Dar es Salaam. Wakati Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), ukitarajiwa kuanza ziara ya siku 10 katika mikoa ya Tanzania Bara kesho, viongozi wa umoja huo wamemvaa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman...
Nimejiuliza sana sijapata jibu naomba nisaidiwe.
Rais Kikwete (ambaye pia ni m/kiti wa CCM) aliunda Tume ya marekebisho ya Katiba na Tume ikaenda kwa wananchi na kufanya kazi iliyotumwa.
Tume...
Ndugu wanaJF ambao kwa muda mwingi tumekuwepo pamoja katika kufuatilia hekaheka za kupata KATIBA mpya chini ya mfumo wa vyama vingi,pia KATIBA iliyoshirikisha wananchi katika kujenga mustakbali wa...
Maaskofu 32 wa Kanisa Katoliki Tanzania, wametoa waraka maalumu wa Pasaka wakiwataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuheshimu maoni ya Watanzania yaliyomo katika Rasimu ya Katiba na kuweka...
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) imesema inaamini katiba mpya itapatikana bila kuwepo kwa wajumbe wa Bunge la Katiba wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).
Hivyo, jumuiya hiyo...
umoja wa kutetea katiba ya wananchi ukawa wametoa ratiba inayoonyesha tarehe 16.5.2014 watakuwa Arusha kwenye uwanja wa ngarenaro shule ya msingi kabla ya mkutano kutakuwa na maandamano makubwa...
EU. USA, Israel, India , Japan, Brazil, Mexico, Thailand na nchi zote tajili duniani wana utamaduni wa kumshitaki raisi au kumtoa madarakani kisheria. Je watanzania hatutaki utamaduni huo. Basi...
uwepo wa makundi ya vyama vya siasa kwenye bunge la katiba, yana faida gani kwa sisi RAIA? He makundi mengine yasiyo ya siasa yanawekwa katika nafasi ipi katika bunge hilo?
- Kuna swali moja linanitatanisha sana kwamba exactly Warioba anachokitaka hasa ni nini? Ameteuliwa kuongoza tume ya kukusanya maoni na sio siri badala ya kukusanya maoni ametengeza maoni na kuwa...
Ccm imesema haiwezi kuwabembeleza ukawa, wala kuwaangukia warudi kwenye meza ya mazungumzo na hatimaye warejee kwenye bunge hapo mwezi augost. Aidha ccm imempiga stop samwel sitta kufanya...
Kwa katiba hii Rais wa Jamhuri anaweza kumteua Mbunge wa Chalinze (Mwanae) kuwa Waziri Mkuu na asiwe amevunja katiba ya nchi. sas najiuliza kwene rasimuya pili ya katiba kina Warioba waliliona...
Kama mwana ccm makini na usiyeendeshwa na fikra za mwenyekiti unatoa ushauri gani kwa Ukawa ili waweze kufika mbali na kuchukua nchi hapo 2015.
Tunahitaji mchango wako wa mawazo ili tupeleke...
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeweka wazi msimamo wake, kikisema kuwa hakina mpango na katiba mpya, na kwamba jambo muhimu kwao ni kuangalia matatizo ya wananchi.
Msimamo huo ulitolewa na Katibu wa...
Kwenye moja ya kipindi cha Meza ya Busara kinachorushwa na WAPO radio wiki hii nili msikia mmoja kati ya wachangiaji akisema UKAWA na CCM hakuna aliyebaki bungeni wote walitoka. Mchangiaji huyo...
Kauli ya Samwel Sitta leo kuwa "Sijui kama wameenda moja kwa moja au watarudi" ina maana kuwa, ikiwa Ukawa hawatatoa jibu haraka au mapema kuwa watarudi bungeni, basi Bunge linaweza kubadili...
Habari zenu wana jf wote.
Kufuatia maoni ya mh.waziri mkuu alipokuwa akihitimisha bajeti yake
Kwa kuwaomba wajumbe wa UKAWA wakae na serikali watafute muafaka warudi bungeni.
Mimi kama mtanzania...
Kuna Tetesi kuwa Hamadi Rashid aliye kuwa mbunge wa Cuf atagombea urais mwakani 2015.
NAVYO HISI huu utakuwa ni mpango wa CCM kumdhoofisha Maalimu Seif na Cuf. Kumbuka hawa wote wanatokea...
UKAWA wanapigania uhuru wa Tanganyika na Zanzibar?
KATIKA mada aliyoitoa Machi 31, mwaka huu wa 2014 kwa vijana wa vyuo vikuu jijini Dar es Salaam, pamoja na mambo mengine, Profesa Issa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.