Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Je, mtumishi wa ajira mpya KADA ya ualimu na afya anapaswa kulipwa posho ya kujikimu kwa siku 7 au 14 Kwa mujibu wa Sheria na kanuni za utumishi wa umma?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Gender: Male Education: BACHELOR OF EDUCATION IN SCIENCE WITH ICT Location: KITUNDA-DAR ES SALAAM Experience: 2years I am Looking for a teaching job specifically for Chemistry and ICS subjects,
1 Reactions
0 Replies
319 Views
Position: Receptionist Category: National Location: Dar Es Salaam, Tanzania Reference: 21164 Background Enabel in Tanzania is launching its new Country Strategy for the Bilateral Cooperation in...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Haya Vijana mshindwe Wenyewe,mama Anazidi kumwaga Upendo
0 Reactions
4 Replies
756 Views
Habari wana JF! Natumai mko salama! binafsi nawachukulia ninyi kama ndugu zangu wa karibu sana niwapo online, maana hapa napata kila aina ya mambo nikihitaji habari, vijimambo, ushauri na stori...
1 Reactions
34 Replies
11K Views
Wanajukwaa kuna kazi zimetangazwa na utumishi leo TASAC, katika nafasi hzo nime apply nafas mbili 1. Ship tallying officer 2. Shipping services officer Naombeni msaada nisome mambo gani hapo ili...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Company: Komonoya Location: Dar es Salaam, Tanzania About Komonoya: Komonoya is a renowned retail destination in Dar es Salaam, specializing in high-quality household items imported directly...
2 Reactions
1 Replies
418 Views
Kichwa cha habari chajieleza, Anahitajika kijana mdogo na mchapakazi mwenye umri kuanzia 18-20 atakayefundishika kutengeneza bidhaa tajwa hapo juu, kisha kuzichukua na kuzipeleka eneo la mauzo...
1 Reactions
5 Replies
552 Views
Samahani wakuu, nilikuwa naomba kujuzwa kuhusu mishahara ya Electrical engineers wenye kiwango cha elimu diploma TANESCO pamoja na majukumu yao.
2 Reactions
24 Replies
12K Views
Ombi langu la siku zote ni lile lile wana JF naomba mwenye nafasi yakazi jamani naombeni mnisaidie au kama unajua kampuni inayotangaza kazi nipo tayari nielekezeni mimi ni mwalim nafundisha...
0 Reactions
5 Replies
735 Views
Husika na kichwa Cha habari hapo juu chajieleza tunaomba ufafanuzi kwa anayejua juu ya matumizi na faida ya mfumo wa kiutumishi unaoitwa ESS. Asanteni
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Kampuni ya JASMIS INTERNATIONAL LIMITED yenye ofisi zake Mbezi Beach Karibu Na CHEMICOTEX INDUSTRIES inawatangazia watanzania wote wenye vigezo na sifa kutuma maombi yao kuanzia leo hadi Oct...
0 Reactions
1 Replies
650 Views
Naombeni ushauri jf mm namaliza 4m 4 karibuni nilikuwa naomba ushauli kenu nikimaliza nifanye kazi gani ambayo itafaa kwa muda mfupi hadi matokeo ya toke
4 Reactions
25 Replies
5K Views
Nitoe maoni bila kuwa na uhakika wa kufanyiwa kazi. Inajulikana kuwa kila mwaka nchi yetu inazalisha vijana wazuri wanao weza kutumikia umma. Wahitimu hawa hotokea pande zote, mijini na...
2 Reactions
4 Replies
740 Views
Habari zenu wakuu, nimeona katika baadhi ya taasisi za serikali wameweka age limit ya not above 30 years karibu position zote ambazo hazihitaji experience, kwenu imekaaje, hususani kwa hali ilivyo...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Job Overview Information Technology Intern Internship Dar es Salaam WiA Company Limited WIA is a System Integrator, leader specialized in providing Enterprise and government with innovative...
0 Reactions
1 Replies
658 Views
Habari, Mimi ni mjasiriamali ninajishughulisha na shughuli za uvunaji wa mazao ya msituni. Ninahitaji lorry kipisi kwa ajili ya shughuli za msituni, hivyo Kama Kuna mtu anaweza kunikopesha kwa...
0 Reactions
2 Replies
916 Views
My name is Janeth Stephano Michael, I am 27 years old, a diploma holder in electrical and electronics studies( scored upper second class gpa). Also I have industrial practical and working...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
wakuu naomba kuuliza nawezaje pata kazi kwenye kiwanda cha asas maziwa ata kusambaza tu kwenye gari kulelekea wateja kama una connection nijuze
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Hongereni vijana wote mliofanikiwa kufaulu na kupangiwa vituo vya kazi wale ambao bado msichoke kusubiri mambo mazuri yanakuja. Nimepata maswali mengi DM juu ya namna ya kuripoti kituo cha kazi...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Back
Top Bottom