa au kutetea na kulinda misaada wanayopewa au...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Akihojiwa muda mfupi uliyopita na Sauti ya Ujerumani amesema CCM kudhani wanaweza kupitisha katiba peke yao ni kujidangaya maana sheria inawataka kupata theruthi mbili toka kila upande. Amesema...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
nimeiangalia kwenye vyombo vya habari jioni hii,,,,nimefarijika kuwa kumbe tuna viongozi wadini wanaoweza kuturudisha kwenye mstari bila kucheka cheka
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Jana ulipohutubia katika sherehe ya Askofu Ngalalikumtwa na kusema machache kuhusu Katiba mpya na UKAWA kurudi Bungeni nilikuona luningani,nikakusikiliza lakini nikashindwa kukuelewa baadhi ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Freeman Mbowe Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umekutana na Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, na kumweleza msimamo wao wa kutorejea ndani ya Bunge Maalum la Katiba hadi mapendekezo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Dar es Salaam. Waziri Mkuu Mstaafu, Dk Salim Ahmed Salim amesema hakutarajia kusikia kauli za Rais Jakaya Kikwete alizozitoa bungeni kukosoa Rasimu Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa sababu walikuwa...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Habarini za sasa Great thinkers, Watanzania wengi kutokana na kutoona umuhimu wa kupiga kura(Kuchagua viongozi) pamoja na athari za wazi zitokanazo na uzembe wa kutotumia haki yetu ya msingi ya...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Asema "Sababu zilizolazimisha kuundwa mara mbili tangu uhuru kwa sasa hazipo" Source : MWANANCHI gazeti la leo jtano june, 25, 2014
0 Reactions
19 Replies
2K Views
WAZIRI Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye, amesema haitawezekana na haitakuwa rahisi kwa Watanzania kuwatenganisha na Tanganyika na Zanzibar kwa kuvunja Muungano bila nusu kaputi; na ikifanyika hivyo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nilipokuwa sekondari tulisoma na wanafunzi wasioona.Siku moja ilikuwa siku ya kugawiwa ndizi(matunda) na zikagawanywa kila mtu apate angalau moja.Hata hivyo share ya wasioona ilitengwa pembeni ili...
1 Reactions
33 Replies
3K Views
Ndg Wanajamvi, Watetezi na waumini wa serikali 2 wanasema kuwa na serikali tatu kutaongeza gharama na Serikali ya Muungano haitakuwa na mapato hivyo Muungano kufa. Maswali ya kujiuliza; 1...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Namnukuu Makamu Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi Mh. Mangula alipokuwa anatoa salam za CCM kwenye mkutano kuu wa CUF. "Nauheshimu sana UKAWA, ni kweli mkiweka nguvu ya pamoja ni vizuri kuliko...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Ni wazi mimi ni mmoja wa viongozi wengi wa bara la Afrika wanao taka umoja wa waafrika kama Mwalimu na Nkurumah walivyosema pia Kikwete alisema "tunatamani kuifikia UNITED STATES OF AFRICA" Haya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwanza nitangulie kusema jambo moja… CCM na UKAWA ni wale wale tu; hakuna tofauti yoyote miongoni mwao. Kila mmoja hapa ni mtetezi wa maslahi yake. Ni bahati mzuri kwa UKAWA kwamba Rasimu ya Pili...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Dar es Salaam. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amewashauri wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na CCM kuacha kuzunguka mikoani kufanya mikutano...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
MPASUKO HUU WA BUNGE LA KATIBA, JE UTATATULIWAJE??? Hivi sasa nchi yetu ipo katika wakati wa kihistoria wa kutunga katiba mpya, ambayo watanzania walio wengi wanaisubiri kwa shauku kubwa huku...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Ukweli utasimama, uwongo hautashinda.....Tanganyika daima!!!!!!!!!! audio attached....kama ilivyoombwa na Skype na wengineo......ukiipenda bofya 'like'
15 Reactions
38 Replies
6K Views
Spika huyo ameyasema hayo jana katika jimbo la Mji Mkongwe kwenye mkutano wa hadhara. Je wanayosema yanatoka moyoni kweli kama wazanzibar?
0 Reactions
51 Replies
5K Views
Back
Top Bottom