Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Mimi ni kijana wa kiume, naishi dar es salaam Nina miaka 24 ninaomba mtu yeyote mwenye kazi anisaidie tafadhali Nina elimu ya diploma(environmental health science)
0 Reactions
2 Replies
395 Views
Wakuu swali langu ni hilo wale wagumu aka ma-porter wanaopanda Mlima Kilimanjaro Wanalipwa Kiasi gani kwa siku au kwa mwezi?
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Natafuta mfanyakazi wa kuuza na kuhudumia katika Grocery/bar. 𝐌𝐚𝐣𝐮𝐤𝐮𝐦𝐮. • Atauza vinywaji na kutoa huduma Kwa wateja. • Kufanya hesabu na kutunza kumbukumbu. • Kuorodhesa vinywaji vilivyokwisha...
4 Reactions
6 Replies
665 Views
Hello naitwa nina diploma ya maendeleo ya jamii naomba mnisaidie connection ya kazi yoyote nipo Arusha. Umri wangu miaka 24
0 Reactions
9 Replies
497 Views
Ni kipengele gani kati ya vifuatavyo kinamruhusu katibu utumishi kumwamuru PSRS kushughulikia suala la ajira la mtu? Ni kipengele kipi
0 Reactions
1 Replies
499 Views
Habarini wadau naomba kwa mwenye namba ya mpokezi pale sekretarieti ya ajira anisaidie Juzi nilikuwa pale nilisahau kuchukua, lengo nataka niwe namwuliza maswala yangu ya ajira. Niliitwa katika...
0 Reactions
6 Replies
489 Views
Leo asubuhi nilipigiwa na ndugu yangu yuko mkoa fulani akiniomba niende pale ofisi za psrs nikamsaidie kutatua changamoto flani inayomkabili kwenye account yake. Nimefika sikukuta foleni kubwa...
6 Reactions
6 Replies
1K Views
Natafuta mfanyakazi wa kuuza na kuhudumia katika Grocery/bar. 𝐌𝐚𝐣𝐮𝐤𝐮𝐦𝐮. • Atauza vinywaji na kutoa huduma Kwa wateja. • Kufanya hesabu na kutunza kumbukumbu. • Kuorodhesa vinywaji na Kufanya...
1 Reactions
5 Replies
723 Views
Ndugu zangu nimeona niwasanue mapema usipopata mchongo ama ajira awamu hii ya mama Samia imekula kwako kama kijana ambaye kitaa kilinichakaza vya kutosha nakushauri fanya yafuatayo 1. Suka Cv...
15 Reactions
45 Replies
5K Views
Wakuu leo nimepita Tabata pale nimeona watu wapo nje kwenye kiwanda cha NIDA pale TOT kama veepe embu fatilieni mnaweza mkapata kazi [emoji1545]
3 Reactions
4 Replies
916 Views
Natafuta mfanyakazi wa kuuza na kuhudumia katika Grocery/bar. 𝐌𝐚𝐣𝐮𝐤𝐮𝐦𝐮. • Atauza vinywaji na kutoa huduma Kwa wateja. • Kufanya hesabu na kutunza kumbukumbu. • Kuorodhesa vinywaji na Kufanya...
0 Reactions
0 Replies
268 Views
Salaam wakuu hivi nyie mliwezaje ku afford gharama za kwenda interview mkoa ambao upo mbali nao, mbona mimi nikiambiwa interview iko mbali nakata tamaa kabisa! Naombeni mbinu tafadhali
2 Reactions
7 Replies
515 Views
Anyone interested in the field of rehabilitation, there is a possibility of joining the Diploma in Occupational Therapy training at KCMC for this academic year 2015l2016. Interested candidates...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Education of the fourth form and continuing in other fields including the field of mechanical spare parts manufacturing, automotive engineering, domestic and industrial electricity, IT, automotive...
1 Reactions
11 Replies
667 Views
Wakuu, nataka kusoma short courses zinazotolewa Chuo cha Bandari pale Tandika hivo nilikua nataka majina ya short course ambazo ukisoma labda 4 weeks utapata ajira maana kuna mtu kanambia hii ya...
6 Reactions
25 Replies
5K Views
Ndugu wapambanaji wenzangu, hii hapa fursa ya ajira, hii nafasi ni nzuri sana kwa muhitaji wa ajira. changamkia.
0 Reactions
0 Replies
742 Views
Habarini ndugu zangu nilikuwanaomba ushauri kuna dogo langu anafundisha chuo kikuu cha Dar es Salaam kama Tutorial Assistant na kaitwa kufanya interview TRA kama Tutorial assistant. Yuko anauliza...
8 Reactions
52 Replies
5K Views
Habari, Husika kichwa cha habari hapo juu. Mm ni Fresh Graduate natafuta nafasi ya intership kada ya Account ili niweze kugain experience. Nilifanya field TRA na NSSF na pia nina cheti cha VETA...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Position: Corporate Driver Department: Transportation Reports To: Office Administrator Job Type: Contract Key Responsibilities: Safe Transportation: Safely operate company vehicles to transport...
0 Reactions
2 Replies
466 Views
Back
Top Bottom