Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
Position: Assistant Program Accountant Report to: Program Accountant and HJFMRI Contracts and Partnership Officer Terms of Employment: One-year contract Salary: TGS C Major function of the...
1 Reactions
1 Replies
477 Views
Position: Program Accountant Report to: Chief Accountant and HJFMRI Contracts and Partnership Officer Terms of Employment: One-year contract Salary: TGS E Specific Duties and Responsibilities...
1 Reactions
1 Replies
390 Views
Position: Laboratory Technologist (8 Positions) Report to: Laboratory Manager and HJFMRI Regional Laboratory Lead Terms of Employment: One-year contract Salary: TGHS B Major function of the...
2 Reactions
1 Replies
524 Views
Hili suala kiukweli linafikirisha sana Hii inakua ni kama upendeleo kwa wakazi wa Dodoma pekee na kuwanyima nafasi ya kushiriki watoto wa masikini wanaotokea mikoa mingine Juzi juzi niliona...
6 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wana JF, Msaada wa Hints za written Interview za Examination Officer II na Registration Officer II.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari za jioni, Ninaitwa Samwel Mayala Mimi ni chef mwenye uzoefu wa miaka 18 kwenye hotel. Ninapika vyakula aina mbalimbali ikiwemo Tanzania na nji za mataifa mbalimbali. Pia ninapika kwenye...
10 Reactions
16 Replies
3K Views
Msaada wadau maswaya ya written interview ya utumishi nafasi ya katibu afya
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wanaforum mimi mdada nimemaliza chuo 2020 nimesomea Counselling pyschology, natafuta connection ya ajira, pia nina uzoefu kwenye upande wa Sales and marketing, Tracking officer, Data...
2 Reactions
3 Replies
497 Views
Habari za muda huu wapendwa watanzania wenzangu,nipende kuanzisha jukwaa hili ili iwe rahisi kupata taarifa za kada husika, karibuni sana! Mungu awabariki. #Kaziiendelee
0 Reactions
0 Replies
435 Views
Naomba kujua makato ya mshahara 1,040,000 (NSSF, PAYE, HESLB, NHIF) Msaada tafadhali
6 Reactions
116 Replies
22K Views
We are looking two persons who have the qualification of enviromental studies from any reputable institution with certificate or diploma for our project located at Geita urbun area.if you see you...
1 Reactions
1 Replies
346 Views
Kabla sijafikiria vibaya, naomba nifahamu muda mlioingia na kutoka katika interview ya TRA UDSM, ahsanteni
3 Reactions
43 Replies
7K Views
Mambo zenu wakuu kuna wale tuliopambana kufaulu mitihani ya written na kubahatika kuitwa Oral Dodoma na hatujaitwa kazini mpaka leo kwa kada za Afya, Maendeleo ya jamii, Afisa mifugo msaidizi II...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Wakuu mliopo mjuu naomba mtupe ndondondo za maisha ya kujitafuta kwa njia ya kupiga box visiwa vya malta. Kazi za aina iyo zipo? Kama zipo za je mgeni anaweza kutumia makeke gani kuzipata? Na...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Nahitaji mtu wa IT Kuna kazi nataka anifanyie, 0624835630 Kuna maokoto yake apa chap
1 Reactions
1 Replies
509 Views
Habari wana Forum Mimi ni Msichana Wa Miaka 26 Nina Elimu ya Kidato cha Nne Kwa Ngazi Ya Cheti Ninatafuta ajira Nina uzoefu wa Kutumia Computer Kwenye Maswali ya Microsoft Word, Microsoft Excel na...
3 Reactions
31 Replies
4K Views
Habari Ndugu Zangu, Mimi ni binti mwenye umri wa miaka 24 nina ishi mkoa wa Dar es salaam. Nilihitimu masomo yangu katika ngazi ya Diploma ya Komputa na Teknolojia ya Habari (Diploma in...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Habarini wana Jf, niende kwenye dhumuni husika, naombeni kazi au kibarua katika sekta ya Magari. , Elimu yangu ni Degree ya mechanical engineering , Nimezuiwa cheti kutokana na kushindwa kulipa...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu, Mimi ni kijana nina umri wa miaka 24. Ninatafuta kazi yeyote ya kujikimu kimaisha kwa sababu ndio kwanza ninayaanza maisha. Fani yangu ni ufundi umeme na nimefanikiwa kusoma veta...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Back
Top Bottom