Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari zenu wadau. Nahitaji kununua gari, na Katika Uchunguzi wangu nimeweza kushortlist gari tatu ambazo ni Toyota CAMI, Vitz na Suzuki Swift sababu kuu ya kushortlist ni kwamba zote zinalingana...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Habari gani wakuu? Natumaini mnaendelea vyema. Vifuatavyo ni vyumba na nyumba vinavyopangishwa Kigamboni. Viko sehemu nzuri, hakujai maji, ni km 3 mpaka 4 kutoka ferry, maji na umeme vipo...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
kwa wale wenye kusumbuliwa na computer zao hardware and softwre inshu mm natibu na kama waitaji kutengenezewa website,blog na networking LAN cable iwe ofisi au internet cafe mm nafanya kazi hzo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wana jamvi. Fundi makochi anahitajika kama kuna yeyote mwenye namba za fundi ani-inbox tafadhali. Akiwa maeneo ya Temeke itakua vizuri zaidi. Asanteni.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tunafanya Aluminium na Glass work,pia tunasupply na kufix mapazia ya maofisini(venetian na vertical blinds.) Vilevile tunafanya office partitions,office design,tunafix ceiling za aina...
0 Reactions
0 Replies
953 Views
Wadau naomba ufafanuzi wa hii gari SUZUKI KEI. Kama kuna mtu anayo anipe details upande wa upatikanaji wa vipuri, bei zake na ubaya wake. Kina cc650
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tigopesa lak 5,mpesa lak 50 na airtel money lak na 50.napatikana kwa namba 0712620078
0 Reactions
0 Replies
827 Views
Nauza s2 in a mint condition, 3 piece available. Price 280k@ Contact 0767879784.
0 Reactions
6 Replies
886 Views
Wanajamvi,naomba kujuzwa aina nzuri ya video camera kwa matumizi ya shooting mbalimbali mf..muziki,kwaya,harusi.nk.
0 Reactions
10 Replies
8K Views
Morning JF. Nataka kununua hii suzuki kei kupitia beforward naomba ambaye ana hii gari anipe matatizo yake na upatikanaji wa spare. Mafuta ina cc650 km98000mwaka 2001 cif 1985 $ hapo kuna...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Iwe ina suport line
0 Reactions
22 Replies
3K Views
An almost new four bed room house (one master bed room), store, kitchen, spacious sitting room and a common toilet and bathroom is available for renting at Gangilonga Prime Area Iringa. There are...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
salaam wadau. Wataalam wa bei za magari na wajanja wote wa mjini hebu nipeni bei hata kama sio fixed lakini makadirio. Nahitaji pickup nzuri tone 1 (tani moja) kwa show room za Dar es salaam ni...
0 Reactions
14 Replies
7K Views
Natafuta nokia za zamani zile n series au e series, inatakiwa iwe na kioo kirefu kuliko upana 240x320. Kwa mwenye nayo tuongee biashara. Nipo intererested zaidi na c5, n79, n86 pia kama...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Lav 4 inauzwa ipo katika hari nzuri (haina tatizo lolote) MODEL : RAV 4 BODY TYPE: STATION WAGON COLOUR: SILVER ENGINE CAPACITY: 1990 FUEL: PETROL FROM: JAPAN MANUFACTURE: 2003. INA KILAKITU...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
PLEASE LET TRUSTED- RESEARCH & CONSULTING MANAGE YOUR NEXT MARKET RESEARCH FIELD WORK PROJECT IN EASTERN & CENTRAL AFRICA: TRUSTED- Research & Consulting is a full service market research field...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
20mX20m bei 20Mln 20mX30m bei 22Mln 27mX35m bei 25Mln 25mX35m bei 47Mln iki kipo balabalani, Viwanja vyote vimefikiwa na umeme. 0716795456, 0713228712
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kupitia LEGIT ONLINE JOBS unaweza kuongeza kipato chako kwa kutumia akili yako na mikono yako tuu, basi tumia akili yako na hiyo mikono yako kuongeza kipato chako,SIO LAZIMA UKITAKA FANYA USIPO...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu wakubwa Plot inauzwa pugu buyuni, kimepimwa kina hati na documents zote za wizarani, ukubwa ni sqm 1886 bei 35million, price can be negotiated too. Dalali haitajiki. kama utahitaji, ni pm
0 Reactions
3 Replies
993 Views
mmmmmmmmmmmmmm
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom