Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
kama unayo kwa mawasiliano 0717859768 0788950406 bei maelewano.
0 Reactions
0 Replies
711 Views
Wakuu, nahitaji mashine ya kutotoleshea vifaranga naweza kupata wapi?Kuna mtu aliweka post kuwa anazo ila shida ni kuwa hajibu maswali ya wateja. Asante
1 Reactions
6 Replies
6K Views
Je unamiliki biashara ya aina yoyote ile basi pata logo zenye ubora na zitakazoweza kutangaza biashara yako mahalii popote pale kwa bei ya tsh.40,000/=tu kwa anaehitaji logo awasiliane nami...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wana JF, naomba mwenye uzoefu wa gari aina ya Freelander anifahamishe nataka kuinunua ila nimesikia kuwa zinachemsha ( yaani kuwa haziwezi kwenda long safari). ni kweli??
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ninauza mbati ya rangi ya blue/green (ipo kati ya rangi hizo)yaliyobakia baada ya kuezeka nyumba yangu. Ni meter3 a futi 10 .Jumla yapo 31 nimeyanunua mwezi uliopita. Bei ya madukani kwetu ni...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Nauza Xbox 360 yenye cables zake zote pamoja na cd za michezo zifuatazo hapa chini: Bad Company (rated 16+) Counter Strike (R16+) Call Duty; Modern Warfare 2 (R 18) Tom Clancy's Hawx (R 12+)...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu laptop yangu ya dell dogo kaitia juisi imeungua asa nimeuza baadhi ya vitu vizima imebaki adapta.Naiuza kwa tshs.40000/= tu!!!!! Ni orijino kabisa kama waitaka nipigie simu...
0 Reactions
2 Replies
981 Views
Nyuma inapangishwa ipo mbezi beach st marys vyumba 2vya kulala sebule jiko choo pia ipo nyingine mbezi beach tangibovu laki tatu kwa mwezi 0714 787795 pm ur number if ur serious photo zinakataa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Motorola Droid Razr 4 sale As cheap as 280,000 only ina 4g,1gb RAM,8mp,2mp front camera,4.1.2 Android From Verizon America Just Pm :)
0 Reactions
0 Replies
661 Views
yeah wakubwa kama unavyoona hapo juu kama unayo nitext 0656900095;0689900034
0 Reactions
0 Replies
690 Views
msaada wa maelezo kwa anaye ifahamamu hii Jamii Minishop System inafanya nini hasa
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wanajamvi habari ya mihangaiko ya maisha, Nilikua nauliza wapi nitapata soko la mihogo? Mimi niko Mkuranga ila naogopa walanguzi, ninazo heka 2 mihogo safi kabisa hata hapa ndio napata wa mchana...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa mahitaji ya ku-design logo, banners (mabango), head letters, business cards, posters, fliers, screen-printing artworks, calenders, button badges, na kazi nyinginezo zihusianazo na graphic...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
HAVE A LOOK AND CHOOSE WHAT YOU WANT! For those who are interested; Price: Tsh. 100,000 (Negotiable depending on the design) Contact #: 0718079550/0684801020 (Ask any question through these...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimepata mteja anahitaji nimuagizie hiyo gari, wanao hifaham vizur wanijuze kuhusu ulaji wa mafuta na spare parts availability!!
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habarini wakuu? Ving'amuzi vipya kutoka starttimes,cables na Antena vinapatikana.Bei ni 79,000 tu kikiwa kimeunganishwa na kifurushi cha kili kwa mwezi mzima. Pia Antena na cables zake mita 15...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nyumba inauzwa nzuri kweli ilala karibu na amana hospital nyumba ipo poa ina concret roof 5 b/rooms dining na large sitting room one room has a master with kisima kirefu cha maji barabara ya lami...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwenye ufahamu aniambie ni kiasi gani,na naitaji niwe vifaa vipi,nipo mkoa natamani kucheza na hiyo fursa
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kama heading inavyosema, natafuta Xbox 360 controller au battery pack yake. ni PM mwenye nazo
0 Reactions
0 Replies
816 Views
JIPATIE DVD ZA KUJIFUNZIA KIINGEREZA ENGLISH DVD part 1 of 5 CONTENTS: 1.Greetings 2.More Greetings 3.Greetings Throughout the Day 4.Useful Expressions 6.Introducing Yourself 7.The...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom