Habari Wadau,
Natafuta Printer yenye sifa zifuatazo.
* Yenye uwezo wa ku-print paper sticker
*Rahisi katika kujaza wino au wino wake unaopatikana kwa bei rahisi
*Heavy Duty
*Bei Poa
SMS...
Natafuta eneo linalofaa kwa biashara ya baa hapa Dar es salaam. Sifa husika: Eneo liwe sehemu za kuwalenga wateja, sehemu ya wazi, jirani na barabara, na pia liwe na parking ya kutosha. Mwenye...
Shamba! lenye ukubwa wa Hekari 11 Linauzwa sh 30M Kibaha Madafu km 7 kutoka Barabara ya Morogoro.lina miti ya mikorosho michache halija pimwa. Ukiwa INTERESTED Usisite kuni PM Au kunipigia...
Habar zenu wakuu..
Nauza simu tajwa hapo juu(TECNO P5)..
imetumika kwa wiki3 tu..
Bei ni 160000...
SPECS MUHIMU..
DISPLAY - 4 inch.
BACK CAMERA - 5 megapixel.
FRONT CAMERA - 2 megapixel.
OS -...
Hii ni box mpya,haijawahi kutumika ya kuunlock na kuflash simu za aina zote zikiwemo Samsung, lg, sonyerricson, huwaei,zte nk.
Contact: smileltd@hotmail.co.uk
0714101020
Wakuu, ninauza uwanja Dar. Uko km 23 kutoka kigamboni felly. Ni njia ya kuelekea dsm zoo. Ni mbele kidogo ya dsm zoo. Bei sh 7.5 m. Ukubwa wa uwanja ni nusu heka. Mchanga wa kujengea unapatikana...
Wana jamii...nahitaji kuku wa nyama idadi isiopungua kuku 1000 kwa maelezo zaidi na kufanya biashara piga no 0785168001...kama hauko serious au wewe ni dalali usipige tafadhali.
habarin wakuu. naomben msaada nahtaj kuanza kufuga kuku wa mayai,mwenye ujuzi naomba anijulishe vitu muhm vinavyotakiwa ili kuanza na jinsi ya kuwatunza...ahsanten
Kuna gari mbili aina ya IST za mwaka 2004 kilometa chache zinauzwa bei poa kabisa..zimefika jana tarehe 14/12/2013 toka Japan.
Gari tayari zimeshashughurikiwa taratibu zote za TRA, Sumatra...
Wadau..
Nyumba ipo Kigamboni-Kibada... ipo katika makazi yaliyopimwa na kina hati.. nyumba iko katika kiwango cha renta.
Mmiliki amekwama kiuchumi kumalizia ujenzi.
Bei 50 Mil. mazungumzo yapo...
nauza nokia asha 302 ni laini moja ina whats app na ipo ktk hali nzuri kabisa.bei 90 elf tu.nna shida ya pesa haraka mwisho jumatatu ofa hii.ntafute 0659626782.nipo dar,magomeni
wana jf,mimi ni agent wa kampuni ya china inayoitwa "trades easy way co.ltd"ambaye huwa nachukua oda na kuzituma kisha mzigo unawasili baada ya mwezi mmoja.wewe kama mteja unachotakiwa kufanya ni...
DELL latitude E6400,RAM 2GB,PROCESSOR DUO CORE 2.4GHZ,HDD 250GB
BEI 450000,maelewano yapo
Kwa anayeitaji anipigie au sms 0759149202
Notebook Aspire D2550,RAM 4GB,PROCESSOR 2 DUO CORE 1.82GHZ,HDD...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.