KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Kama unachochote kwa hawa wanachama wa CCM wanavyotunga KATIBA sema chochote.
0 Reactions
2 Replies
976 Views
- Mimi ni Mtanzania, nimezaliwa na kukulia Tanzania, nimesoma bure wakati wa UtAwala wa Baba wa Taifa hili Mwalimu Nyerere, and then nikaenda Jeshi La Kujenga Taifa kwa mujibu wa Sheria kwenda...
2 Reactions
259 Replies
17K Views
Inaonekana wazi kwamba CCM wameliteka bunge la katiba na kuna kila dalili kwamba wanataka kututungia katiba ya CCM. Lengo la tume ya Warioba lilikuwa ni kukusanya maoni ya wananchi na hatimaye...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Naomba kuuliza maana ya hilo neno. Maana kila nikiliona napata ukakasi.
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Ukisikia akutukanaye hakuchagulii tusi! ni kweli kabisa! leo saa moja usiku kupitia kituo cha ITV nikiwa na akili timamu nimemsikia na kumuona mhe. Ngawahiya akisema hadhi ya Rais wa Zanzazibar...
0 Reactions
0 Replies
782 Views
Kesho ni Ijumaa Kuu. Katika mahubiri yenu kama mtaamua kuzungumzia siasa muizungumzde kwa makini na busara msije mkaendelza mpasuko aliouanzisha Lukuvi. Tafadhalini sana. Labda ningewashauri kama...
0 Reactions
2 Replies
879 Views
Wanajamvi Wakati wana UKAWA Jumamosi wakiwa Zanzibar kutetea Rasimu yenye Maoni ya Wananchi dhidi ya Kuondoa kero kuu ya Zanzibar kumezwa na Tanganyika inayojiita Tanzania. Baadhi ya...
0 Reactions
2 Replies
730 Views
Hatimaye, Bwana Lukuvi ametegua kitendawili cha kwanini CCM inapigania muundo wa serikali mbili kwa nguvu za ajabu ikiwemo propoganda, uongo, upotoshaji, hujuma ktk mchakato, kura ya wazi...
0 Reactions
1 Replies
824 Views
Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Slaa anatarajia kufanya mkutano na waandishi wa habari mchana huu Makao Makuu ya Chama Kinondoni DSM. Kiongozi huyo wa Chadema anatarajiwa kufuatana na...
1 Reactions
85 Replies
11K Views
Clip ambayo Tundu Lisu anajibu tuhuma za kumtukana Mwalimu Nyerere.
2 Reactions
31 Replies
13K Views
Hivi watu wanaotaka serikali tatu ni manufaa yapi ya msingi Kwa wananchi mnsyoyataka kama sio kutaka kufanya majaribio kwa wananchi
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wanajamvi Wakati wana UKAWA Jumamosi wakiwa Zanzibar kutetea Rasimu yenye Maoni ya Wananchi dhidi ya Kuondoa kero kuu ya Zanzibar kumezwa na Tanganyika inayojiita Tanzania. Baadhi ya...
0 Reactions
0 Replies
752 Views
Jibu lako liko jikoni. Lukuvi hakustahili kufikia kusema masuala ya udini kanisani tena kwa suala la Zanzibar nchi yenye waislamu asilimia 99% Nilidhani pale alipoitwa na spika...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hiki chama cha Chadema kitajuta kumtukana muasisi wa hili taifa,kitajuta Na hakitabaki salama,huu ni ufunuo ambao hakika hautapita. Ibrahimu katika biblia anaitwa Babà,wa imani ni haijalishi...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
HABARI ZA SAA HIZI WAKUU KUNA TAARIFA KWAMBA CHAMA CAHA MAPINDUZI CCM wameamua kasambaza wanachama wao nchi nzima kuhakikisha kwamba wanaifuta kauli ya MH. Lisu aliyoitoa bungeni katika siku za...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
jamani haya ni maoni yangu binafsi.na naomba yaheshimiwe. Kebehi na maneno ya dharau juu ya waasisi wa taifa hili ni kosa la uhaini.kwasababu haukatazwi kujadili mawazo yao ila ni mwiko kutoa...
2 Reactions
51 Replies
4K Views
Wadau mimi ni mkristu, ninawaheshimu sana tena sana viongozi wa dini kwenye mambo haya ya dini. Niwatahadharishe hawa viongozi wa dini kuwa chama chochote kilichopo ikulu kinapoanza kukumbwa na...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Mimi sitasema mengi ila natoa wito kwa viongozi wa UKAWA kutokuomba kuonan na raisi na wala kutokubali mwaliko wowote ule kutoka Ikulu kwa madhumuni ya kufanya maongezi ili kupata muafaka baada ya...
9 Reactions
46 Replies
5K Views
Nauliza kama rais abeid Karume angekubali kuwa rais wa kwanza wa Tanzania,rais Nyerere angebaki rais wa nchi gani kwa kipindi kile?Naomba jibu
0 Reactions
0 Replies
828 Views
Lazima tujiulize na hawa wanaojiita wazalendo kwenye bunge la katiba. Posho imetoka leo saa 5 asubuh wamelipwa hadi tarehe 30. Sasa hawa wajumbe waliotoka nje kwa nini wasingetoka siku zilizopita...
1 Reactions
60 Replies
5K Views
Back
Top Bottom