Hivi wakuu nawezaje kupata utingo wa malori sijasomea ufundi ilaa napenda kufanya kazi iyoo kama una connection waku na pia kama kuna changa moto zake mniambie mapema
Habari,
Nahitaji graphics design mwenye outstanding skills.
Requirements
1. Lazima awe na uzoefu na skills na software mbali mbali za design.
2. Lazima aweze kutafuta masoko / marketing na...
Habari za jumapili wapendwa,naombeni msaada nimeitwa kwa interview Kama mhasibu jaffery ind,sain LTD inahusika na furniture manufacturing and sales kwa mwenye experience na hizi kampuni au any...
Mimi ni kijana wa miaka 23 napatikana Dar maendo ya Mbezi Mwisho, Napenda kuulizia kwa hapa Dar ni wapi naweza pata vibarua vya ujenzi Kama saidia kwenye mradi unaoendela kwa sasa au Kama Kuna...
Habari zenu ndugu zangu
Week iliyopita nilianza kuapply kazi sehemu tofauti tofauti Kwa kua hapa kazini nilipo hali si nzuri
Kwa bahati nikafanyiwa interview Kwa njia ya simu na mwajiri aliyepo...
kituo cha afya mkarama kinatafuta security kwa ajili ya kuweka usalama eneo la hospital...sifa awe ni kidato cha nne na awe amepitia mafunzo ya jeshi la kujenga taifa, kwa mawasiliano zaidi nicheki pm
Kama kichwa cha habari kinavyosema kama kuna mtu amewahi kufanya interview ya trade officer 2 naomba kujua notice gani za kusoma ili nianze kujiandaa maana nimepoteza muda mwingi kujianda na...
Habari Bandugu na Mandugu!
Nahitaji msichana wa ndani, nipo zanzibar, amsaidie mama yangu kufanya kazi za ndani, sana sana kupika na kufua.
Maelezo zaidi tuongee
Aliye tayari anitafute
Wasap only...
Hello
Naitwa Nyesigamkama Ni fundi ujenzi wa nyumba Fani ya Bricklaying and Concrete practice.
Najenga kuanzia nyumba ya kawaida mpaka Ghorofa. Niko Murongo Kyerwa Kagera nafanya kazi mikoa yote...
Wakuu nimeitwa kwenye usaili wa Examination officer(written) hapo Dodoma (2/10/2023). Naomba kujuzwa maswali yanayoweza kuulizwa kwenye hiyo paper kutoka kwa wazoefu mliowahi kufanya hizo interview.
Habari wanajamii forums.
Kwa wakazi wa daresalam mabibo na maeneo ya jirani, Mwenye kufahamu au connection jinsi ya kupata kazi za viwandan iwe kibarua au ajira ya kudumu. Ni viwanda vipi vinatoa...
Habari, ninatoa Mafunzo bure kabisa Kuhusu uandishi wa Barua pamoja na CV. Hii ni kwa sababu wengi wetu tuna changamoto katika swala zima la uandishi hivyo, nimekusogezea Katika Group langu namna...
Habari ndugu wanajamiii forum, mimi ni mtumishi wa taasisi fulani ya serikali, nilipata nafasi ya kuhamia katika taasisi fulani hapa nchini na barua yangu ilipitishwa na mwajiri wangu, Ila Sasa...
Wadau, nilipost habar ya kureshwa kazini kipindi cha nyuma.
Kwa Sasa nimepata maelezo ya kunisisitizia nionapo tangazo niombe, Sasa nashindwa kuelewa sijui nimefanyiwa kiini macho au laa; kwa...
Habari zenu wakuu,
Hope ni wazima otherwise Allah awafanyie wepesi.
Lengo la uzi huu ni kuomba kazi, kibarua au shughuli yoyote halali itayoniingizia kipato.
Nina umri wa miaka 27, nina elimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.