Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Jamani changamkie nafasi hizo za kazi Sent from my GT-N7100 using Tapatalk 2
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Wakuu nimeapata kazi ya kufundisha St Francis Ifakara mshahara wao si mbaya sana na wanatoa 15% house allowance. wanaofahamu mazingira ya kzi hapo vp zaidi ya salary kuna any other benefits. na...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
walimu wa sayansi, biashara na sanaa wanahitajika haraka tayari kwa kuanza kazi morogoro. Tuma cv yako haraka. mtamanyali@gmail.com NB. kwa wale wanaotaka kwenda serikalini wasijisumbue kwani...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Jamani naomba kwa kila alipata nafasi ya kazi apokee pongezi zake nyingi sana. Kwa wale ambao hawakufanikiwa msikate tamaa kwani maisha ni foleni kila siku inasogea polepole, hatimaye na nyie...
1 Reactions
30 Replies
11K Views
Kama umechoka kutafuta ajira bila mafanikio au umechoka na ajira unayoifanya kwa sasa kwa sababu ya kuamka kila siku asubuhi na kukumbana na adha ya foleni kila kukicha suluhisho hili hapa...
2 Reactions
33 Replies
5K Views
Am studying at the institute of finance management ( IFM) second year taking the bachelor of accounting.., am looking for the evening shift job.., anyone with the idea where i can get one plz.
0 Reactions
3 Replies
996 Views
Wana-JF naombeni msaada wenu, Nahitaji Dada wa Ndani kwa shughuli za kawaida za nyumbani kama usafi (nyumba, vyombo, nguo, uwanja), kupika, n.k Atafanya kazi katika familia ya watu wanne na...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Heshima kwenu wana jamii! Tarehe 15 nilihudhuria intervew pale duce katika post ya WILDLIFE OFFICER. Nilishangaa sana kumuona dada mmoja ambaye nilimuacha chuo mwaka jana pale SUA. Huyu dada...
4 Reactions
52 Replies
8K Views
FAME Medical PO Box 351 Karatu, Tanzania +255 732 978 729 Employment Opportunity FAME Medical is Health Center located in Karatu, Tanzania. Operating under the Foundation for African Medicine &...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ajira za walimu kutangazwa january 15. source:mimi mwenyewe
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwezi december kuna watu ilikuwa wafanye training tar.3 ikaahirishwa na waliambiwa wataitwa.Lakin hawakuitwa hadi sasa na walikuwa makundi mawili mwanza na dar ila wale wa mwanza nasikia wanaanza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
leo nimefanya kazi ya kuakikisha nimejiunga na jamii forum, HAPPY me!
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Hivi wadau TGS E ni kiasi gani kwa wanaofahamu?
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wadau! Tunatafuta wadau wawili au watatu wa uhakika wenye uwezo wa ku supply kwa pamoja jumla ya tani 500 kwa mwezi za PET flakes (makopo matupu yanayotumika kutunza maji ya kunywa, soda, n.k)...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Nina cheti cha hotel management na nina uzoefu na kazi ila sasa nimehamia Dar natafuta kazi katika hotel au mgahawani. Kazi ya reception au waitres pia.
0 Reactions
28 Replies
4K Views
"Hili tatizo la kupata ajira limekuwa sugu kwako vyeti unavyo na sifa za kupata kazi unazo lakini roho ya kukataliwa inakusumbua... Njoo ufanyiwe maombi..." *************** hivi ndivyo...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Habari wadau tarehe 10 mwezi huu nitakua kwenye usaili wa kuongea kwani wa kuandika nimeshafaulu kampuni ni Mambo publisher na nafasi nilioomba ni ya uandishi wa vitabu. naomba mnitajie maswali...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
EFAV logistics wameita watu kwenye usaili wadau?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana jf wenzangu,ukipita ktk airport za dubai na doha utakuta wakenya wengi wakifanya kazi hapo mpaka za kufagia,ila hukuti mtanzania,hivi sasa nchi ya qatar wanajiandaa na kombe la dunia football...
1 Reactions
58 Replies
10K Views
Wanajamvi kuna mtu yeyote kaitwa Reputed Gold Mine?Naomba kujulishwa!
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Back
Top Bottom