Mi nazidi kuishangaa nchi yetu hii aisee
Yani mteue wakuu wa mikoa, wilaya, D.E.D na wengineo huko waliokaa kisiasa siasa mfike hadi kwa nafasi zilizosomewa kabisa ?
Mwambieni Mheshimiwa Rais...
Hello Wanajf nimeitwa internship WVT kupitia Taesa ila ni mkoa tofauti na nilipo, kwa mwenye experience anijuze kama WVT wanalipa interns pia au inakaaje?
habari za wana jf hope mmeamka wazima mimi pia tafadhali kwa mtu yeyote amabye anajua mshara wa polisi kwa graduaetes naomba atuambie na sisi wengine tupate kujua,sitaki kujua mshara wa polisi kwa...
Mimi ni graduate wa Biotechnology and Laboratory Science Nimejaribu kujaza katika system ya Taesa nimeweka vyeti na kila kitu ila bado wana onesha academic qualification not filled kwanini?
Usaili wa nafasi za kazi jeshi la polisi umeanza October 31,2032. Mikoa yote nchi nzima. Baadhi ya mikoa wamemaliza usaili kwa ngazi zote, lakini mkoa wa Dar es Salaam bado.
Usaili ufanyika ngazi...
"Wanasema ukipanga Mungu anacheka"
Elimu Ni Diploma. (2017 Bank & Finance).
Umri :29
Experience: Niliwahi kuwa msaidizi wa muhasibu wakati nasoma.
Pamoja na masoko na mauzo.
Mtaani Mambo...
Hello there!
Kumekua na uhaba mkubwa wa ajira sana nchini kwetu, kiongozi sahihi atakae tokea kumaliza huu ukame atakua amesaidia sana taifa n hakika ataweka legacy kubwa kama ile iliyowekwa na...
Kwa wale walioomba nafasi mbali mbali za Kazi katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) mnaarifiwa kuwa kutakuwa na mtihani wa kuandika kwa tarehe tajwa hapo juu. Wale tu watakao faulu wataitwa kwa...
Habari wana JF
Wadau, ni baada ya mda gani mtumishi wa serikali anaweza kukopa mkopo kwenye Bank kama NMB na CRDB.
Na kiwango cha mkopo kinaweza kufika 30 M kwa mshara wa 1.2M kwa mwezi...
Naomba ushauri kwa watu wenye ujuzi wa hili.
Ukiwa umeajiriwa taasisi 'x' kwenye kada ambayo ina uhusiano mdogo na kile ulichosomea na ukaona kuna nafasi taasisi y ambayo ndio ina uhusiano wa...
Habarini kampuni ya TEN ASSOCIATES inawatangazia umma kuwa tuna nafasi mbili wazi kazi ya usafi ofisini muombaji awe na cheti kutoka VETA Fani ya HOUSE KEEPING tuma maombi yako kupitia anuani...
Jana bana ile tunakula lunch ghafla story za kui jadili ofisi yetu (Moja ya Halmashauri nchi) zikaibuka.
Aisee Kazi za Halmashauri ni local sanaa.
Ila hoja aliyoibua Rais Samia akiwa Mara, haiko...
EFT CLEANING AGENCY LIMITED inatangaza nafasi ya kazi ya Fumigation Personnel
Sofa
. 1. awe na Umri usiopingua miaka 21
2. Awe na utayari kufanya kazi pale atakapopangwa
3. Awe amesomea fani...
Jamani kama kunamtu anaweza nisaidia kuingia kwenye kampuni la Pepsi ama coca kufanya kazi yeyotee.
Naomba anisaidie.
Binafsi nimejaribu mara kadhaa nimeshindwa.
Niko Mbeya Iwambi
Habali nduguzo.
Naombeni ushauri namna ya kuomba kibali cha kuonana na mkurugenzi au HR wa Taasisi tofauti tofauti.
Nia na dhumuni, nina biashara yangu nataka ianzisha mda si mrefu ntakuwa...
Kama mada inavojieleza makosa baadhi Yanayotutoa kwenye placements kwa uzoefu mkubwa wangu ni huu
Kipindi cha written interview
1 . Wasailiwa baadhi husahau vyeti vyao vya qualifications bila...
Habari zenu wana jukwaa,
Naitwa Twalib Jongo,
Ni kijana wa miaka 33
Nimesomea fani ya Usimamizi wa biashara 2018 (Degree of Business Adminstration).
Nna uzoefu wa kutosha kwenye tasnia ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.