Maada kuu katika Baraza la Iddi litakalo fanyika Leo Katika Msikiti wa Kichangani, Magomeni Mapipa zitakua zifuatazo.
1. Msimamo wa Waislamu Juu ya Rasimu ya Katiba iliodharau Maoni ya Waislamu...
Wakuu,
Kama mnavyokumbuka kuwa TSD ilikutana mwezi uliopita chini ya Mwenyekiti Mh.Cheyo na kuamua kuwa baada ya kupatikana kwa katiba inayopendekezwa, kura ya maoni ya kupitisha katiba...
Kuna kila dalili sasa kwamba
wahafidhina wamefikia ukomo wa
kuivunja GNU. Na ile ndoto yao
haiko mbali kutimia.
Uchambuzi yakinifu unaonesha
kwamba joto jipya la kudai
mamlaka kamili ya...
Wadau nilishangazwa na jinsi ambavyo wajumbe wa BMK walishangilia baada ya matokeo kutangazwa na kuonekana kuwa rasimu ya Chenge imepita kwa kupigiwa kura nyingi za ndiyo.
Naomba kama kuna mdau...
Wataalamu wa mambo ya njama 'Consipiracy theoreticians' wanasema hakuna njama inayoweza kuwa siri kwa muda mrefu ikiwahusisha mtu zaidi ya mmoja. Ni njama moja tu ambayo hata wao wanashindwa...
Wana JF. Habari za asubuhi. Naangalia Tuongee Asubuhi ya Star TV, moja ya wageni ni Dr Bunsen Burner anasema kuwa takwimu za tume ya mabadiliko ya katiba zilikuwa si za kisayansi. Anasema takwimu...
Hotuba ya Mhe. Hamad Rashid Mohammed mara baada ya kutangazwa matokeo ya kura katika zoezi la kupitisha Katiba Mpya siku ya mwisho ya Bunge Maalum la Katiba mijini Dodoma.
Kwanza shukrani kwa...
Nikiwa mdogo wakati niko shule ya Msingi nilikuwa najua kuwa mtu anayefundisha chuo Kikuu kwa maana ya Profesa au daktari wa Falsafa ni mkweli na muda wote ni mtetezi wa Falsafa za kweli.
Leo...
Kura mbili za rasimu zimepatikana kutoka kwa Hamad Rashidi mbunge wa Wawi imefahamika mjini Dodoma leo.
Katika hali ya kushangaza, Hamad Rashidi ndiye aliyepewa jukumu la kuwanunua wabunge...
Na Daniel Mjema, Mwananchi
Kwa siku nne mfululizo kuanzia Septemba 29, Watanzania walishuhudia aina mpya ya upigaji kura kwa njia ya Fax na Intaneti katika Bunge Maalumu la Katiba kwa wajumbe...
Baada ya matokeo ya kupitishwa kila mtu amepigwa na bumbuwazi na kama vile dunia ilisimama kwa Tanzania hata wa upande wa CCM maana walijua kwa logic ya kawaida kwamba akidi haitoshi tukimnukuu...
Ukweli uliopo ni kuwa Sita amezidisha kura ili theluthi anayoitaka ipatikane kusema Hamadi Rashid amefanikiwa kupata kura mbili kutoka UKAWA ni uwongo mkubwa unaofanywa na viongozi hawa wakubwa...
ZANZIBAR tuanaowaita urojo yaani watu legelege wamethubutu kupiga japo kura ya hapana tena hadharani na tumeona jinsi mwanashria mkuu wa zanzibar alivyoonyesha msimamo wake na kupiga kura ya...
Nimeishi na kutembelea pande zote za Tanzania na kugunduakuwa CCM kama chama tawala kimewakorofisha makundi yote ya jamii yaWatanzania.Kimewakorofisha wakulima wa korosho kule kusini,wakulima...
Katiba inayopendekezwa imeifunga miguu Zanzibar kuliko hata ile ya 1977. Kumfanya rais wa Zanzibar kuwa makamu wa pili wa rais ni sawa na kumfanya mjumbe wa balaza la mawziri. Hivi wazamzibar...
Naangalia kipindi cha kipima joto ITV, nashindwa kuwaelewa wanawasemea UKAWA! Wanalaumu wanasiasa wakati wao wanapiga siasa. Kipindi kama hicho kingechanganya watoa mada wanaoponda na wale...
Ndugu amani iwe nanyi nyote katika ukombozi wa mtu mweusi na kuleta furusa sawa kwa raia wote. Kesho ni kesho tena Umoja wa katiba ya wananchi UKAWA watalitikisa jiji la mawe Mwanza katika medani...
Wakuu.
Tuliambiwa na Warioba kuwa wakati wanakusanya maoni ya wananchi juu ya Katiba Mpya, "Wananchi Walio Wengi," yaani watu 17,000, walipendekeza mfumo wa Serikali 3.
Kwa kuwa Bunge Maalum la...
HATUA ya Bunge Maalumu la Katiba kuhitimisha kazi yake kwa kupitisha Katiba inayopendekezwa, imemjengea taswira mbili tofauti Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta.
Wakati wengine wakitafsiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.