KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Hakuna haja ya maelezo,picha inajieleza yenyewe!
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Umoja wetu umeendelea kuhujumiwa,jana polisi mkoani Mbeya wametunyima kibali cha kufanya maandamano mkoani hapa.Cha kushangaza zaidi afisa utamaduni wa jiji la Mbeya kwa maagizo ya CCM,amekataa...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Ukawa itasambaratishwa kwa kutumia pesa tu. Ukitoa ngono, hakuna kitu tunacho kiabudu watanzania kama pesa haijalishi pesa ni halali au haramu. Kwa kutambua hilo, CCM itatumia pesa kulitawanya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Salaaammzz, kama kawaida Mzee wetu Mh. Jaji Warioba leo saa tatu uusiku atakuwa ndani ya nyumba ya ITV akiendelea kukandamiza dozi mpaka mgonjwa apone. Atakuwa akituletea ufafanuzi wa hoja...
2 Reactions
124 Replies
16K Views
Katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA Dk. Willbroad Slaa ambae pia ni kiongozi wa msafa a UKAWA kanda ya kaskazini amesema licha ya kuwepo kwa mvutano wa muundo wa serikali...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Leo ndio leo hapa Jijini Mbeya
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ndugu wanajamvi nimetafakari kwa undani katika kujaribu kuona hoja na maantiki ya vyma vya upinzani kuupinga muungano uliopo wa serikali mbili. Ukiuchunguza kwa umakini aina ya muungano wa vyama...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Katiba mpya itakamilika lini? Mpaka saivi kmya kuna nini?
0 Reactions
1 Replies
792 Views
Umoja wa Katiba ya Wananchi,UKAWA imemtaka Kinana kuelewa kwamba JK ndio mzigo namba moja kwa kushindwa kuwawajibisha walio chini yako.Wametoa mfano wa Kawambwa ambaye Kinana alimwita mzigo lakini...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Ukianzia Lindi kwa Baruan hadi Biharamlo kwa Mbassa, ukitoka Kigoma kusini kwa Kafurila hadi Pemba kwa Mnyaa, Kasikazini kwa Mbowe mpaka Tabora kwa Lipumba. Wengi wamebeza lakini wanaobeza ni wale...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
http://youtu.be/4snt_fnGvJc Wakati akihutubia maelfu ya wananchi wa wilaya ya Urambo katika viwanja vya Wananchi Square, Katibu Mkuu wa CCM, kinana alisema Katiba ya nchi ni jambo zuri lakini...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Wenyeviti wa chadema na cuf, Freeman Mbowe na Ibrahimu Lipumba, wametangaza kuzunguka tanzania bara na zanzibar kuwaeleza wananchi kilichotokea na kinachoendelea bunge maalum la katiba. Kauli...
0 Reactions
59 Replies
4K Views
Katika hali ya kuchanganyikiwa leo CCM walipita katika soko la Mwanakwerekwe Z'bar na kuanza kuwauliza wafanyabiashara ndogo ndogo "unataka serikali ngapi?" wakipewa jibu ka Serikali 3 "huwauliza...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
"Mpango uliopo sasa ndani ya Umoja wetu wa UKAWA ni kuhakikisha kwamba tunawaamsha Wananchi wa vijijini hususani kule Tabora CCM wanakorandaranda kila kukicha na maeneo mengine machache...
0 Reactions
4 Replies
877 Views
Musoam Musoma Musoma Prof Lipumba...
2 Reactions
18 Replies
4K Views
Leo Ukawa wanaunguruma hapa Tabora katika viwanja vya Town School. Wanatoa Elimu juu ya Muungano. Waongeaji wakuu no John He he na kiongozi mwandamizi wa NCCR. Watu no wengi sana jamani
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kwa uchache, vifuatavyo ni vifungu vilivyomo katika sura mbalimbali za Rasimu ya Pili ya Katiba ambavyo ni vigumu kumeza kwa wanaCCM, hali iliyowafanya wavuruge zoezi la upatikanaji wa Katiba Mpya...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
UMOJA wa Katiba ya Wananchi ( UKAWA ) umepokelwa kwa mabango yanayowapinga wilaya ya Mufindi mkoani Iringa yaliyokuwa yamebebwa na vijana Mabango hayo yalikuwa yanasomeka...
3 Reactions
108 Replies
15K Views
Kwasababu wazanzibari wengi walioko dodoma kwenye Bunge la Muungano wanafurahia mandhari, posho, na hali ilivyo, huku wakiwa Zanznibar wanapiga kelele Tanganyika imevaa koti la Muungano, na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hivi ndivyo ilivyokuwa mwanza,wakati kamanda mawazo alipokuwa mgeni rasmi hapa jijini mwanza,kweli mkuano ulifana sana,big up makamanda wa ukawa
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom