Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Viwanja vinne viko pamoja ukubwa WA kila kimoja in 20 *20 vinauzwa kwa pamoja. Bei 23milioni. Hakuna udalali vipo Kibamba kwa Mangi mita 600 kutoka Morogoro road. Maji na UMEME vipo hapo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu wakubwa Plot inauzwa pugu buyuni, kimepimwa kina hati na documents zote za wizarani, ukubwa ni sqm 1886 bei 35million, price can be negotiated too. Dalali haitajiki. kama utahitaji, ni pm
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau nina shida na mbao kwa ajili ya kumimina slab ya kijighorofa changu coverage kama mita 10 kwa 15, mbao hizo nazihitaji mwezi wa tisa
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Samsung Galaxy Grand Duos inauzwa. Iko fresh haina tatizo lolote. Kwa mawasiliano nipigie 0755015050.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau, natafuta Deck mpya inayo cheza mikanda mikubwa ya video (VHS tapes palyer). Hata kama ni used basi iwe kama mpya, function zote ziwe zinzfanya kazi, mwenye nayo anipe bei yake tufanye biashara.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
habari zenu wana jamvi.nahitaji kununua mashine ya kufyatulia matofali ya block.sadq nahitaji kujua bei zake na aina zake.mwenye ufahamu na hili tafadhali nijuze.
0 Reactions
0 Replies
796 Views
Naomba kujuzwa kama kuna anaefahamu kampuni au mtu anaeweka floor ya tarazo either granite au mawe mengine. Shukrani Wenu katika ujenzi wa taifa Kifuniko
0 Reactions
0 Replies
3K Views
(1)Mi mtunzi wa shairi, mwenyewe najitangaza. Kwa utungaji hodari, mimi hapa ninaweza. Kwa mashairi mazuri, mimi hapa ninauza. Kama wataka shairi, nilipe nikutungie. (2).Mashairi ya mizani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
its net connection on your device and enjoy the fantastic 3G speed.get your now call or text 0759212578
0 Reactions
0 Replies
647 Views
Tafadhali nahitaji vifaa vya salon ya kiume vilivyotumika.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Chumba kikubwa futi 18 kwa 18 na choo chake self,na madirisha yenye hewa na sebule ukubwa huo huo.mainroad ya morogoro road ni mita 75 toka barabarani.nyumba ipo juu,main road ipo chini...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
Napatikana moshi au arusha Iwe kwenye hali nzr Weka picha na bei nithaminishe.
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Iwe na taa za Square. Air condition. Four Wheel drive. Isiwe na hitilafu yoyote ile. Kama unayo weka Specification zako hapa tuzungumze biashara.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Bata Wa Kienyeji Wa Kila Saizi Wanapatikana Nipigie 0657483912 BEI NI MAELEWANO KALIBUNI NYOTE
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Still new ndani ya box na vifaa vyake vyote Google for specification Price:600,000 Contact: 0716399697 I'm an astronaut and my next mission is to explore Uranus.
0 Reactions
0 Replies
746 Views
Basi kubwa lenye chassis ya Scania P94 230 na namba za usajili T112 BZU linauzwa, lina body ya Master fabricators kenya na lina uwezo wa kubeba abiria 61. Engine inazalisha horsepower 230. 8 speed...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Hi wadau, naomba msaada anayejua mahala wanaponunua vitu hiv vya kijerumani, Pasi, mtego wa simba,ufunguo n.k. plz nifahamshe.0717088198
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu.! Nahitaji hp envy yenye specification zifuatazo; Hp envy Core i7 8gb ram 500 - 1000 GB graphics 2gb Contact 0653 457659
0 Reactions
4 Replies
1K Views
SMS Marketing Benefits to Enjoy at GSMS GSMSThe most afordable leading Mobile Marketing company in Tanzania. Our cutting-edge mobile communication platform helps individuals, businesses...
0 Reactions
1 Replies
858 Views
Is email marketing cost drives you crazy? Tired of paying for a just broadcasting your email to recipients that you don’t really know how many they are? Tired of using third part / promotion...
0 Reactions
2 Replies
853 Views
Back
Top Bottom