Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!
I am looking for teaching job in Chemistry & Biology subjects. I've 2 years teaching experience (Both O level and A level).
1 Reactions
3 Replies
896 Views
Nimepata fununu kua mwaka huu JKT raia walioomba ni wengi wanaangaika kuwapunguza. Ndugu zangu, nyinyi mna taarifa gani?
3 Reactions
11 Replies
942 Views
Sales and Marketing Officer (Female) - Digital Marketing Specialist for Travel and Tour Web Solutions Company: TIMELESS INTERNATIONAL Location: ARUSHA Type: Full-Time Overview: We specialize...
0 Reactions
1 Replies
572 Views
Natafuta shule ya kufundisha wanafunzi wenye mahitaji maalumu (ulemavu wa kusikia), mimi ni muhitimu wa Shahada ya awali ya elimu katika elimu maalumu (Bachelor of education in special education)...
0 Reactions
0 Replies
201 Views
Natafuta kazi, Mimi nikijana wa miaka 25... Nlikua nafanya kazi kwa wachina kama dereva mwanza kwa mda wa miez tisa.Na kwa sasa maboss zangu wamerudi china.Natafuta kazi ya udereva wa...
0 Reactions
2 Replies
662 Views
Wadau mambo vipi nitajieni mamlaka za serikali zinazoajiri zenyewe ukiacha PSRS
0 Reactions
2 Replies
886 Views
Anahitajika msichana wakuuza Duka la vipodozi. Vigezo: Awe na uzoefu wa kuuza duka la vipodozi Elimu atleast form 4, awe anajua hesabu vizuri. Kituo cha kazi kipo Tandika Dar es Salaam. Ambae...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wanajamvi, Nilikua naomba kuuliza je cut off point ambayo utumishi na tasisi zingine wanaconsider wa kifanya shortlisting ili waite watu kwenye interview ni GPA ya ngapi (ukiachana na kazi...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Tanroads The Regional Manager’s Office TANROADS – KIGOMA on behalf of the Chief Executive TANROADS, intends to recruit and competent Tanzanians to fill the following vacant posts on specific duty...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Kila lakhery wenye sifa
1 Reactions
0 Replies
551 Views
Habari za Asubuhi wanajamii forum, Uzi uu ni maalum kwa kupeana maelekezo,miongozo,Maswali yote yanayopendwa kuulizwa na TRA katika INTERVIEWS zao,yeyote anejua ni maswali gani wanapenda kuuliza...
2 Reactions
96 Replies
17K Views
Kampuni ya JOEX Worldwide inawatangazia watanzania wote wenye vigezo na sifa kutuma maombi yao kuanzia leo hadi Oct 20,2023 Kazi : Clearing Agent Idara: Operational Vigezo Cheti / Diploma ya...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
Kampuni ya JOEX Worldwide inawatangazia watanzania wote wenye vigezo na sifa kutuma maombi yao kuanzia leo hadi Oct 20,2023 Kazi : Clearing Agent Idara: Operational Vigezo Cheti / Diploma ya...
3 Reactions
1 Replies
642 Views
Wenye uelewa na aptitude test naomba kupata mwanga kidogo zinakuaje
1 Reactions
27 Replies
9K Views
Habari wana jamvi! Leo nimewiwa kueleza machache kuhusu fursa za kufanya kazi nje ya nchi,mtazamo wangu binafsi na baadhi ya vijana waliopo hapa Tanzania na hata wale walio nje ya nchi wakifanya...
7 Reactions
28 Replies
5K Views
Anaeijua vizuri kampuni ya Eco Act Tanzania especialy kitengo cha mauzo na masoko namuomba inbox
1 Reactions
2 Replies
290 Views
Nimekuwa naomba ajira sana humu sikufanikiwa nimerudi tena na iman nitapata Wanajamii forum , nina uhitaji wa kazi yeyote halali, hali imekuwa ngumu , tunandoto kubwa hatuna pakuanzia Uzoefu 1...
11 Reactions
43 Replies
2K Views
Habari wadau, mimi ni kijana wa kitanznia umri wa miaka 21, naishi Dar es salaam. Nina elimu ya stashahada; natafuta kazi kama graphic designer. Nina uzoefu wa miaka miwili nina uzoefu wa...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Hivii sasa hivi Mtanzania aliyemaliza form six anawezaje kupata ajira serikalini?
5 Reactions
24 Replies
2K Views
Back
Top Bottom