KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Sidhani kama aangekuwa mama yetu anashambuliwa na kutukanwa pale bungeni na wahuni washenzi majambazi ungefurahi baba yangu sitta Nilitamani niteme mate nikakuta natemea tv yangu sikuamini...
2 Reactions
15 Replies
4K Views
Nimejaribu kuipekuwa naona haki za msingi kabisa hazijaguswa. 1. Haki ya kugoma mfano kwa wafanyakazi kumgomea mwajiri na migomo mingine wanapokuwa wamesindwa kukubaliana lakini na namna ya...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Baada ya bunge maalum la katiba kumalizika tarehe 02 october 2014 sasa naona ndiyo mwisho wa ukawa kuwepo maana haina umuhimu tena wa kuwepo. Umoja wa katiba ya wananchi (ukawa) kama inavyojiita...
2 Reactions
36 Replies
3K Views
Tulishasema kitambo kuwa mabadiliko ya 2010 ya katiba ya Zanzibar,hayakuja bure, katiba hii imejifunga sana na kuwapa wazanzibari haki ya kuamua mambo magumu kupitia ule mtindo wa theluthi mbili...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Katiba katika Taifa lolote ni andiko linalotoa muongozo kisheria, wa mfumo wa haki na wajibu kwa watawala na watawaliwa katika kuishi na kujiletea maendeleo yao. Taifa linapoamua kutengeneza...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kitendo cha kutangaza kamati ya kuwahoji wale waliopiga kura ya HAPANA pasipo kuunda kamati ya kuwahoji wale waliopiga kura ya NDIYO ni kudhihirisha ni kwa kiasi gani katiba imetengenezwa...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
1.Shura ya Maimamu wa Misikiti yote Tanzania, Imetangaza Kura ya Hapana kwa Rasimu ya CCM, kutokana na Maoni ya Waislamu kuhusu Mahakama ya Kadhi kudharauliwa. Mtoa Mada amedokezea kua Mwendo ni...
2 Reactions
39 Replies
4K Views
Katika hali ya kawaida, katiba ya CCM iliyopitishwa kwa wizi wa wazi haiwezi kukubalika kwa wananchi. Mimi ninaamini hii katiba itakataliwa kote Tanganyika na Zanzibar. Pamoja na ukweli huu na...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
The Methods of Nonviolent Protest and Persuasion Formal Statements 1. Public Speeches 2. Letters of opposition or support 3. Declarations by organizations and institutions 4. Signed public...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Baada ya "Rasimu ya Sitta" kupitishwa na Bunge maalumu baadhi ya wabunge walilipuka kwa furaha na wengine wakakata mauno hadharani, huku mbunge wa Njombe kaskazini Deo Sanga akicheza "Kitorondo"...
20 Reactions
99 Replies
15K Views
Wataalam na wasomi wengine wasio wanasiasa tunaomba mwongozo wenu wa uchambuzi wa rasimu iliyopendekezwa na Bunge La Katiba. Uchambuzi huo uonyeshe mambo mazuri na mabaya ya rasimu hiyo,maana...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau, nilibahatika kuona kipindi cha ITV asubuhi ya leo jamaa mmoja akiuza rasimu ya katiba ya ccm kwa wananchi, ili waikubali na kuifanya iwe katiba ya Taifa. Sikumsikiliza tangu mwanzo lakini...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Wadau, Ni matumaini yetu sote kwamba wengi tayari tutakuwa tumekwishaisoma katiba inayopendekezwa (2014) kama tulivyoisoma katiba tunayoitumia kwa sasa (1977). Kwa maoni yako, ni katiba ipi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimeipitia katiba kipengere kwa kipengere. Hakika imekaa vizuri sana. nimekuwa nikijiuliza wale wanaoipinga wanapinga kwa hoja zipi!!? Ailimia kubwa mambo yaliyopendekezwa na tume ya Warioba yamo...
5 Reactions
162 Replies
10K Views
Mods msiunganishe uzi huu na uzi wowote ule. Wakati akitoa taarifa mbalimbali leo asubuhi Mwenyekiti wa BMK amesema kuna wajumbe wawili wa CUF(ukawa) wamemuomba kupiga kura ili kufidia zile za...
3 Reactions
89 Replies
12K Views
Utangulizi: Napenda kuweka wazi msimamo wangu kuwa sikubaliani na kile kilichofanyika Dodoma kuhusu mchakato wa katiba.But naumia kuona kuwa uhuni ule ndio umetuletea katiba ya majanga kiasi hicho...
1 Reactions
52 Replies
5K Views
Wadau kuna msemo wa kiingereza unaosema kuwa "If you can't defeat them, join them" yaani kwa kiswahili ni "kama uwezi kumshinda adui zako, ungana nao". Sitta ameamua kutimiza usemi huo. Ni dhahili...
6 Reactions
24 Replies
5K Views
Mjumbe wa bunge la katiba na mbunge wa Maswa (chadema) katika kutoa salamu za wajumbe baada ya kushinda kwa 2/3 ya kula za wabunge wote ameongea kwahisia kubwa na kwa uchungu na kusema ni bora...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Dodoma. Sasa ni wazi kwamba Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta ameingia katika mgogoro na viongozi wa dini. Wakati jana Sitta akirejea kauli yake aliyoitoa hivi karibuni kwamba waraka...
0 Reactions
84 Replies
9K Views
Mheshimiwa Samuel Sitta. Kwako mheshimiwa Samuel Sitta. Ni matumaini yangu kwamba sasa unajipongeza kwa kufanikisha kazi uliyopewa ya kuliongoza Bunge Maalum la Katiba ya kuhakikisha akidi...
14 Reactions
52 Replies
7K Views
Back
Top Bottom