Habari zenu watanzania
Mimi ni kijana nilie na umri wa miaka 28 ni mtanzania mzaliwa wa zanzibar elimu yangu ni form 4 ninaujuzi wa kutumia computer na kuitengeneza kwa hardware and software pia...
habari wana jf......nimebahatika kuitwa kwenye interview ya bank,naomba ushauri kwa wazoefu general qns ni zipi?note:cjawahi attend interview yoyote,taaluma yangu ni marketing.
Kumekua na kmtindo cha vikampuni va biashara kutuma SMS kwa wanaotafuta kazi wakiwaita kwa madai ya kuwapatia pesa bila kujitambulisha.
Nimekua muhanga kupokea SMS toka kwa watu nisiowajua na...
Truebell Industries Ltd.
P.O.BOX
Dar es salaam
Tunafuta Engineer ambaye ana experience juu ya setup ya viwanda (small industries).
tuna project yetu tunataka kufungua kiwanda cha kutengeneza...
Kwa kweli hakuna lisilowezekana chini ya jua
Ambacho nimegundua siku hizi ni kwamba matangazo mengi ya nafasi za ajira/tenda hapa nchini/huenda na kwingineko ni kiini macho tu kwani tayari...
Wanahitajika wafanyakazi wafuatao;
1:Msichana wa kazi za ndani
SIFA :Awe na nidhamu,tabia njema.
Awe mwaminifu.
2:Dereva kwa ajili ya kuendesha gari la ofisi landcruser.
SIFA...
ajira ni haba sana mjini.nimekuwa na wazo kama tukijikusanya watu 100 na kutengeneza kitu kama ushirika/shirikisho/company kwa mchanganuo ufuatao.pamoja na ugumu wa ajira;tunaweza kupata...
Members juzi jumatano nimeomba nafasi ya kazi moja iliyotangazwa humu humu katika hii forum iliyokuwa inatutaka kutuma CV na passport size picture funny enough leo asubuhi mtu from the same...
Wa ndugu zimepita wiki kadhaa tangu ngo ya feed the children inayopatikna maeneo ya msasani itoe tangaz la programs interns sasa wadau kama wameshatoa majibu au watu wameanz kazi 2julisheni ...
Wanajamvi sina hakika sana km hii imekuwa posted hapa. Ila km hujaiona na unatafuta kazi jaribu bahati yako, who knows you might be the person they are looking for. All the best.
THE MUHIMBILI...
Leo asubuhi chanel ten naibu katibu wa tume ya ajira anatoa maelezo juu ya ajira za kujaza nafasi zitatolewa muda si murefu ujao wana JF wenye sifa changamkieni hizi nafasi. Nawasilisha.Chanzo...
Ndugu zangu wakubwa kwa wadogo salam,mimi nina advanced diploma ya computer science toka chuo cha uhasibu arusha,nimemaliza mwaka juzi lakini mpaka leo sijafanikiwa kupata ajira,naomba yeyote...
nimeanzisha mada hii baada kuona thread moja ikilamu mtu kukataa kaz akiwa hana kazi. Si kweli wala sahihi kwamba kama mtu hana kaz basi ajishushe dhamani yake na kufanya kaz ambao anaona fika...
CAREER OPPORTUNITIES
Achelis (Tanganyika) Limited of Dar es Salaam; a part of the Achelis group of companies requires the Services of a Sales Manager for the Energy Department and a Sales...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.