Hivi Katiba Mpya Itapatikana Chini Ya Rais Kikwete Kabla Hajamariza Muda Wake?
Je Itakuwa Ni Katiba Bora Iliyobeba Matakwa Ya Watanzania? Ni Nini Sababu Inayokufanya Uamini Itapatikana Muda Wa...
Ni baada ya kugundua yafuatayo
1. Kwa sasa zanzibar wana marais watatu wanaopewa mshahara nao ni
1/dk.mohamed shein
2/sharifu hamadi
3/seif idd
Muwa makam wa rais ni kwamba upo kirais zaidi na...
Umuhimu wa muungano kama upo nivyema tuuvunje na kuungana upya, kwani hata wasomi na wataalamu wa mikataba tunao, kwani sio kweli tukose katiba zanziba iwepo! tumeunganisha nini ikiwa katiba ya...
it is becoming increasingly difficult to tell whether the capital city of this country is Dar or Dodoma. Nilichekeshwa sana na Jenerali Ulimwengu aliposema Dodoma is just the fictional capital...
Duh..nilianza mtazama na kumsikiliza kwa makini sana huyu dada Chiku Abwayo siku alimtoa nishai Lukuvi Bungeni..Ana CV impressive ktk kufight kisiasa.Ana msimamo na hana mashauzi... Hongera sana...
CCM wameshangaza sana..eti sasa wanaita watu makundi na wengine waende kushangilia na kupongeza hotuba ya JK Bungeni. HOtuba iliyo yenye makosa kikatiba kwani kilichotakiwa fika Bungeni ni nawazo...
Madai ya CCM ni km hawajui wapo ktk mchakato wa katiba..na huu ndio muda wa kufanya mambo yawezekane..ni muda wa kuweka yote vyema.badala yake wapo busy kuelezea hofu yao , ya kwenda mbele...hofu...
"Muungano wa sasa wa serikali 2 ulikuwa kama mtu mgonjwa na dalili za ugonjwa Isymptoms) zikiwa ni zile kero ambazo haziishi daima dumu. Hivyo Tume ya Warioba ilikuwa kama Daktari aliyeletewa huyo...
UKAWA wapo upande wa "kuume" unaoungwa mkono na wanasheria nguli. Wanaheshimu maoni ya wananchi kama yalivyoletwa na tume ya kuandaa katiba.Hali kadhalika wanaunga mkono rasimu iliyosainiwa na...
Vikao vya Bunge la Katiba vinatarajiwa kuanza tena Agosti mwaka huu baada ya kusimama kwa muda kupisha Bunge la Bajeti linaloendelea mjini Dodoma.
Hata hivyo vikao hivyo vinatarajiwa kuanza huku...
Leo 07.06.2014 kunatarajiwa kufanyika mkutano mkubwa wa UKAWA katika viwanja vya Sokoine Igunga, lengo ikiwa kuwapatia wana Igunga elimu mahususi juu ya Katiba Mpya pamoja na mambo kadhaa...
Ningepewa nafasi ya kuongeza kipengele kwenye katiba mpya ningeongeza kipengele cha kinachoweza kuongeza muda wa uongozi kwa rais anayewaletea wananchi maendeleo kwa kasi.Utaratibu huu wa...
KUNA MASWALI MENGI AMBAYO NIMEKUWA NIKIJIULIZA KUHUSU UKAWA.
1. UKAWA NI NINI?
JAWABU nikapata.... ni UMOJA WA KATIBA WA WANANCHI.
Maswali mengine yakazuka.
2. Ukawa ulipangwa kuanzishwa au...
Ndugu wadau nimejaribu pitia sura ya tisa ya rasimu ya katiba mpya inayozungumzia Bunge, katika aina za wabunge AG hajatajwa mahali popote lakini katika sehemu ya sita panapozungumzia Tume ya...
Wakuu, Mimi Gamba Sugu, naamini katika uwazi na uwajibikaji ndani ya Taasisi mbalimbali kama vile vyama vya Siasa na hata Serikali kwa ujumla.
Nasema haya kwa sababu, Serikali hii ya magamba...
Maoni haya ya wananchi yaweza boreshwa kwa kusema kuwa serikali tatu inaweza pita alimradi imepigiwa kura na theluthi mbili ya wananchi....na sio kuleta swala la serikali mbili ktk rasimu ambayo...
RASIMU YA PILI NA MGONGANO WA MASLAHI IBARA YA 18(5) ITASAIDIA PIA KUPUNGUZA TATIZO LA AJIRA NCHINI.
Inasema KIONGOZI WA UMMA HATARUHUSIWA KUSHIKA NAFASI ZA MADARAKA ZAIDI YA MOJA AU...
MJADALA kuhusu muundo wa Muungano ndani na nje ya Bunge Maalumu la Katiba umeingia katika hatua ya ovyo na unaelekea kupoteza mwelekeo.
Mambo mawili makubwa yanaelekea kuharibu mjadala huu na...
Ni kauli ya mbunge wa Nyamagana na Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha ya UKAWA, kuwa kamwe hawatarudi BMK kama hawatabembelezwa.
Swali, nani awabembeleze? Wananchi, serikali, wabunge wa ccm, kiongozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.